Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mbona huwa tunashabikia Yanga pamoja? Au ana hama hama? Nipo naye kwa Yanga yetu kitambo sana.huyo Mshumbusi ni mwanasimba mwenzenu, sema kwakua kaamua kuongea ukweli munampinga,......... sawa, ngojeni ligi ianze mutamuelewa tu.