Naomba mtu anifanye kuwa mchawi

Naomba mtu anifanye kuwa mchawi

February Makamba

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
2,151
Reaction score
2,983
Cambodia!
Nahitaji mtu anifundishe (anitrain) uchawi

Kama ni hela nitamlipa baada ya zoezi. Bajeti yangu ni laki5.

Ninataka mtu anitrain kuamka usiku na kuacha mwili kitandani na kuanza kutembea katika ulimwengu wa roho, kuingia ndani ya nyumba watu wamelala na wasikuone, Kuwapa usingizi wa pono na kuanza kuwachezea.

Kupaa na ungo mkoa kwa mkoa. Kupotelea na kuendesha fisi.

Huenda nikishuhudia hayo nitaamini kuna Mungu!

Nipo Daslam.
 
Cambodia!
Nahitaji mtu anifundishe (anitrain) uchawi

Kama ni hela nitamlipa baada ya zoezi. Bajeti yangu ni laki5.

Ninataka mtu anitrain kuamka usiku na kuacha mwili kitandani na kuanza kutembea katika ulimwengu wa roho, kuingia ndani ya nyumba watu wamelala na wasikuone, Kuwapa usingizi wa pono na kuanza kuwachezea.

Kupaa na ungo mkoa kwa mkoa. Kupotelea na kuendesha fisi.

Huenda nikishuhudia hayo nitaamini kuna Mungu!

Nipo Daslam.
Sawa mkuu njoo GM
 
Cambodia!
Nahitaji mtu anifundishe (anitrain) uchawi

Kama ni hela nitamlipa baada ya zoezi. Bajeti yangu ni laki5.

Ninataka mtu anitrain kuamka usiku na kuacha mwili kitandani na kuanza kutembea katika ulimwengu wa roho, kuingia ndani ya nyumba watu wamelala na wasikuone, Kuwapa usingizi wa pono na kuanza kuwachezea.

Kupaa na ungo mkoa kwa mkoa. Kupotelea na kuendesha fisi.

Huenda nikishuhudia hayo nitaamini kuna Mungu!

Nipo Daslam.
Utoto raha sana.
 
Back
Top Bottom