Uchaguzi 2020 Naomba Mungu hawa wabunge wa CCM wasirudi Bungeni

Uchaguzi 2020 Naomba Mungu hawa wabunge wa CCM wasirudi Bungeni

Kabisa.. tunahitaji muislam aongoze nchi hii
Ili iweje? Muislam akiongoza nchi Kuna tofauti gani na asiye muislam kwenye kuswali msikitini?
Zanzibar wote waislam mbona hakuna malalamiko kwamba kila mwaka anaongoza muislam?
Acha udini atakayekubalika na watu wengi ataongoza nchi ila so kwa dini yake hii nchi ni ya watanzania siyo ya waislamu au mabohola nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. KESSy yule wa rukwa.. kazi kubwa anayo fanya ni kujipendeleza kulinda biashara yale ya maji.. Hillwater. Juzi anasema katiba ni maandishi ambayo tunaweza yafuta wakati wowote.


2. Msukuma: Kazi yake kubwa bungeni ni kujipendekeza kulinda biashara zake za mabasi na madini.. Hajawahi ongea point yenye mtazamo wa kimkakati kwa taifa.

3. Lusinde: Anafuga kitambi tuu bungeni na kutukana wapinzani. Hajawahi ongea point kuguza mikakati ya kitaifa.

4. Lijuakali: Msaliti na haaminiki, kazi yake kubwa imekua kutukana chadema na mbowe.

5. Sanga: Makambako anakula tuu pesa ya serikali.. tukio lake la mwisho bungeni alikata mauno aliposikia sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.

6. Mlinga: Anakula tuu kodi ya wananchi ya kuleta mizaha bungeni na kutukana wapinzani.

7.

8.

9

10.

Tanzania tusipp jirekebisha itachukua miaka zaidi ya 50 kurudi kwenda mstari.View attachment 1474097
2 na 3 wanatumika sana kutukana kwakua hata kinachoandikwa ndan ya miswada hawakijui
 
Mtahangaika sana mwaka huu,mchezo wa movie la kitoto limebuma. Watanzania walikwishawapuuza mmezowea kudanganya lakini kila jambo lina mwisho wake hapa duniani.
Mtaumbuka sana...kiongozi anapiga konyagi kuondoa stress halafu inamzidi nguvu..acheni hizo nendeni takukuru mkatowe ushahidi wa 8bln.

Halafu mnataka kutuletea ushoga tz duh! Hii huwa inamaanisha nini![emoji116]View attachment 1474119View attachment 1474120
Kiongozi wa magasho tz
 
1. KESSy yule wa rukwa.. kazi kubwa anayo fanya ni kujipendeleza kulinda biashara yale ya maji.. Hillwater. Juzi anasema katiba ni maandishi ambayo tunaweza yafuta wakati wowote.


2. Msukuma: Kazi yake kubwa bungeni ni kujipendekeza kulinda biashara zake za mabasi na madini.. Hajawahi ongea point yenye mtazamo wa kimkakati kwa taifa.

3. Lusinde: Anafuga kitambi tuu bungeni na kutukana wapinzani. Hajawahi ongea point kuguza mikakati ya kitaifa.

4. Lijuakali: Msaliti na haaminiki, kazi yake kubwa imekua kutukana chadema na mbowe.

5. Sanga: Makambako anakula tuu pesa ya serikali.. tukio lake la mwisho bungeni alikata mauno aliposikia sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.

6. Mlinga: Anakula tuu kodi ya wananchi ya kuleta mizaha bungeni na kutukana wapinzani.

7.

8.

9

10.

Tanzania tusipp jirekebisha itachukua miaka zaidi ya 50 kurudi kwenda mstari.View attachment 1474097
Sasa Ndugai ana wapenda kuwatumia maana hawana akili. Wako kwa ajili ya uchonganishi na umbea. Ndugai nae tangu augue ugonjwa usio julikana nae kaingia kundi hilo hilo... Sitamani kuliona bunge Ndugai akiwa ana liendesha..
 
wabunge wa CCM wamejawa na unafiki tu na kujipendekeza bila ya kujua ni nini wajibu uliowapeleka pale bungeni
 
1. KESSy yule wa rukwa.. kazi kubwa anayo fanya ni kujipendeleza kulinda biashara yale ya maji.. Hillwater. Juzi anasema katiba ni maandishi ambayo tunaweza yafuta wakati wowote.


2. Msukuma: Kazi yake kubwa bungeni ni kujipendekeza kulinda biashara zake za mabasi na madini.. Hajawahi ongea point yenye mtazamo wa kimkakati kwa taifa.

3. Lusinde: Anafuga kitambi tuu bungeni na kutukana wapinzani. Hajawahi ongea point kuguza mikakati ya kitaifa.

4. Lijuakali: Msaliti na haaminiki, kazi yake kubwa imekua kutukana chadema na mbowe.

5. Sanga: Makambako anakula tuu pesa ya serikali.. tukio lake la mwisho bungeni alikata mauno aliposikia sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.

6. Mlinga: Anakula tuu kodi ya wananchi ya kuleta mizaha bungeni na kutukana wapinzani.

7.

8.

9

10.

Tanzania tusipp jirekebisha itachukua miaka zaidi ya 50 kurudi kwenda mstari.View attachment 1474097
Wabunge wote wa CCM naomba Mungu wasirudi
 
Hatuja wahi kuwa na spika asiye na akili kama ndungai
Sasa Ndugai ana wapenda kuwatumia maana hawana akili. Wako kwa ajili ya uchonganishi na umbea. Ndugai nae tangu augue ugonjwa usio julikana nae kaingia kundi hilo hilo... Sitamani kuliona bunge Ndugai akiwa ana liendesha..
 
Dua la kuku! [emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu mwenyewe huna uhusiano nae mzuri sijui hayo maombi yako utayapeleka kwa nani?

Watu wenye roho mbaya za kishetani wanna mawazo kama yako.

Walioshindwa maisha always huombea wenzao mabaya. Pole Sana[emoji57][emoji57]
 
Back
Top Bottom