Uchaguzi 2020 Naomba Mungu hawa wabunge wa CCM wasirudi Bungeni

Uchaguzi 2020 Naomba Mungu hawa wabunge wa CCM wasirudi Bungeni

1. KESSy yule wa rukwa.. kazi kubwa anayo fanya ni kujipendeleza kulinda biashara yale ya maji.. Hillwater. Juzi anasema katiba ni maandishi ambayo tunaweza yafuta wakati wowote.


2. Msukuma: Kazi yake kubwa bungeni ni kujipendekeza kulinda biashara zake za mabasi na madini.. Hajawahi ongea point yenye mtazamo wa kimkakati kwa taifa.

3. Lusinde: Anafuga kitambi tuu bungeni na kutukana wapinzani. Hajawahi ongea point kuguza mikakati ya kitaifa.

4. Lijuakali: Msaliti na haaminiki, kazi yake kubwa imekua kutukana chadema na mbowe.

5. Sanga: Makambako anakula tuu pesa ya serikali.. tukio lake la mwisho bungeni alikata mauno aliposikia sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.

6. Mlinga: Anakula tuu kodi ya wananchi ya kuleta mizaha bungeni na kutukana wapinzani.

7.

8.

9

10.

Tanzania tusipp jirekebisha itachukua miaka zaidi ya 50 kurudi kwenda mstari.View attachment 1474097
Sabufa
Kibajaj
 
1. KESSy yule wa rukwa.. kazi kubwa anayo fanya ni kujipendeleza kulinda biashara yale ya maji.. Hillwater. Juzi anasema katiba ni maandishi ambayo tunaweza yafuta wakati wowote.


2. Msukuma: Kazi yake kubwa bungeni ni kujipendekeza kulinda biashara zake za mabasi na madini.. Hajawahi ongea point yenye mtazamo wa kimkakati kwa taifa.

3. Lusinde: Anafuga kitambi tuu bungeni na kutukana wapinzani. Hajawahi ongea point kuguza mikakati ya kitaifa.

4. Lijuakali: Msaliti na haaminiki, kazi yake kubwa imekua kutukana chadema na mbowe.

5. Sanga: Makambako anakula tuu pesa ya serikali.. tukio lake la mwisho bungeni alikata mauno aliposikia sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.

6. Mlinga: Anakula tuu kodi ya wananchi ya kuleta mizaha bungeni na kutukana wapinzani.

7.

8.

9

10.

Tanzania tusipp jirekebisha itachukua miaka zaidi ya 50 kurudi kwenda mstari.View attachment 1474097
Job Ndugai unamtaka arudi ?
 
Wote Mpaka baba yako anae juta kukusomesha alafu ukawa mbulula
Usijumuishe wenye akili katika kundi la mamuma! Mtanzania gani mwenye akili timamu anaweza kuunga mkono uhanithi wa kichato chato?
 
Kufa tu io itakusaidia
Kuna wakati natamani nichome sindano ya usingizi, nilale Hadi Oktoba, matokeo yasipoeleweka, nichome dozi ingine Hadi 2025, nisiwe sehemu ya historia chafu Kama ninazozishuhudia sasa
 
Back
Top Bottom