Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ili iweje? Muislam akiongoza nchi Kuna tofauti gani na asiye muislam kwenye kuswali msikitini?Kabisa.. tunahitaji muislam aongoze nchi hii
2 na 3 wanatumika sana kutukana kwakua hata kinachoandikwa ndan ya miswada hawakijui1. KESSy yule wa rukwa.. kazi kubwa anayo fanya ni kujipendeleza kulinda biashara yale ya maji.. Hillwater. Juzi anasema katiba ni maandishi ambayo tunaweza yafuta wakati wowote.
2. Msukuma: Kazi yake kubwa bungeni ni kujipendekeza kulinda biashara zake za mabasi na madini.. Hajawahi ongea point yenye mtazamo wa kimkakati kwa taifa.
3. Lusinde: Anafuga kitambi tuu bungeni na kutukana wapinzani. Hajawahi ongea point kuguza mikakati ya kitaifa.
4. Lijuakali: Msaliti na haaminiki, kazi yake kubwa imekua kutukana chadema na mbowe.
5. Sanga: Makambako anakula tuu pesa ya serikali.. tukio lake la mwisho bungeni alikata mauno aliposikia sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.
6. Mlinga: Anakula tuu kodi ya wananchi ya kuleta mizaha bungeni na kutukana wapinzani.
7.
8.
9
10.
Tanzania tusipp jirekebisha itachukua miaka zaidi ya 50 kurudi kwenda mstari.View attachment 1474097
Sio kweli HILL WATER ni ya Hillary Shoo... Keisy ahusiki msimuharibie biashara yake Bw.ShooHillwater ya kwake.. yanatengenezwa hapo mapinga.. ndio maana anajipendekeza sana.
Sio kweli HILL WATER ni ya Hillary Shoo... Keisy ahusiki msimuharibie biashara yake Bw.Shookumbe Hillwater maji yake? SINYWI TENA
Kiongozi wa magasho tzMtahangaika sana mwaka huu,mchezo wa movie la kitoto limebuma. Watanzania walikwishawapuuza mmezowea kudanganya lakini kila jambo lina mwisho wake hapa duniani.
Mtaumbuka sana...kiongozi anapiga konyagi kuondoa stress halafu inamzidi nguvu..acheni hizo nendeni takukuru mkatowe ushahidi wa 8bln.
Halafu mnataka kutuletea ushoga tz duh! Hii huwa inamaanisha nini![emoji116]View attachment 1474119View attachment 1474120
Sio kweli HILL WATER ni ya Hillary Shoo... Keisy ahusiki msimuharibie biashara yake Bw.ShooHillwater ya kwake.. yanatengenezwa hapo mapinga.. ndio maana anajipendekeza sana.
Sio kweli HILL WATER ni ya Hillary Shoo... Keisy ahusiki msimuharibie biashara yake Bw.ShooNa mm sitakunywa kabisa naweza kuambukizwa upuuzi kama wake 😂😂😂
Sasa Ndugai ana wapenda kuwatumia maana hawana akili. Wako kwa ajili ya uchonganishi na umbea. Ndugai nae tangu augue ugonjwa usio julikana nae kaingia kundi hilo hilo... Sitamani kuliona bunge Ndugai akiwa ana liendesha..1. KESSy yule wa rukwa.. kazi kubwa anayo fanya ni kujipendeleza kulinda biashara yale ya maji.. Hillwater. Juzi anasema katiba ni maandishi ambayo tunaweza yafuta wakati wowote.
2. Msukuma: Kazi yake kubwa bungeni ni kujipendekeza kulinda biashara zake za mabasi na madini.. Hajawahi ongea point yenye mtazamo wa kimkakati kwa taifa.
3. Lusinde: Anafuga kitambi tuu bungeni na kutukana wapinzani. Hajawahi ongea point kuguza mikakati ya kitaifa.
4. Lijuakali: Msaliti na haaminiki, kazi yake kubwa imekua kutukana chadema na mbowe.
5. Sanga: Makambako anakula tuu pesa ya serikali.. tukio lake la mwisho bungeni alikata mauno aliposikia sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.
6. Mlinga: Anakula tuu kodi ya wananchi ya kuleta mizaha bungeni na kutukana wapinzani.
7.
8.
9
10.
Tanzania tusipp jirekebisha itachukua miaka zaidi ya 50 kurudi kwenda mstari.View attachment 1474097
Umedanganywa, Hill water sio ya Kessy. Ni ya mchagga mmoja hivi jamaa poa saña.kumbe Hillwater maji yake? SINYWI TENA
Wabunge wote wa CCM naomba Mungu wasirudi1. KESSy yule wa rukwa.. kazi kubwa anayo fanya ni kujipendeleza kulinda biashara yale ya maji.. Hillwater. Juzi anasema katiba ni maandishi ambayo tunaweza yafuta wakati wowote.
2. Msukuma: Kazi yake kubwa bungeni ni kujipendekeza kulinda biashara zake za mabasi na madini.. Hajawahi ongea point yenye mtazamo wa kimkakati kwa taifa.
3. Lusinde: Anafuga kitambi tuu bungeni na kutukana wapinzani. Hajawahi ongea point kuguza mikakati ya kitaifa.
4. Lijuakali: Msaliti na haaminiki, kazi yake kubwa imekua kutukana chadema na mbowe.
5. Sanga: Makambako anakula tuu pesa ya serikali.. tukio lake la mwisho bungeni alikata mauno aliposikia sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.
6. Mlinga: Anakula tuu kodi ya wananchi ya kuleta mizaha bungeni na kutukana wapinzani.
7.
8.
9
10.
Tanzania tusipp jirekebisha itachukua miaka zaidi ya 50 kurudi kwenda mstari.View attachment 1474097
Point!Watanzania tunahitaji kiongozi mleta maendeleo na sio udini wala ukabila, shame on all of you idiots
Sasa Ndugai ana wapenda kuwatumia maana hawana akili. Wako kwa ajili ya uchonganishi na umbea. Ndugai nae tangu augue ugonjwa usio julikana nae kaingia kundi hilo hilo... Sitamani kuliona bunge Ndugai akiwa ana liendesha..
Nami nitaunga mkono.kumbe Hillwater maji yake? SINYWI TENA
Ngoja nizame Google nijue nani mmiliki kama ni shoo nikunywa maji lakini kama ni huyo mawazo mgando sinywi.Sio kweli HILL WATER ni ya Hillary Shoo... Keisy ahusiki msimuharibie biashara yake Bw.Shoo
Jamaa hapo amekoseaWatanzania tunahitaji kiongozi mleta maendeleo na sio udini wala ukabila, shame on all of you idiots
Mungu akitenda wema huo itakuwa kitu cha heri kwa watanzaniaWabunge wote wa CCM naomba Mungu wasirudi
Kwa hiyo KKKT mmewasahau kabisa? 2015 walisema ni zamu yao, kwa nini tusiwape 2015?Wanajisumbua, 2025 ni zamu ya Waislamu, sasa wafanye mchezo ndio watajua nchi hii ina utamaduni wake.