Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
Kuna demu mmoja huwa namtumia kwa ajili ya kujiridhisha coz nina mke yuko mbali na mkoa ninaoishi sasa leo genye zimenishika haswa nikaona nimtafute akaniambia njoo lkn simuamin bc kufika tu tukapiga story tukaanza yale mambo yetu mm huwa natumia sana kinga bc akanivalisha ile nazamisha rungu nikahisi ndomu imepasuka ikabid nitoe fasta nikavaa ingine nikaendelea na show dah niliendelea kwasababu nina ugumu nilivyomwaga sikuwa tena na hamu vp hapo ndugu zangu nahitaji kumeza PrEP au nikaushe lkn sikuona hata blood au naweza ambukizwa kwa majimaji nina stress hatari.