Naomba muongozo tafadhali

Naomba muongozo tafadhali

Nkulu wa nchito

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,112
Reaction score
1,429
Kuna demu mmoja huwa namtumia kwa ajili ya kujiridhisha coz nina mke yuko mbali na mkoa ninaoishi sasa leo genye zimenishika haswa nikaona nimtafute akaniambia njoo lkn simuamin bc kufika tu tukapiga story tukaanza yale mambo yetu mm huwa natumia sana kinga bc akanivalisha ile nazamisha rungu nikahisi ndomu imepasuka ikabid nitoe fasta nikavaa ingine nikaendelea na show dah niliendelea kwasababu nina ugumu nilivyomwaga sikuwa tena na hamu vp hapo ndugu zangu nahitaji kumeza PrEP au nikaushe lkn sikuona hata blood au naweza ambukizwa kwa majimaji nina stress hatari.
 
Kuna demu mmoja huwa namtumia kwa ajili ya kujiridhisha coz nina mke yuko mbali na mkoa ninaoishi sasa leo genye zimenishika haswa nikaona nimtafute akaniambia njoo lkn simuamin bc kufika tu tukapiga story tukaanza yale mambo yetu mm huwa natumia sana kinga bc akanivalisha ile nazamisha rungu nikahisi ndomu imepasuka ikabid nitoe fasta nikavaa ingine nikaendelea na show dah niliendelea kwasababu nina ugumu nilivyomwaga sikuwa tena na hamu vp hapo ndugu zangu nahitaji kumeza PrEP au nikaushe lkn sikuona hata blood au naweza ambukizwa kwa majimaji nina stress hatari.
Pole boss, ulichomoa fasta au ulisubiri sanaa..
 
Kuna demu mmoja huwa namtumia kwa ajili ya kujiridhisha coz nina mke yuko mbali na mkoa ninaoishi sasa leo genye zimenishika haswa nikaona nimtafute akaniambia njoo lkn simuamin bc kufika tu tukapiga story tukaanza yale mambo yetu mm huwa natumia sana kinga bc akanivalisha ile nazamisha rungu nikahisi ndomu imepasuka ikabid nitoe fasta nikavaa ingine nikaendelea na show dah niliendelea kwasababu nina ugumu nilivyomwaga sikuwa tena na hamu vp hapo ndugu zangu nahitaji kumeza PrEP au nikaushe lkn sikuona hata blood au naweza ambukizwa kwa majimaji nina stress hatari.
Anyway usiumie hata mimi ishawahi nitokea nikamezaga hizo antibiotics..

Baada ya muda nilipima nikajikuta niko poa.

Kwa ajili ya kusawazisha kila kitu, We meza hizo prep, na zile anti biotics kwa ajili ya ptsd.

Longlivve bro.

Tofauti na hapo..hio warning call.. kuwa makini na michepuko.
 
Anyway usiumie hata mimi ishawahi nitokea nikamezaga hizo antibiotics..

Baada ya muda nilipima nikajikuta niko poa.

Kwa ajili ya kusawazisha kila kitu, We meza hizo prep, na zile anti biotics kwa ajili ya ptsd.

Longlivve bro.

Tofauti na hapo..hio warning call.. kuwa makini na michepuko.
Shukran sana kesho ngoja nikabebe mzigo wangu niupige mdogo mdogo ila nasikia zina madhara kwenye figo na liver
 
Acha wasiwas mkuu Hakuna kitu Kama hicho fanya hima umtoe mkeo mkoani Kuna mabodabodawengi San na Ni npostive wengi pia Ni hatari kwako mtoe tu vingine unaweza kukosa mtaani mke akakuletea
 
Acha wasiwas mkuu Hakuna kitu Kama hicho fanya hima umtoe mkeo mkoani Kuna mabodabodawengi San na Ni npostive wengi pia Ni hatari kwako mtoe tu vingine unaweza kukosa mtaani mke akakuletea
Kiukweli nikiwa nae huwa sichepuki kwanza naogopa akijua nachepuka najitahidi nimhamishe aje niliko maana nateseka sana
 
Eti huwa namtumia.

Utafkiri porn star flani au mandingo.

Kumbe kachovu flani tu. Moja chali.
 
Eti huwa namtumia.

Utafkiri porn star flani au mandingo.

Kumbe kachovu flani tu. Moja chali.
,[emoji2][emoji2]hamna sipo hvyo wanaume tuna taabu sana cyo siri kukaa mbali na mpenz ni shida inanitesa sana sometime usipofanya sex unaona kabisa kichwa hakipo sawa au nipige nyeto nikiwa na wife hata ile hamu ya kuwa na mwanamke mwingine sina
 
Daaaaah,vijana wanaangamia kwa kukosa maarifa
Maarifa gn ndugu wakati kinga nilitumia bahati mbaya tu halafu huwez amini mm huwa ni mshauri sana kwa vijana wenzangu ambao wanacheza rafu huwa nawaambia tumieni kinga bc tu leo imenitokea nikitoka kwenye hili janga sirudii tena mm jaman
 
Back
Top Bottom