Shemeji yetu.. Ni mchina ama?
Anyways one among wedding gifts za my parents ilikua Kobe.
Huyu alikua anazunguka wee anarudi mwenyewe.
Ila akaja kupotea kabisa.
Kwani wanatumia muda gani aisee.Atarudi tu mwenyewe muda bado
Ndugu yangu Santos mbona umeiweka mbele sana hiyo Imani juu ya waganga? So wataka kuniambia hata wakimloga Mwamposa au Kakobe hawatoboi?Waganga wa jadi wanatumia sana Kobe Ogopa sana mtu akurogee Kobe😀😀 ni hutoboi
Kama yupo hai kuna siku atarudi.Shemeji yetu.. Ni mchina ama?
Anyways one among wedding gifts za my parents ilikua Kobe.
Huyu alikua anazunguka wee anarudi mwenyewe.
Ila akaja kupotea kabisa.
Mbona unamwamini mwamposa? Huyu si mtu tu kama wengineNdugu yangu Santos mbona umeiweka mbele sana hiyo Imani juu ya waganga? So wataka kuniambia hata wakimloga Mwamposa au Kakobe hawatoboi?