Naomba Mwenye Picha ya Mbowe na Viongozi wa CHADEMA Wakishiriki Msibani kwa Mama Mzazi wa Halima Mdee

Mkuu umesahau kuandika no za sim
 
Naomba picha yako wewe kwanza ukiwa msibani.
 
Hiyo picha itakusaidia nini?
 
Basi kama Mbowe na viongozi wa CDM wasipohudhuria huu msiba, basi tujue tu CDM kuna matatizo makubwa sana. Ubinadamu ni zaidi ya siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…