Naomba mwongozo ya interview ya Junior Safety officer

Naomba mwongozo ya interview ya Junior Safety officer

Elite_man

Member
Joined
Mar 21, 2024
Posts
18
Reaction score
25
Habari ya muda huu,

Mimi ni recent graduate wa Bachelor degree, nilituma CV ya kuomba position ya Junior Safety Officer....na hatimaye leo jioni nimepigiwa simu kuwa kesho nifike kwa ajili ya interview.

Naomba muongozo na vitu vya kuzingatia maana ndio interview yangu ya kwanza.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Wh
Habari ya muda huu,
Mm ni recent graduate wa Bachelor degree, nilituma CV ya kuomba position ya Junior Safety Officer....na hatimaye leo jioni nimepigiwa simu kuwa kesho nifike kwa ajili ya interview...
Naomba muongozo na vitu vya kuzingatia maana ndio interview yangu ya kwanza.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
at is your weaknesses???
 
Tafuta suti kali ya DARK BLUE na TAI NYEKUNDU halafu chini tafuta MOKA NYEUSI zenye mchongoko mbele wa kuchoma roho.

Hakikisha unafanya mazoezi ya kuongea kizungu pamoja na kutabasamu kisomi. Lafudhi yako iwe laini usizungumze kama wasukuma au wamang'ati utaonekana LISHAMBA.

Nyoa vizuri na hakikisha unajiamini hata kama unajibu pumba basi jibu kwa kujiamini na kwa sauti ya juu.

Kwanza hata hao wanaosimamia interview wengi wao ni VILAZA na Hawajui kizungu wanababaisha tu. Nenda kama MFALME.

Usisahau kupiga mswaki.

Cc: Mbaga Jr Lamomy Nyani Ngabu cocastic Extrovert Mshamba_hachekwi Kapeace Kalpana dronedrake The Icebreaker Mpwayungu Village
 
Kwanza jua kampuni inajihusisha na nini, ijue mission statement yao. Soma news zao

Pia ijue kichwani CV yako au fomu uliyojaza na ujue kufafanua.

Ukiingia utawasalimu halafu subiri wakuambie ukae.

Kuwa msafi kimuonekano. No jeans na tshirts wala raha.

Kwanini unataka kazi hiyo?

Ijue kazi unataka

Jiuze wewe sio vyeti vya karatasi hizo na maksi sijui ufaulu etc

Kizaidi soma soma ya gugo pia upate mengi kuyajua tu baada ya humu.

Jionyeshe unajiamini usiwe muoga unapowajibu..

Cheki kama utajua mshahara kiasi au range.. Ikitokea wakakuuliza swali ambalo hadi kesho sipendi kusikia watu walisema wameulizwa ni kuonyesha kampuni ni bomu fulani hawajitambui.

Haya anza kujisomea
Kila la kheri
 
Safi, kwanza unatakiwa kujua baadhi ya vitu vya usalama,kwa mujibu wa sheria tu
Mfano what are mandatory PPE according to OSHA acts
  • Mention any high risk activities your familia with
  • What do you understand of work permit
  • Mention any work permit you are familia with at workplace
  • Why it is important to conduct risk assessment before commencing of the task?
-Mention any Hazards you know and their control measures
-Mention ways of identifying hazards at work place
- Explain about LOTOTO or energy isolation and lockout.

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Habari ya muda huu,

Mimi ni recent graduate wa Bachelor degree, nilituma CV ya kuomba position ya Junior Safety Officer....na hatimaye leo jioni nimepigiwa simu kuwa kesho nifike kwa ajili ya interview.

Naomba muongozo na vitu vya kuzingatia maana ndio interview yangu ya kwanza.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Je! usipopata muongozo itakuwaje? Stand up for what you believe.
 
Asante mkuu nashukuru sana🙏
Tafuta suti kali ya DARK BLUE na TAI NYEKUNDU halafu chini tafuta MOKA NYEUSI zenye mchongoko mbele wa kuchoma roho.

Hakikisha unafanya mazoezi ya kuongea kizungu pamoja na kutabasamu kisomi. Lafudhi yako iwe laini usizungumze kama wasukuma au wamang'ati utaonekana LISHAMBA.

Nyoa vizuri na hakikisha unajiamini hata kama unajibu pumba basi jibu kwa kujiamini na kwa sauti ya juu.

Kwanza hata hao wanaosimamia interview wengi wao ni VILAZA na Hawajui kizungu wanababaisha tu. Nenda kama MFALME.

Usisahau kupiga mswaki.

Cc: Mbaga Jr Lamomy Nyani Ngabu cocastic Extrovert Mshamba_hachekwi Kapeace Kalpana dronedrake The Icebreaker Mpwayungu Village
 
Asante sana mkuu...nafanyia kazi sasa hivi🙏
Kwanza jua kampuni inajihusisha na nini, ijue mission statement yao. Soma news zao

Pia ijue kichwani CV yako au fomu uliyojaza na ujue kufafanua.

Ukiingia utawasalimu halafu subiri wakuambie ukae.

Kuwa msafi kimuonekano. No jeans na tshirts wala raha.

Kwanini unataka kazi hiyo?

Ijue kazi unataka

Jiuze wewe sio vyeti vya karatasi hizo na maksi sijui ufaulu etc

Kizaidi soma soma ya gugo pia upate mengi kuyajua tu baada ya humu.

Jionyeshe unajiamini usiwe muoga unapowajibu..

Cheki kama utajua mshahara kiasi au range.. Ikitokea wakakuuliza swali ambalo hadi kesho sipendi kusikia watu walisema wameulizwa ni kuonyesha kampuni ni bomu fulani hawajitambui.

Haya anza kujisomea
Kila la kheri
 
Back
Top Bottom