MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Kumbe kupenda kwangu maji kunaniepusha na mengi.
Pole san miss.
kuna umhimu kwakwel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kupenda kwangu maji kunaniepusha na mengi.
Pole san miss.
Mkuu yanaweza kutengeneza majabali na miamba humo tumboni? Hatari sanaNdo matokeo zinaganda na kugeuka vijiwe vidogovidogo..na ukichelewa yatakuwa mawe mengi makubwa.
Hiyo ndio shida ya maji, kukojoa kojoa hadi kero.asante sana .maji napenda sema nilikuwa sitaki kukojoa ovyo
Je unakunywa maji mengi sana? Kama ni hivyo basi hayo maumivu ndio linasogea endelea kunywa maji pole sana, najua maumivu yake, au Google kuhusu kidney stones Ila kama muoga usifanye hivyo, pia angalia traditional medicine ya kidney stones sio mbaya, Mimi niliangalia na nilichagua ya tangawizi pia ukipenda hata ya appleNaombeni msaada wa dawa ya kutoa kajiwe kwenye figo. Daktari alisema ni dogo sana litatoka lenyewe ila napata maumivu makali sana nimepata hii shida kutokana na zoezi la kupunguza uzito,
Nilikuwa navaa belt lenye chupi la kubana tumbo so nilikuwa sikojoi kojoi wala kunywa maji mengi so nikapata shida hiyo kuna kajiwe kwenye figo. sifanyi tena mambo ya kupunguza uzito nimepata shida.
Juice ya lemon unachanganya na mafuta ya mzeituni kwa kiwango sawa. kama juice ni nusu glass basi mafuta nayo yawe angalau kipimo hicho hicho, unakunywa kama mara 2 au tatu kwa siku kwa siku. MziziMkavu anaweza kuelezea kwa undani zaidi.natumiaje mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Mkuu yanaweza kutengeneza majabali na miamba humo tumboni? Hatari sana
sasa Hilyo picha uliyo weka ndio Maradhi yako kwenye figo? Kweli wewe unaumwa?au unataka masihara? Kama kweli unaumwa nitafute nipate kukutibia upate kupona.Naombeni msaada wa dawa ya kutoa kajiwe kwenye figo. Daktari alisema ni dogo sana litatoka lenyewe ila napata maumivu makali sana nimepata hii shida kutokana na zoezi la kupunguza uzito,
Nilikuwa navaa belt lenye chupi la kubana tumboso nilikuwa sikojoi kojoi wala kunywa maji mengi so nikapata shida hiyo kuna kajiwe kwenye figo. sifanyi tena mambo ya kupunguza uzito nimepata shida.![]()
Una jiwe..? Au vi crystals..?? Ungekuwa na kidney stone sidhan kama saiv ungekuwa una chart JF..!? Kwan ulifanya vipimo vya mkojo( urinalysis) au ulipima Renal function test ( vipimo vya figo) ndo waka kwambia una ilo jiwe..?? Tuanzie hapo. Na ilo jiwe crstal wali kwambia ni uric,hippuric,calicium oxalate, amorphus phosphate?? Ipi moja wapo..? Tuanzie hapo..Naombeni msaada wa dawa ya kutoa kajiwe kwenye figo. Daktari alisema ni dogo sana litatoka lenyewe ila napata maumivu makali sana nimepata hii shida kutokana na zoezi la kupunguza uzito,
Nilikuwa navaa belt lenye chupi la kubana tumboso nilikuwa sikojoi kojoi wala kunywa maji mengi so nikapata shida hiyo kuna kajiwe kwenye figo. sifanyi tena mambo ya kupunguza uzito nimepata shida.![]()
nilifanya ultra sound mkuuUna jiwe..? Au vi crystals..?? Ungekuwa na kidney stone sidhan kama saiv ungekuwa una chart JF..!? Kwan ulifanya vipimo vya mkojo( urinalysis) au ulipima Renal function test ( vipimo vya figo) ndo waka kwambia una ilo jiwe..?? Tuanzie hapo. Na ilo jiwe crstal wali kwambia ni uric,hippuric,calicium oxalate, amorphus phosphate?? Ipi moja wapo..? Tuanzie hapo..
hadi papuchi inachoka aaaahHiyo ndio shida ya maji, kukojoa kojoa hadi kero.
hyo picha ni ya belt nililikuwa navaa .so likanifanya sisikojoe ovyosasa Hilyo picha uliyo weka ndio Maradhi yako kwenye figo? Kweli wewe unaumwa?au unataka masihara? Kama kweli unaumwa nitafute nipate kukutibia upate kupona.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
ahaaaaNjoo PM nikutoe
Ukikiacha kinakua. Njoo PM nikutoe mbona unacheka sasa? [emoji23]ahaaaa
Nenda Appollo wanafanya operation kwa mashine maalum linasagwa nakutolewa..iko posta..ahaaaa
daaah nakuonea huruma madem wa siku hizi bhana mnazingua so sio kupunguza mwili tu una needs zako zingine za kiboya eti huuzie sura kama una chura pole nakusaidia dawa ni tafuna mbegu za boga zitakusaidia kutoa hyo kidney stoneahaaaa linabinua chura hadi raha nalimiss belt langu la kuuzia sura mjini
ahahaaa mkuudaaah nakuonea huruma madem wa siku hizi bhana mnazingua so sio kupunguza mwili tu una needs zako zingine za kiboya eti huuzie sura kama una chura pole nakusaidia dawa ni tafuna mbegu za boga zitakusaidia kutoa hyo kidney stone
Teh hivi kumbe mambo ya diet ni magumu sana eeh! Mm kimbaumbau halafu nakula kidogo.hahaha hv linabidua ? mie naona linanibana sana jaman ! nilikua navaa chup na lenyew tena bas nakuwa mnene makalion nikaliweka hukoo ! toka jtt nimeanza diet nimekata starch kwa 100% jana na leo nimeshindwa mie ! nimefakamia mafirigis na ugali hapa akuu !wafanye tu diet watu ! sifanyi tena diet mie