Naomba niambiwe namna ya kutoa jiwe dogo kwenye figo

Naomba niambiwe namna ya kutoa jiwe dogo kwenye figo

Naombeni msaada wa dawa ya kutoa kajiwe kwenye figo. Daktari alisema ni dogo sana litatoka lenyewe ila napata maumivu makali sana nimepata hii shida kutokana na zoezi la kupunguza uzito,

Nilikuwa navaa belt lenye chupi la kubana tumbo so nilikuwa sikojoi kojoi wala kunywa maji mengi so nikapata shida hiyo kuna kajiwe kwenye figo. sifanyi tena mambo ya kupunguza uzito nimepata shida.
Je unakunywa maji mengi sana? Kama ni hivyo basi hayo maumivu ndio linasogea endelea kunywa maji pole sana, najua maumivu yake, au Google kuhusu kidney stones Ila kama muoga usifanye hivyo, pia angalia traditional medicine ya kidney stones sio mbaya, Mimi niliangalia na nilichagua ya tangawizi pia ukipenda hata ya apple
 
natumiaje mkuu
Juice ya lemon unachanganya na mafuta ya mzeituni kwa kiwango sawa. kama juice ni nusu glass basi mafuta nayo yawe angalau kipimo hicho hicho, unakunywa kama mara 2 au tatu kwa siku kwa siku. MziziMkavu anaweza kuelezea kwa undani zaidi.
 
Mkuu yanaweza kutengeneza majabali na miamba humo tumboni? Hatari sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

nahis yanaweza....majabali kama yale ya lake victoria eenh?
 
Naombeni msaada wa dawa ya kutoa kajiwe kwenye figo. Daktari alisema ni dogo sana litatoka lenyewe ila napata maumivu makali sana nimepata hii shida kutokana na zoezi la kupunguza uzito,

Nilikuwa navaa belt lenye chupi la kubana tumbo
61jctR92lBL._UY500_.jpg
so nilikuwa sikojoi kojoi wala kunywa maji mengi so nikapata shida hiyo kuna kajiwe kwenye figo. sifanyi tena mambo ya kupunguza uzito nimepata shida.
sasa Hilyo picha uliyo weka ndio Maradhi yako kwenye figo? Kweli wewe unaumwa?au unataka masihara? Kama kweli unaumwa nitafute nipate kukutibia upate kupona.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Naombeni msaada wa dawa ya kutoa kajiwe kwenye figo. Daktari alisema ni dogo sana litatoka lenyewe ila napata maumivu makali sana nimepata hii shida kutokana na zoezi la kupunguza uzito,

Nilikuwa navaa belt lenye chupi la kubana tumbo
61jctR92lBL._UY500_.jpg
so nilikuwa sikojoi kojoi wala kunywa maji mengi so nikapata shida hiyo kuna kajiwe kwenye figo. sifanyi tena mambo ya kupunguza uzito nimepata shida.
Una jiwe..? Au vi crystals..?? Ungekuwa na kidney stone sidhan kama saiv ungekuwa una chart JF..!? Kwan ulifanya vipimo vya mkojo( urinalysis) au ulipima Renal function test ( vipimo vya figo) ndo waka kwambia una ilo jiwe..?? Tuanzie hapo. Na ilo jiwe crstal wali kwambia ni uric,hippuric,calicium oxalate, amorphus phosphate?? Ipi moja wapo..? Tuanzie hapo..
 
Una jiwe..? Au vi crystals..?? Ungekuwa na kidney stone sidhan kama saiv ungekuwa una chart JF..!? Kwan ulifanya vipimo vya mkojo( urinalysis) au ulipima Renal function test ( vipimo vya figo) ndo waka kwambia una ilo jiwe..?? Tuanzie hapo. Na ilo jiwe crstal wali kwambia ni uric,hippuric,calicium oxalate, amorphus phosphate?? Ipi moja wapo..? Tuanzie hapo..
nilifanya ultra sound mkuu
 
sasa Hilyo picha uliyo weka ndio Maradhi yako kwenye figo? Kweli wewe unaumwa?au unataka masihara? Kama kweli unaumwa nitafute nipate kukutibia upate kupona.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
hyo picha ni ya belt nililikuwa navaa .so likanifanya sisikojoe ovyo
 
ahaaaa linabinua chura hadi raha nalimiss belt langu la kuuzia sura mjini
daaah nakuonea huruma madem wa siku hizi bhana mnazingua so sio kupunguza mwili tu una needs zako zingine za kiboya eti huuzie sura kama una chura pole nakusaidia dawa ni tafuna mbegu za boga zitakusaidia kutoa hyo kidney stone
 
daaah nakuonea huruma madem wa siku hizi bhana mnazingua so sio kupunguza mwili tu una needs zako zingine za kiboya eti huuzie sura kama una chura pole nakusaidia dawa ni tafuna mbegu za boga zitakusaidia kutoa hyo kidney stone
ahahaaa mkuu
 
hahaha hv linabidua ? mie naona linanibana sana jaman ! nilikua navaa chup na lenyew tena bas nakuwa mnene makalion nikaliweka hukoo ! toka jtt nimeanza diet nimekata starch kwa 100% jana na leo nimeshindwa mie ! nimefakamia mafirigis na ugali hapa akuu !wafanye tu diet watu ! sifanyi tena diet mie
Teh hivi kumbe mambo ya diet ni magumu sana eeh! Mm kimbaumbau halafu nakula kidogo.
 
Back
Top Bottom