Naomba Nijuzwe kama ni kweli kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi

Naomba Nijuzwe kama ni kweli kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi

Nahisi utoto au kukosa maana ya "No research No right to Talk"

Hakuna kiongozi (late) atajengewa kama kile kinacho onekana kwenye picha, lazima tutumie akili kufikilia, hata kama tupo mbali ila inafahamika eneo lolote kukiwa na uzio wa mabati ni nini kinaendelea hapo.

Narudia...
"No research No right to speak/write"
Na zile Nyasi zinaashiria nini?
 
Mkuu wamarekani weusi ni watu muhimu sana hapa tanzania kwenye vita ya kiuchumi.wana experience sana kwenye mambo mengi na wana exposure ya dunia. Ila wabongo tunaogopa kuwapa nafasi za uongozi kwa kuhofia watatuchallenge kwenye vinafasi vyetu vya kupatia ugali
Hakuna watu wapumbav Kama black Americans .. naoongea with experience na Kama unabisha tafuta tour guides au wale vijana wa Zanzibar watakupa stories zao.


Bora ufanye kazi na Mzungu kuliko black Americans
 
Hata
Nahisi utoto au kukosa maana ya "No research No right to Talk"

Hakuna kiongozi (late) atajengewa kama kile kinacho onekana kwenye picha, lazima tutumie akili kufikilia, hata kama tupo mbali ila inafahamika eneo lolote kukiwa na uzio wa mabati ni nini kinaendelea hapo.

Narudia...
"No research No right to speak/write
Hata Kama akijengewa ghorofa hayati Ni hayati tu kwhy usitufokee
 
Nimesikia kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi kwa sababu wanakimbia kuchanjwa kinga ya corona.Pia sababu nyingine ni kuipenda TZ kwa sababu ya JPM walivyokuwa wanamhusudu.
Mkuu naanza ku kuelewa. Mara nyingi weekend. Naenda kuenda kuogelea hotel tofauti nakutana na wamerakani weuzi sana, kila nikienda nakutana na wengine.
 
Mkuu wamarekani weusi ni watu muhimu sana hapa tanzania kwenye vita ya kiuchumi.wana experience sana kwenye mambo mengi na wana exposure ya dunia. Ila wabongo tunaogopa kuwapa nafasi za uongozi kwa kuhofia watatuchallenge kwenye vinafasi vyetu vya kupatia ugali

Mhhhh mhuuuu
 
Waje tujenge Asili yetu kwa nguvu zote.
Na ingefaa sana our captain JPM angalikua hai

In fact yeye ndie alie onesha uelekeo na kuusimamia na kuwashawishi hao black Americans kwa namna frani.
 
Mimi nimekutana na wanawake wawili, wote wametoka chicago, na wanaishi masaki wamekuja na familia zao (single mothers).

Niliwauliza kwanini Tanzania?jibu ni kwamba walishauriwa na wanasheria wao kwa kuangalia facts mbali mbali kuwa Africa sahemu salama zaidi kwa mtu wa hali ya kati ya kiuchumi ni Ghana na Tanzania. Hivyo walianzia kama kutalii ghana wakaja Tanzania wakapenda, wakaanza taratibu za kuhamia

Wanachokipenda
1. Amani & usalama - hawana hofu ya matukio ya kigaidi ama vita, ujambazi n.k kumbuka hawa wametokea katika state ambayo uhalifu ekithiri sana
2. Gharama za kuishi zipo - Nyumba walizopanga ni kama usd 1000 - 1500, na kwa shughuli zake anazofanya huko marekani anasema, anasevu sana na hiyo inamfanya aendelee kuwekeza huko marekani (stocks n.k) shughuli zake anafanyia online

Na mengine mengi...WANASHAURIWA na wanasheria wao
Umeongea facts sana.

Ninawafahamu wengi sana wamehamia Tanzania japo changamoto za visa na namna nchi inavywatambua bado ni kikwazo.

Wamerekani weusi wanaanza kuamini kuwa marekani si kwao tena kutokana na ubaguzi uliokithiri na visa vya kuuana wao kwa wao (mass shooting). Pia hali ya usalama, gharama za maisha na kupatikana kwa vyakula fresh na organic ni sababu nyingine zinazowavutia.

Watu hawa ni muhimu sana kwakuwa wanakuja na mitaji, elimu mpya, exposure, na nia ya kuanzisha maisha huku. Wanatamani sana kumiliki nyumba na ardhi japo sheria zetu zinawabana sana. Hawa sio wakoloni, sio mabeberu, ni muda sasa taifa letu iwatambue na kuwavutia kurudi hapa kwetu maana ina manufaa makubwa sana kiuchumi na ajira.

Ukitembelea youtube na kuserch immigrations from US or returnees utaona wanavyoongelea Tanzania. Na ni wao wenyewe wanashawishia kuichagua Tanzania baada ya nchi za Africa magharibi kuwa na utapeli, wizi na wanahisi fursa ni chache huko.

Niwashaui wenye mamlaka waitishe kikao na watu hawa na kuwasikiliza kama ilivofanyika kwa wachina hivi majuzi na kuwapa assurance ya existance yao na uwepo wa fursa za kufanya. Watu hawa wakipata pesa hawazirudishi marekani maana wanaona kule sio kwao.
 
Waje tujenge Asili yetu kwa nguvu zote.
Na ingefaa sana our captain JPM angalikua hai

In fact yeye ndie alie onesha uelekeo na kuusimamia na kuwashawishi hao black americans kwa namna frani.
Walianza kuja akiwa bado yuko hai na hakuna kilichofanyika japo kuwavutia waje zaidi. Na Kabudi alipoulizwa kuhusu hili kwa kutoa macho alionesha namna sheria zetu haziko rafiki kwao.
 
Hakuna watu wapumbav Kama black Americans .. naoongea with experience na Kama unabisha tafuta tour guides au wale vijana wa Zanzibar watakupa stories zao.


Bora ufanye kazi na Mzungu kuliko black Americans
Kwanza huna adabu, tatizo watanzania tunataka kupata utajiri kwa haraka. Tunataka tuwaibie ndio maana tunawapenda wazungu. Na hao wazanzibar unawasema wewe wanawapenda wazungu hasa wakike ili wapate vitonga.

Black Americans hapa ni kwao ni muda sasa wa kuwawekea mazingira ya kurejea na kuja tujenge uchumi wa nchi.
 
Nimesikia kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi kwa sababu wanakimbia kuchanjwa kinga ya corona.Pia sababu nyingine ni kuipenda TZ kwa sababu ya JPM walivyokuwa wanamhusudu.
Kweli kabisa na wajamaika pia.


Nishakutana nao wengi sana na wengine wapo youtube wana page zao wana stream.

Wengi walisikitika sana meko alivyokufa
 
Back
Top Bottom