Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani uongo?🤣🤣🤣Jaman
Njoo kule tunapokutanaga tuongee zaidiNasubiri simu iite[emoji7][emoji51]
Njoo kule tunapokutanaga tuongee zaidi
Watu mna hela za kuspend.Hii ni kwa ajili yako mtoto mzuri Joannah ,Kiukweli wewe ni mwanamke uliyeko moyoni mwangu,kuanzia huo unywele wako mrefu,lips,kiuno hadi guu la byeeeri.
Nimeandaa fungu zito kwa ajili yako mrembo na mtoko huu utakuwa ni kwa wiki nzima na kwakuwa ni mtoko mfupi basi tutaelekea pale hifadhi ya Ngorongoro kwenye Hotel nzuri ya SOPA LODGE.
Utapata huduma zote anazopaswa kupewa mwanamke na kwakuwa utakuwa umetoa muda wako kwangu kwa wiki nzima basi nitahakikisha kila siku nakulipa laki 5,hiyo laki 5 itakuwa nje na mahitaji utakayo kuwa ukiyahitqji ikiwemo,nguo,simu kali,viatu,mikoba n.k.
Jiandae mama.
Kwako Joannah
Jamani😂😂😂🤣🤣🤣🤣Mtoa mada nikopeshe 1.5m ntairejesha ndan ya miezi 3 mkuu natanguliza uaminifu wa hali ya juu boss 😀😀😀
Jamani
Tunamsaidia mtoa mada abebe jiko
Aisee!Mimi kama kaka yake kawaida ukimualika dada lazma pia kaka anakuwa pembeni yake so jiandae kuandaa za watu wawili izo gharama....au nakosea@Joannah
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app