Naomba niongee na nyinyi wamama mnaotumia watoto kama tiketi ya kutoka nyumbani

Naomba niongee na nyinyi wamama mnaotumia watoto kama tiketi ya kutoka nyumbani

Gulugujatza

Member
Joined
Sep 1, 2024
Posts
61
Reaction score
143
Naomba NIONGEE hili jambo moja kwa moja hata kama sijatoa salamu..

Eeeenyiiii wazazi wa kike Kuna baadhi yenu mnapenda sana kuondoka/kutoka majumbani kwenu huku umebeba mtoto mgongoni au kumshika mkono ukiamini kwamba hata mzee akirudi nyumbani akiambiwa mama flani katoka na mtoto kunakuwa hakuna shida.

Mbaya sio kuondoka na mtoto tu hapana Bali unatoka na mtoto wa mtu unaenda nae uchocholoni kuonana na mwanaume mwingine huku mtoto akiwa mgongoni au pembeni akishuhudia ujinga na ushenzi wa mama unaoendelea mbele yake,Tena wengine hata kutomasa mwilini hutomaswa mbele ya mtoto ni mbaya sana Hiyo.

Isitoshe hapo hapo huyo jamaa ataanza kumshika shika mtoto na kutoa hata pesa ya soda kwa ajili ya mtoto ili aonekane mwanaume Bora kwa mama..,

Nawaomba sana acheni SI jambo sahihi kama unamchepuko wako tafuta njia ya kutoka NYUMBANI kwako lakini Sio njia ya kutoka na mtoto mgongoni au mkonini ili iwe salama Yako.

NAOMBA KUWASILISHA KWENU 🙏🙏
 
Ila cc wanaume tunaroho ngumu sana .

Kuna jamaa mmoja aliniambia alikuwa anakula single mama mmoja hv ana mtt wa miezi Saba ,bac saa anamkula km mtt amelala na akishtuka km wapo wanapiga shoo mama mtt anamsogezea mtt ziwa uku jamaa anaendelea kukung'uta mzigo😔

Tuwalinde watt
 
Ila cc wanaume tunaroho ngumu sana .

Kuna jamaa mmoja aliniambia alikuwa anakula single mama mmoja hv ana mtt wa miezi Saba ,bac saa anamkula km mtt amelala na akishtuka km wapo wanapiga shoo mama mtt anamsogezea mtt ziwa uku jamaa anaendelea kukung'uta mzigo😔

Tuwalinde watt
Yani mungu awalinde sana watoto zetu aiseee,wanaume wengine tupo kama mashetan lengo ni kukidhi haja tu basi mengine hatuangalii
 
Ila cc wanaume tunaroho ngumu sana .

Kuna jamaa mmoja aliniambia alikuwa anakula single mama mmoja hv ana mtt wa miezi Saba ,bac saa anamkula km mtt amelala na akishtuka km wapo wanapiga shoo mama mtt anamsogezea mtt ziwa uku jamaa anaendelea kukung'uta mzigo😔

Tuwalinde watt
😀😀😀😀 jamaa yako alikua ametoka jela au
 
Ila cc wanaume tunaroho ngumu sana .

Kuna jamaa mmoja aliniambia alikuwa anakula single mama mmoja hv ana mtt wa miezi Saba ,bac saa anamkula km mtt amelala na akishtuka km wapo wanapiga shoo mama mtt anamsogezea mtt ziwa uku jamaa anaendelea kukung'uta mzigo😔

Tuwalinde watt
Sasa atafanyaje na baba mtoto kasusa mzigo?
 
Sasa atafanyaje na baba mtoto kasusa mzigo?
Muda mwingine unadhani kususa basi utasikia kisa mumewe Hana muonekano wa mvuto so kakuta jamaa ananynyua vyuma ana kimkono kimevimba bas anakuwa analidhika basi 😁
 
Ila cc wanaume tunaroho ngumu sana .

Kuna jamaa mmoja aliniambia alikuwa anakula single mama mmoja hv ana mtt wa miezi Saba ,bac saa anamkula km mtt amelala na akishtuka km wapo wanapiga shoo mama mtt anamsogezea mtt ziwa uku jamaa anaendelea kukung'uta mzigo😔

Tuwalinde watt
Hatari sana
 
Ila cc wanaume tunaroho ngumu sana .

Kuna jamaa mmoja aliniambia alikuwa anakula single mama mmoja hv ana mtt wa miezi Saba ,bac saa anamkula km mtt amelala na akishtuka km wapo wanapiga shoo mama mtt anamsogezea mtt ziwa uku jamaa anaendelea kukung'uta mzigo😔

Tuwalinde watt
Jamaa ni mkatili sana,. Angekua mke wake angefanya hivyo? Kama huyo mama anahitaji msaada ni vyema kumsaidia na angesubiri mtoto akue.
 
Back
Top Bottom