Naomba nisaidiwe tatizo hili Ajira portal

Kama umejaza kila kipengele vizuri haiwezi ikabakia hiyo 55% unayosema. Au labda system iwe na matatizo, tofauti na hapo utakuwa umekosea mahali.
Tafuta mtu unayemwamini akusaidie kujaza.
 
naombeni msaada hii portal ili niweze kuapply natakuwa kuwa nimefikia asilimia walau 70% sasaa mi nimejaza kila kipengere baso niko asilimia 55% naweza kuwa nimekosea nn? Nisaidienii wadau.
Wewe kama mimi tu nishajaza kila kitu imekwama hapo hapo 55% namba zao na email hawaijibu

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Picha umeweka attachment je vipi kula kwenye basic skills umejaza na sehemu ya kutick taarifa zko zipo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…