Naomba niseme na baadhi ya wanamume

Naomba niseme na baadhi ya wanamume

wewe labda huyo wako njo ukae na mimi mwezi unirukie rukie kama utaona hiyo chumvi au harufu. maana nyie ndo mmezidi hadi teitei ina change rangi halaafu unaataka mtu azame kisimani kweli.
 
wewe labda huyo wako njo ukae na mimi mwezi unirukie rukie kama utaona hiyo chumvi au harufu. maana nyie ndo mmezidi hadi teitei ina change rangi halaafu unaataka mtu azame kisimani kweli.
Sky naona umepotea sana rafiki
 
Hope Mambo bj asanteni wadada inakuwaga tamu sana. Hyo bahati mby km ikitokea tena ongea nae tu atakuelewa tu mapenzi ni kusikilazana na kuachiana Uhuru wa kutawala mili ya tuwapendao bila mipaka
 
Wapendwa habari za masiku,
Naomba niseme na baadhi ya wanamume,

Jaman kuna baaadhi ya wanaume wa siku hizi hawajui kushake well ,mmekuwaje?? Mtu unaenda kukojoaa kwann usituliee umalize mkojo ujikungute ndo urudishe huyo nyoka wako pangoni vizur????au kama huwezi si utumiee maji kujisafisha jaman??manake mtu unakutaaa ana chumvi chumvi kwa babu balaaa utasema uvinzaa hebu jifunzeni kushake well bwana hatutaki kusikia tuharufu twa mikojo tukiwa tunawavuaaa kisa mna haraka ya kukojoaa!!

Hebu acheni papara wakati wa kujojoaa bwana,kuna wakati mwingine unakutaa watu tushazidiwa na hili baridi kuogaa kablaa ya shughuli unajikuta unachelewa unamrukia baby kwa babu unakutana na chumvi chumvi aaaaaaaaaaaaagh.........stimu zinakata jaman!!!
hebu kuweni makini wakati wa kukojoaa na ukimaliza make sure una shake well then ndo unamrudishe huyo mzee sehemu husika!!!


Mambembe the unstoppable
QUEEN OF ALL WEATHER
Usiseme na baadhi ya wanume sema na huyo bwana wako uliemkuta na chumvi.
 
Baadhi akiwa kaugua sana STIs au UTI huwa inapelekea akikojoa anashake vizr tu ila baadae kdg akivaa matone kdg yanaweza kutoka
 
Kwanini washake! Wanawe kabisa, wakishake si kuna matone yale ya mwisho lazima yabakie!!!!
 
wewe labda huyo wako njo ukae na mimi mwezi unirukie rukie kama utaona hiyo chumvi au harufu. maana nyie ndo mmezidi hadi teitei ina change rangi halaafu unaataka mtu azame kisimani kweli.
Huyo atakuwaa mwamake mwa mkoani sio sisi wa dar mkuu
 
Tukishake well inakujanga stimu nyingine tunashake zaidi had tunakojoa tena mara ya pili.... Na hapo ndo mwanzo wa muvi la kushake well....
 
Yanakuwaga na fukuto saana na wanaume ni wabishi saana hivi kwann??
Aahaha kunyoa yote ni nomaa unashangaa umekaa sehemu ya watu weng yanaanza kuwasha unajikuta unaingiza mikono mfukoni tuu ndomana tukisha kutana na hyo aza haha haturudii tenaa kunyoaa hahah
 
Back
Top Bottom