Naomba niwe "devil's advocate" nikimtetea haszu anayejiita handsome

Naomba niwe "devil's advocate" nikimtetea haszu anayejiita handsome

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini,

Nimeona haszu akipondwa na wanaume wa jf kwa kujiita "handsome" wengine wakimtuhumu kuwa ni shoga etc.

Ingawa ni kweli baadhi ya wanaume handsome ni mashoga, lakini haimaanishi kwamba mtu akijiita handsome, basi yeye ni shoga. Hata biblia inatambua handsome men k.v Yusuph na Absalom mwana wa Daudi.

Wengine walisema uzuri wa mwanaume uko kwenye wallet, that's not entirely true, muonekano wa mwanaume (physical attributes) una-matter kwa wadada .

Ukweli mchungu ni kuwa asilimia 80 ya sisi wanaume hatuna muonekano mzuri wa kuvutia wadada (most of us men are not handsome & good-looking) ndo maana tuna struggle kupata wanawake. Tukipigwa vizinga mda mfupi baada ya kutongoza, tukiliwa nauli, tukiombwa hela mara kwa mara, tunakuja kulia humu jf, tunasema wadada wanapenda hela, wapo kimaslahi etc, ila tujiangalie na sisi, muonekano wetu unalipa? Au ni ule wa tia maji tia maji.

Mwanaume unakuta una sura ukicheka kama unalia, mnene una kitambi kama una kwasha koo, mwili una rangi mbili tofauti, halafu unamlaumu pisi kali ikikunyima namba, au ikikuomba hela mda mfupi baada ya kumtongoza, badala ya kujitathmini wewe mwenyewe in a very honest way, what's your sexual market value (SMV)

Pia nimegundua wanaume wengi humu jf wanachukia wanaume wenye muonekano mzuri kwa kuwaita mashoga au kwa kuwaponda kuwa muonekano wao is nothing bila pesa, which proves my point above kwamba most of us men aren't good looking.

Points nyingine labda Extrovert aongezee 😁
 
Ukweli mchungu ni kuwa asilimia 80 ya sisi wanaume hatuna muonekano mzuri wa kuvutia wadada (most of us men are not handsome & good-looking) ndo maana tuna struggle kupata wanawake. Tukipigwa vizinga mda mfupi baada ya kutongoza, tukiliwa nauli, tukiombwa hela mara kwa mara, tunakuja kulia humu jf, tunasema wadada wanapenda hela, wapo kimaslahi etc, ila tujiangalie na sisi, muonekano wetu unalipa? Au ni ule wa tia maji tia maji.
Wanawake wao wanasemaje kwani kuhusu Hb's vs pesa? Au nimuite sauti ya simba jike Rose shaboka atoe mwongozo.
 
1715514888275.jpg
 
Wanawake wao wanasemaje kwani kuhusu Hb's vs pesa? Au nimuite sauti ya simba jike Rose shaboka atoe mwongozo.
View attachment 3006416
Mkuu mimi nazungumzia genuine desire, soma kitabu cha rollo tomasi kinaitwa rational male utaelewa, mwanamke anataka lover na provider, lover ni mwanaume mwenye mwonekano mzuri, provider ni mwanaume mwenye hela za kuhudumia, anaeweza kuwa baba wa familia, sasa ni mara chache unaeza kuta mwanaume mmoja ana sifa hizo zote mbili za kuwa lover na provider

Hivyo utakuta ikifika mda wa kuolewa (miaka 28 kwenda juu), mdada anatumia logic anaangalia long term benefits, mdada anaolewa na mwanaume mwenye sura mbaya, ila ana hela Half american
 
Mkuu mimi nazungumzia genuine desire, soma kitabu cha rollo tomasi kinaitwa rational male utaelewa, mwanamke anataka lover na provider, lover ni mwanaume mwenye mwonekano mzuri, provider ni mwanaume mwenye hela za kuhudumia, anaeweza kuwa baba wa familia, sasa ni mara chache unaeza kuta mwanaume mmoja ana sifa hizo zote mbili za kuwa lover na provider

Hivyo utakuta ikifika mda wa kuolewa (miaka 28 kwenda juu), mdada anatumia logic anaangalia long term benefits, mdada anaolewa na mwanaume mwenye sura mbaya, ila ana hela Half american
Nadhani umejifunza kitu, maisha hayahitaji sura, yanahitaji uwezo wa uwajibikaji hasa kwetu sisi wanaume.
 
Habarini,

Nimeona haszu akipondwa na wanaume wa jf kwa kujiita "handsome" wengine wakimtuhumu kuwa ni shoga etc.

Ingawa ni kweli baadhi ya wanaume handsome ni mashoga, lakini haimaanishi kwamba mtu akijiita handsome, basi yeye ni shoga. Hata biblia inatambua handsome men k.v Yusuph na Absalom mwana wa Daudi.

Wengine walisema uzuri wa mwanaume uko kwenye wallet, that's not entirely true, muonekano wa mwanaume (physical attributes) una-matter kwa wadada .

Ukweli mchungu ni kuwa asilimia 80 ya sisi wanaume hatuna muonekano mzuri wa kuvutia wadada (most of us men are not handsome & good-looking) ndo maana tuna struggle kupata wanawake. Tukipigwa vizinga mda mfupi baada ya kutongoza, tukiliwa nauli, tukiombwa hela mara kwa mara, tunakuja kulia humu jf, tunasema wadada wanapenda hela, wapo kimaslahi etc, ila tujiangalie na sisi, muonekano wetu unalipa? Au ni ule wa tia maji tia maji.

Mwanaume unakuta una sura ukicheka kama unalia, mnene una kitambi kama una kwasha koo, mwili una rangi mbili tofauti, halafu unamlaumu pisi kali ikikunyima namba, au ikikuomba hela mda mfupi baada ya kumtongoza, badala ya kujitathmini wewe mwenyewe in a very honest way, what's your sexual market value (SMV)

Pia nimegundua wanaume wengi humu jf wanachukia wanaume wenye muonekano mzuri kwa kuwaita mashoga au kwa kuwaponda kuwa muonekano wao is nothing bila pesa, which proves my point above kwamba most of us men aren't good looking.

Points nyingine labda Extrovert aongezee 😁
Umewahi kumuona huyo mhanga wako?Au unaleta porojo za ngomani?
 
Hata mimi kipindi nipo na age hiyo.
Niliona ufahari ila kuna mda unaona ni utoto utoto tu..

We mtoto wa kiume kujisifia ni handsome mbona ni ukhanithi huo
 
Watakuja kusema hii ni ID yako nyingine,umekuja kutaka kujisupport zaidi,


Anyway unamjua Rick Ross? unamuona jinsi body yake ilivyo? unazijua pisi anazozichakata na kuzibadili kila mara?
Tafuta pesa mkuu,

Kua handsome bila hela haina maana,ni sawa na Ndevu kapewa Mbuzi ila Ng'ombe kanyimwa.
 
Hata mimi kipindi nipo na age hiyo.
Niliona ufahari ila kuna mda unaona ni utoto utoto tu..

We mtoto wa kiume kujisifia ni handsome mbona ni ukhanithi huo
Uhandsome na uanithi hauna mahusiano mkuu naona watu wengi wanalazimisha kuambatanisha ivyo vitu viwili. Mbona kuna mashoga kibao tu wana sura personal. Uhandsome na sura personal vyote havina mahusiano na ushoga wala juhudi za kutafuta hela. Mwanaume kuwa na sura personal au kutozingatia muonekano mzuri kuanzia mavazi, nywele, manukato n.k sio kiashiria cha kuonyesha wewe ndio unajua sana kutafuta hela, kuna watu wana pesa na bado wanazingatia suala la kuwa smart mfano cristiano ronaldo, mo dewji n.k
 
Back
Top Bottom