Naomba niwe "devil's advocate" nikimtetea haszu anayejiita handsome

Naomba niwe "devil's advocate" nikimtetea haszu anayejiita handsome

Kuwa handsome sio dhambi. Ina faida kubwa mtu kuwa handsome. Hata ukienda interview ni rahisi kufikiriwa kuliko mtu mwenye sura ngumu na mwonekano usiovutia. Wanaosema u-handsome ni ushoga wana wivu dhidi ya wenzao. Tatizo ninaloliona ni ma-handsome kuvimba kichwa wanaposifiwa na kujikuta wanaongeza vikorombwezo vingine mwilini na kwenye lifestyle matokeo yake ni kuonekana shoga. Binafsi tangu utotoni nimekuwa nikitajwa kama mtu mwenye sura nzuri na mwonekano unaovutia ila kamwe sijawahi kupoteza muda kuanza kujipamba na kuleta ubishoo. Huwa nikienda kufanya marketing basi kama bosi wa taasisi ni mwanamke lazima anipe dili.
 
Kuwa handsome sio dhambi. Ina faida kubwa mtu kuwa handsome. Hata ukienda interview ni rahisi kufikiriwa kuliko mtu mwenye sura ngumu na mwonekano usiovutia. Wanaosema u-handsome ni ushoga wana wivu dhidi ya wenzao. Tatizo ninaloliona ni ma-handsome kuvimba kichwa wanaposifiwa na kujikuta wanaongeza vikorombwezo vingine mwilini na kwenye lifestyle matokeo yake ni kuonekana shoga. Binafsi tangu utotoni nimekuwa nikitajwa kama mtu mwenye sura nzuri na mwonekano unaovutia ila kamwe sijawahi kupoteza muda kuanza kujipamba na kuleta ubishoo. Huwa nikienda kufanya marketing basi kama bosi wa taasisi ni mwanamke lazima anipe dili.
Another man down..!!
 
Kipi cha kupanikisha sasa hapa?

Hilo ni swali, unaweza ukalijibu au ukalipotezea
Naona unatoka nje ya mada, hapa tunaongelea uhandsome wewe unaongelea urembo kwaiyo nikafikiri nawe ni sura personal kwaiyo mada imekuchoma, anyway point yangu ni kwamba akiwa handsome basi atabaki handsome. Ajisifie asijisifie, asifiwe, asisifiwe uhandsome wake utabaki pale pale.
 
Naona unatoka nje ya mada, hapa tunaongelea uhandsome wewe unaongelea urembo kwaiyo nikafikiri nawe ni sura personal kwaiyo mada imekuchoma, anyway point yangu ni kwamba akiwa handsome basi atabaki handsome. Ajisifie asijisifie, asifiwe, asisifiwe uhandsome wake utabaki pale pale.

Already Google has a translation for it, so take a chill pill bro, ni maneno tu cha muhimu maana yake...see for yourself

Screenshot_20240602_153955_Google.jpg
 
Wewe nawe mbona unarudia makosa kama ya wenzako sema hivi baadhi ya wanaume ni.mashoga na sio baadhi y mahandsome ni mashoga.Hivi mtu kuzaliwa handsome ni zambi au vipi
 
Mkuu mimi nazungumzia genuine desire, soma kitabu cha rollo tomasi kinaitwa rational male utaelewa, mwanamke anataka lover na provider, lover ni mwanaume mwenye mwonekano mzuri, provider ni mwanaume mwenye hela za kuhudumia, anaeweza kuwa baba wa familia, sasa ni mara chache unaeza kuta mwanaume mmoja ana sifa hizo zote mbili za kuwa lover na provider

Hivyo utakuta ikifika mda wa kuolewa (miaka 28 kwenda juu), mdada anatumia logic anaangalia long term benefits, mdada anaolewa na mwanaume mwenye sura mbaya, ila ana hela Half american
Linapokuja suala la ndoa Wanawake wengi wanataka mwanaume, uwe mwanaume, baba, mlezi na mlinzi wa watoto utakaomzalisha.

Ni kama tu sisi wanaume, linapokuja suala la mke tunataka mwanamke mcha MUNGU, mama na mlezi wa famila.

Mambo ya Tako sijui shape tuna kamsemo ketu, Tembo ni mzuri kumtazama huko huko porini sio umlete nyumbani.
 
Mara nyingi watu mnaojifanya kuupinga sana ushoga huwa ndo mnafanya hivyo vitendo sirini. Ni upuuzi kwa mwanaume rijali kuwazawaza ushoga kwenye kila kitu.
Huu ndio ukweli, haiwezekani mwanaume rijali kila likiongelewa jambo ushakimbilia kulihusianisha na ushoga, inaonesha ni jinsi gani akilini mwake mawazo ya ushoga yalivyomtawala
 
Back
Top Bottom