Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Imprezza naikubali wrx tu,lakini subaru legacy hatchback ndio nakubali zaidi,najua lazima utashangaa why legacy ๐Ni IST zilizo changamka mkuu ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imprezza naikubali wrx tu,lakini subaru legacy hatchback ndio nakubali zaidi,najua lazima utashangaa why legacy ๐Ni IST zilizo changamka mkuu ๐๐๐
mala mia achukue Vanguard
Hizi imprezza zilizojaa bongo hivi karibuni uwa naziona kama ist zilichangamka tu [emoji3]
Golf GTI ni gari mkuu, kama una pesa usijiulize mala mbili mbili chukua chukua nasema chukua ๐๐Wakuu VW hio kuna polo na golf ipi kaliView attachment 1763349
View attachment 1763350
View attachment 1763351
View attachment 1763352
View attachment 1763361
Kama una access ya wauzaji uwamalizie iyo ingine kwa kidogo kidogo chukua Vanguard, utafurahi mzee babaVanguard bei kali mkuu[emoji23][emoji23]
Miss tz ina muundo mzuri kuliko kill timeLabda miss tz ila sio kili time
Siwezi kukushangaa, hatuwezi zichukia wote au kuzipenda wote, ndio maana zipo. ๐๐ ila kwangu zote big no.. nikizitazama kwa nje nazionaje sijuiImprezza naikubali wrx tu,lakini subaru legacy hatchback ndio nakubali zaidi,najua lazima utashangaa why legacy ๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Siwezi kukushangaa, hatuwezi zichukia wote au kuzipenda wote, ndio maana zipo. ๐๐ ila kwangu zote big no.. nikizitazama kwa nje nazionaje sijui
ukinyanyua unitag, tuje tuweke ligi mkuu, na mie nitakuja na Crown Athlete yenye 2GR, CC 3500 ๐๐Namiliki ile old model,twin turbo,dah!ile gari acha kabisa,huko road niliwahi kuzalilishwa na land cruser ya mkonge na v8,hamna mjinga mwingine yoyote aliekua anasumbua,kile kifaru kiko juu ya mawe mwaka wa pili sasa madogo walikiua,but najipanga nikirudishe road kwa ajili ligi tu ๐
Golf GTI ni gari mkuu, kama una pesa usijiulize mala mbili mbili chukua chukua nasema chukua [emoji205][emoji205]
Golf GTI au ?
Labda crown majesta,lakini hizo 3500,mark x,brevis yenyewe hamna kitu bro,kwa toyota wasumbufu ni v8 na lc mkongeukinyanyua unitag, tuje tuweke ligi mkuu, na mie nitakuja na Crown Athlete yenye 2GR, CC 3500 ๐๐
Huyu mnyama hasa,vw anajua kutoa vyuma vya maana sijui kwanini avumi kama kina bmw na mercedes!
Kama una access ya wauzaji uwamalizie iyo ingine kwa kidogo kidogo chukua Vanguard, utafurahi mzee baba
Golf GTI au ?
Huyu mnyama hasa,vw anajua kutoa vyuma vya maana sijui kwanini avumi kama kina bmw na mercedes!
Hiyo subaru yenye 1990 ije imchakaze hii crown ?Labda crown majesta,lakini hizo 3500,mark x,brevis yenyewe hamna kitu bro,kwa toyota wasumbufu ni v8 na lc mkonge
Chukua Toyota Land Cruiser Series 100 yenye injini ya 1HD-FTE. Ukitulia unapata iliyotumika Bongo kwa million 25.Mkuu nipe gari ambayo road ipo vzr kwa trip za mikoani bajeti 20m-25m
Majesta 1UR206 uishindanishe , na subaru kweli mkuu ? ๐๐๐๐.. mbona uonevu huo mkuuLabda crown majesta,lakini hizo 3500,mark x,brevis yenyewe hamna kitu bro,kwa toyota wasumbufu ni v8 na lc mkonge