Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Gari gani ya Toyota mkuu?Mimi mdau wa toyota babu 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari gani ya Toyota mkuu?Mimi mdau wa toyota babu 😅
Gari gani ya Toyota mkuu?
Zipi hizo mkuu?Suv toyota nazikubali
Hajui magari huyo......Mbaba umeiua bila kutaja vipengele vyake sio sawa! Mwaga moto kwanza kwanini hio sio gari wakati watu wanalipia million 20/20 zao kila kukicha?
Subaru legacy hatchback ndo ipi hio?Imprezza naikubali wrx tu,lakini subaru legacy hatchback ndio nakubali zaidi,najua lazima utashangaa why legacy 😀
Hapo wamebadilisha body tu mkuu ni gari mojaWakuu mimi naomba kuelewa utofauti wa Gari zifuatazo barabarani ikiwa zote Zina engine Aina moja 2AZ 2400Cc...Kluger, Harrier na Vanguard. 🙏
Mkonge hatoboi 160KPH akiwa 5600rpm hio ilikuwa zamani! Labda 100 Series ya 1HD-FTE hapo ndio mwendo upo ama 1VD-FTV ilioko kwenye 200 Series ile V8!
Hili swali wanaliruka sana ila kwa bajet hiyo mbona subaru ndio best..
1. Subaru xt
2. Harrier
3. Vanguard
4. kluger
5. Xtrail
😄😄😄😄😄 dharuu hiziView attachment 1764021
Credit ziende kwa page ya instagram ya "teamcruiser" hapo ni LC100 series vs V8
unashindanisha SUV na gari ambazo zimekuwa build for speed.ina nini cha ajabu ? Sub zipo zenye cc 1500, 1990 zipo 2500 chache, na za 3000 chache zaidi na zipo turbo na non turbo hapa bongo zimejaa sana 1500 na 1990.. naona maajabu yake yapo kwenye AWD.. ila sio kasi , kama kasi atapambana na kina Brevis, Crown majesta au Athlet size zake kabisa hizo ambazo atanyooshwa vizuri sana
tofautisha kati ya hizo Land CruiserView attachment 1764021
Credit ziende kwa page ya instagram ya "teamcruiser" hapo ni LC100 series vs V8
tofautisha kati ya hizo Land Cruiser
hiyo Land Cruiser series 100 inatumia engine ya 1HZ inayotumia piston 6 speed 180 wakati Land Cruiser V8 ina piston nane na engine ya 1VD-FTV ambapo speed ni mpaka 240 au 300
lkn naye ana mbabe wake akizubaa anachapwa na V8 yake
100 series ina 1HZ hio bila shaka! Lenye 1HD-FTE linafuta kisahani 🤓🤓🤓!View attachment 1764021
Credit ziende kwa page ya instagram ya "teamcruiser" hapo ni LC100 series vs V8
Now namiliki rav4 old zote including vanguard,kluger kwenye harrier napendelea zaidi ile old model si hii tako la nyani japo si mbaya sana ila nishawahi kutoka nayo moro tu hapo usiku nikaiona stability yake inakumwaga muda wowote ule,ile old model nishaenda nayo mtwara iko fresh kimtindoZipi hizo mkuu?
Mdudu kiwi kapita kama mshale vile 😅View attachment 1764021
Credit ziende kwa page ya instagram ya "teamcruiser" hapo ni LC100 series vs V8
Nachukia sana magari ambayo huwa yanataka yabembelezwe,yapetiwepetiwe kila saa,yachombezwe mara kwa mara.Mara yadai mahaba na kadhalika!
Mimi mdau wa toyota babu [emoji28]