Naomba nondo kuhusu gari aina ya Subaru Forester XT

Naomba nondo kuhusu gari aina ya Subaru Forester XT

Subaru legacy hatchback ndo ipi hio?
1619371787210.png
1619372029594.png
 
ina nini cha ajabu ? Sub zipo zenye cc 1500, 1990 zipo 2500 chache, na za 3000 chache zaidi na zipo turbo na non turbo hapa bongo zimejaa sana 1500 na 1990.. naona maajabu yake yapo kwenye AWD.. ila sio kasi , kama kasi atapambana na kina Brevis, Crown majesta au Athlet size zake kabisa hizo ambazo atanyooshwa vizuri sana
unashindanisha SUV na gari ambazo zimekuwa build for speed.
SUV sio built for speed, ila uwezo wa ku cross heavy terrains,muds.. na rough roads.

hizo teo different classes of cars. hazitokuwa sawa kwenye performance sawa.
 
View attachment 1764021
Credit ziende kwa page ya instagram ya "teamcruiser" hapo ni LC100 series vs V8
tofautisha kati ya hizo Land Cruiser
hiyo Land Cruiser series 100 inatumia engine ya 1HZ inayotumia piston 6 speed 180 wakati Land Cruiser V8 ina piston nane na engine ya 1VD-FTV ambapo speed ni mpaka 240 au 300
lkn naye ana mbabe wake akizubaa anachapwa na V8 yake
 
tofautisha kati ya hizo Land Cruiser
hiyo Land Cruiser series 100 inatumia engine ya 1HZ inayotumia piston 6 speed 180 wakati Land Cruiser V8 ina piston nane na engine ya 1VD-FTV ambapo speed ni mpaka 240 au 300
lkn naye ana mbabe wake akizubaa anachapwa na V8 yake



Nadhani hiyo LC100 series ni 1HD na sio 1HZ
 
Zipi hizo mkuu?
Now namiliki rav4 old zote including vanguard,kluger kwenye harrier napendelea zaidi ile old model si hii tako la nyani japo si mbaya sana ila nishawahi kutoka nayo moro tu hapo usiku nikaiona stability yake inakumwaga muda wowote ule,ile old model nishaenda nayo mtwara iko fresh kimtindo
 
Back
Top Bottom