Naomba Serikali iwashughulikie ipasavyo CWT pamoja na Afisa Utumishi wasio na weledi

Naomba Serikali iwashughulikie ipasavyo CWT pamoja na Afisa Utumishi wasio na weledi

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Hakuna Mwalimu yoyote yule ambae anakikubali hicho chama Cha CWT kwa miaka mingi sana wameendelea kutafuna ada ya 2% kwa Kila Mwanachama ambao ni wengi mnoo, kipindi Cha Magufuli alisema inakadiriwa kwamba wanakusanya zaidi ya Tsh billion 3 kwa mwezi huku impact ya moja kwa moja kwa walimu hao wanaokatwa hiyo ada ikiwa haionekani.

Wanajineemesha kwa ada ya 2% ndio maana wanateuliwa kwenye teuzi mbalimbali wanakataa kwenda kwa sababu huku kwenye CWT Kuna fungu kubwa wanaloiba kuliko huko kwenye ukuu wa Wilaya.

Nimemsikia Rais wa CWT akisema serikali isiwaingilie kwenye mambo Yao ya wizi wawaache waendelee kuwaibia walimu na kujineemesha, naomba serikali itoe tamko Kali sana kwa CWT na Ikiwezekana wangepigwa virungu vibaya mno wakarudi mashuleni kwao kufundisha, yaani wameacha kufundisha ety wameenda dodoma kujadili jinsi ya kuiba na kupeana posho mngewapiga virungu vingi Sana.

Baada ya chama kipya kuibuka kinachowaibia walimu 5000 ambayo ni nafuu na watu wengi sana kukimbilia huko Kwa sababu Bora anayekuibia 5000 kuliko anayekuibia 32,000/= viongozi wa CWT wilaya na mkoa wamekua wakipenyeza pesa kwa Afsa utumishi wa halmashauri kuwazuia watumishi kuhamia kwenye chama Kingine, tena hao ma Afsa utumishi wamekua na kiburi sana na kuwajibu kwamba wafanye lolote lile waende popote hawachomolewi CWT, Wamekua wakifanya kazi sio kwa misingi ya sheria na katibu ya jamhuri ya Muungano inayomtaka mfanyakazi yoyote kuchagua sehemu anayopenda.

Naomba serikali itoe tamko Kali sana kwa Hawa afsa utumishi wanaopandisha mabega na kujiona Miungu watu na kujifanyia maamuzi yao wenyewe bila kujali sheria inasema nini? Naomba pia kesi yoyote itakayowafikia juu ya Hawa afsa utumishi kukaidi au kugoma kuwaondoa watu CWT washukiwe na rungu zito saana kwa sababu wanagandamiza katiba na sheria ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wameshindwa kutafasiri sheria.

Mimi kama prakatatumba Nina Imani kubwa saana na serikali ya Mama Samia, so hao walimu waliojikusanya huko dodoma kwa kigezo Cha Baraza la kutafuna Hela za walimu, watimuliwe kwa virungu warudi mashuleni wakafundishe na kumaliza syllabus.
 
Mkuu labda walimu wa vijijini tu ndiyo wanaozuiwa kuhamia hicho chama kingine. Walimu wa mjini kitambo sana walishasepa kutoka CWT.Jambazi anayekunyang'anya TSh 5,000/- Kila mwezi ana nafuu kuliko anaye kunyang'anya TSh 32,000/- Kila mwezi.
 
Mkuu labda walimu wa vijijini tu ndiyo wanaozuiwa kuhamia hicho chama kingine. Walimu wa mjini kitambo sana walishasepa kutoka CWT.Jambazi anayekunyang'anya TSh 5,000/- Kila mwezi ana nafuu kuliko anaye kunyang'anya TSh 32,000/- Kila mwezi.
Ni kweli Kuna mdogo wangu yupo kigoma huko nimemwambia aende utumishi dodoma akamshtaki huyo Afsa utumishi.
 
Tatizo nchi hii kila mtu ni kambare. Watumishi wametanguliza maslah binafsi mbele na serikali nahisi Ina hisa na CWT maan hili jambo wadau wamelipigia kelele miaka mingi lakini wapi. Sio mwenyekiti wa Taifa Wala kiongozi wa kitongoji wa CCM anaekemea wizi wa chama hiki chakavu Cha CWT kinachowaibia walimu wa watoto wetu.
 
Tatizo nchi hii kila mtu ni kambare. Watumishi wametanguliza maslah binafsi mbele na serikali nahisi Ina hisa na CWT maan hili jambo wadau wamelipigia kelele miaka mingi lakini wapi. Sio mwenyekiti wa Taifa Wala kiongozi wa kitongoji wa CCM anaekemea wizi wa chama hiki chakavu Cha CWT kinachowaibia walimu wa watoto wetu.
Wewe acha tu, Sasa kama afsa utumishi anakwambia fanya chochote au nenda popote sikutoi unategemea nini? Yaani hao CWT walioko dodoma wangepigwa vibaya mno
 
Mkuu labda walimu wa vijijini tu ndiyo wanaozuiwa kuhamia hicho chama kingine. Walimu wa mjini kitambo sana walishasepa kutoka CWT.Jambazi anayekunyang'anya TSh 5,000/- Kila mwezi ana nafuu kuliko anaye kunyang'anya TSh 32,000/- Kila mwezi.
Uliza iringa manispaa uambiwe vizuri yaani ni vita huko
Upande huu walimu halafu kule Kuna CWT na utumishi wamefungana.
Sakata limefika mpaka ofisi ya Kamishna Taifa lakini bado na hakuna dalili ya walimu kuolewa kwenye Chama Cha walimu Tanzania.
CWT Chama kubwa sana linasimamia hadi baadhi ya hao mabosi
 
Uliza iringa manispaa uambiwe vizuri yaani ni vita huko
Upande huu walimu halafu kule Kuna CWT na utumishi wamefungana.
Sakata limefika mpaka ofisi ya Kamishna Taifa lakini bado na hakuna dalili ya walimu kuolewa kwenye Chama Cha walimu Tanzania.
CWT Chama kubwa sana linasimamia hadi baadhi ya hao mabosi
Ni kweli, mizizi yake ni mirefu mno kuchomoka huko sio rahisi maana watu wamepigwa Hela balaa
 
Hakuna Mwalimu yoyote yule ambae anakikubali hicho chama Cha CWT kwa miaka mingi sana wameendelea kutafuna ada ya 2% kwa Kila Mwanachama ambao ni wengi mnoo, kipindi Cha Magufuli alisema inakadiriwa kwamba wanakusanya zaidi ya Tsh billion 3 kwa mwezi huku impact ya moja kwa moja kwa walimu hao wanaokatwa hiyo ada ikiwa haionekani.

Wanajineemesha kwa ada ya 2% ndio maana wanateuliwa kwenye teuzi mbalimbali wanakataa kwenda kwa sababu huku kwenye CWT Kuna fungu kubwa wanaloiba kuliko huko kwenye ukuu wa Wilaya.

Nimemsikia Rais wa CWT akisema serikali isiwaingilie kwenye mambo Yao ya wizi wawaache waendelee kuwaibia walimu na kujineemesha, naomba serikali itoe tamko Kali sana kwa CWT na Ikiwezekana wangepigwa virungu vibaya mno wakarudi mashuleni kwao kufundisha, yaani wameacha kufundisha ety wameenda dodoma kujadili jinsi ya kuiba na kupeana posho mngewapiga virungu vingi Sana.

Baada ya chama kipya kuibuka kinachowaibia walimu 5000 ambayo ni nafuu na watu wengi sana kukimbilia huko Kwa sababu Bora anayekuibia 5000 kuliko anayekuibia 32,000/= viongozi wa CWT wilaya na mkoa wamekua wakipenyeza pesa kwa Afsa utumishi wa halmashauri kuwazuia watumishi kuhamia kwenye chama Kingine, tena hao ma Afsa utumishi wamekua na kiburi sana na kuwajibu kwamba wafanye lolote lile waende popote hawachomolewi CWT, Wamekua wakifanya kazi sio kwa misingi ya sheria na katibu ya jamhuri ya Muungano inayomtaka mfanyakazi yoyote kuchagua sehemu anayopenda.


Naomba serikali itoe tamko Kali sana kwa Hawa afsa utumishi wanaopandisha mabega na kujiona Miungu watu na kujifanyia maamuzi yao wenyewe bila kujali sheria inasema nini? Naomba pia kesi yoyote itakayowafikia juu ya Hawa afsa utumishi kukaidi au kugoma kuwaondoa watu CWT washukiwe na rungu zito saana kwa sababu wanagandamiza katiba na sheria ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wameshindwa kutafasiri sheria.

Mimi kama prakatatumba Nina Imani kubwa saana na serikali ya Mama Samia, so hao walimu waliojikusanya huko dodoma kwa kigezo Cha Baraza la kutafuna Hela za walimu, watimuliwe kwa virungu warudi mashuleni wakafundishe na kumaliza syllabus.
We unahisi serikali inawasumbua kwa sababu ya wizi.
Serikali kama chama kinaiunga mkono haina haja nacho hata kiwaibie hadharani.
Hapa ujue kuna.mahali wamepingana au kuna kiongozi ana bifu na kigogo na wala usidhani ni sekeseke lenye maslahi kwa walimu.
 
Walimu ni majizi ya haki (kura) za wananchi, afadhali CWT inawaibia na wao wasikie maumivu
Mpaka mwalimu anafikia hatua ya kuiba hizo kura huku akiwa ni msimamizi tu wa uchaguzi, wewe kama wakala wa chama chako cha upinzani unakuwa umeondoka kituoni na kwenda kunywa komoni! au unakuwa wapi? Umepitiwa na usingizi? Kwa nini tusiamini na wewe umeshiriki kwenye huo wizi? Zile kura feki zilizokamatwa kule Kawe zilikuwa zimeandaliwa na walimu?

Kila siku mnaambiwa mpiganie Katiba Mpya, na pia Tume Huru ya Uchaguzi, hamtaki! Na badala yake mnasubiri uchaguzi ufike! Halafu DED ambaye pia ni kada wa CCM amtangaze mgombea wa chama chake kama mshindi, na nyinyi kukimbilia kuwaangushia jumba bovu walimu!

Hivi mwalimu anashiriki kwenye wizi wa kura kuliko polisi na DEad kweli!! Sijui ni kwa nini, ila huwa ninakerwa sana na watu wasiopenda kutafuta chanzo hasa cha tatizo. Na badala yake wanafanya mambo yao kwa kufuata tu mkumbo.
 
We unahisi serikali inawasumbua kwa sababu ya wizi.
Serikali kama chama kinaiunga mkono haina haja nacho hata kiwaibie hadharani.
Hapa ujue kuna.mahali wamepingana au kuna kiongozi ana bifu na kigogo na wala usidhani ni sekeseke lenye maslahi kwa walimu.
Ni kweli aisee
 
Back
Top Bottom