HardMartin
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 306
- 109
haaaaahaaaaaUkiwa na miliini 18 hii nyumba unaweza ukahamia kibishi bishi, yani uje umalizie ukiwa unaishi ndani bila hata ya sakafu.
Japo una ramani mbaya sana .
Jamaa anajenga kambi ya jeshi ya Muda.Choo kipo barazani?
Yaani hata 10m sina yeye anaongelea 18 😅haaaaahaaaaa
sidhani kama mdau alifikilia kufikia hiyo m18
Mkuu kwa bajeti yangu hii ramani hainihusu kabisaa😅 shida yangu ni kutoka kwenye room ya kupanga. Kiwanja kipo tayari. Kwa huku Tofali ya kuchoma ni TSH 100 au 120. Nina 6m.Ramani yako mbaya sana. Chukua hizo nimetoa mtandaoni. Weka vipimo, japo ni bora utafute architect akupe ramani full ujue hafa na muonekano wa nyumba baada ya kukamilika utakuwaje.View attachment 2198388View attachment 2198389
Aapoteza hela bure. Atawaaibisha watoto wake.Jamaa anajenga kambi ya jeshi ya Muda.
Mkuu 6m kwa sehemu wanayouza tofari 100 rekebisha hiyo raman chap uanze ujenzi itakusogeza maana hio nyumba unapenda hata bati 30 hazizidi. So kwa hiyo 6m hata bpma unasimamisha fresh......usitishwe na mamilioni wanayoyasema wengi.Mkuu kwa bajeti yangu hii ramani hainihusu kabisaa😅 shida yangu ni kutoka kwenye room ya kupanga. Kiwanja kipo tayari. Kwa huku Tofali ya kuchoma ni TSH 100 au 120. Nina 6m.
😅😅😅😅😅dah! Aya bhanaAapoteza hela bure. Atawaaibisha watoto wake.
Wataitwa wale wanaokaa nyumba yenye choo barazani.
Shukrani sana mkuuMkuu 6m kwa sehemu wanayouza tofari 100 rekebisha hiyo raman chap uanze ujenzi itakusogeza maana hio nyumba unapenda hata bati 30 hazizidi. So kwa hiyo 6m hata bpma unasimamisha fresh......usitishwe na mamilioni wanayoyasema wengi.
Mkuu kwa budget yako hiyo we kua creative. Chimba msingi, nunua bati, mbao na vioo. Shusha kitu icho apo.. kwenye hiyo 6m na chenji inabakiShukrani sana mkuu
Usiku Wachawi watapiga mawe ukuta wangu wa vioo unless ni vile vioo bulletproof😅Mkuu kwa budget yako hiyo we kua creative. Chimba msingi, nunua bati, mbao na vioo. Shusha kitu icho apo.. kwenye hiyo 6m na chenji inabaki
View attachment 2198693
View attachment 2198702
Wewe chukua ramani hiyo, tia tofar zako hapoUsiku Wachawi watapiga mawe ukuta wangu wa vioo unless ni vile vioo bulletproof😅
Sio lazima uweke vioo, hapo mbele unaweza kuweka tofali ukaacha sehem ya mlango na madirisha tuUsiku Wachawi watapiga mawe ukuta wangu wa vioo unless ni vile vioo bulletproof😅
Sina maana ya kukukatisha tamaa ila najaribu tu kukupa factYaani hata 10m sina yeye anaongelea 18 😅
Basi jenga room na sebule hamia achana na habari za ramani. Ungeuliza kwa milioni 6 unaweza kujenga nyumba ya aina gani?Mkuu kwa bajeti yangu hii ramani hainihusu kabisaa[emoji28] shida yangu ni kutoka kwenye room ya kupanga. Kiwanja kipo tayari. Kwa huku Tofali ya kuchoma ni TSH 100 au 120. Nina 6m.
Kaka usipanik utajenga nyumba nzuri, huu uchafu unachekesha.Wakuu nimechoka kupanga nataka nijenge ghetto la haraka nianzie maisha. Naombeni msaada wa tathmini ya gharama. Nimechora kwa mkono tu maana sijapata uwwzo wa kumtafuta architecture. Ahsanteni
View attachment 2194380
Mkuu kwa bajeti yangu hii ramani hainihusu kabisaa[emoji28] shida yangu ni kutoka kwenye room ya kupanga. Kiwanja kipo tayari. Kwa huku Tofali ya kuchoma ni TSH 100 au 120. Nina 6m.
Unajenga mkuu kaanze tuMkuu kwa bajeti yangu hii ramani hainihusu kabisaa[emoji28] shida yangu ni kutoka kwenye room ya kupanga. Kiwanja kipo tayari. Kwa huku Tofali ya kuchoma ni TSH 100 au 120. Nina 6m.
Wakuu nimechoka kupanga nataka nijenge ghetto la haraka nianzie maisha. Naombeni msaada wa tathmini ya gharama. Nimechora kwa mkono tu maana sijapata uwwzo wa kumtafuta architecture. Ahsanteni
View attachment 2194380