Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni mfuatiliaji wa Mpira wa ulaya basi kikombe wanachocheza simba afrika kinafanana na wanachocheza Real Madrid ulaya kwa msimu huu, na wanachocheza yanga afrika kinalingana na wanachocheza Man Utd huko ulaya...usipoelewa shabikia ngumi Mandonga mtu kaziHivi hii michuano ya kimataifa inayochezwa na yanga na Simba ni Ile Ile au ni mashindano tofauti? Naomba ufafanuzi na hii dhana ya looser inakaaje? Nini tofauti ya shirikisho na club bingwa? Na je huko mbele Kuna mahali watakutana?
Dah mkuu ndio umenipoteza kabisaaa basi nijibu je as they all go up in these different trophies watakutana? Kimtanange?Kama ni mfuatiliaji wa Mpira wa ulaya basi kikombe wanachocheza simba afrika kinafanana na wanachocheza Real Madrid ulaya kwa msimu huu, na wanachocheza yanga afrika kinalingana na wanachocheza Man Utd huko ulaya...usipoelewa shabikia ngumi Mandonga mtu kazi
Hawawezi kukutana tena, Ni loser sio looserDah mkuu ndio umenipoteza kabisaaa basi nijibu je as they all go up in these different trophies watakutana? Kimtanange?
Hapa nimekuelewa mkuu kumbe tunaenda kuvuna kitita God bless Simba!Mambo ya utani yatakupoteza.Simba wapo mashindano ya kugombea kombe lenye mapesa mengi na ndiyo mashindano makubwa.Yanga baada ya kushindwa huko,ndiyo wakatupwa(wakatupwa sisitiza)kwenye kombe dogo.Usiseme wao ni "losers"!Hawakawii kulia kwa kwikwi utadhani ni ugonjwa.🤔
Asante sana mkuu !Nadhani unachotakiwa kujua ligi wanayoshiriki Yanga ni kama championship kwa hapa bongo alafu ligi kuu yenyewe ya Tanzania ndio wanashiriki Simba
Yaani ukionyesha uwezo ligi ya championship ndio unapanda daraja ligi kuu
Ukicheza ufwamba ligi kuu ndio unashuka daraja la chini ambalo ni championship
Nadhani mfano huu ni rahisi
Naam nadhani ameelewa sasaKama ni mfuatiliaji wa Mpira wa ulaya basi kikombe wanachocheza simba afrika kinafanana na wanachocheza Real Madrid ulaya kwa msimu huu, na wanachocheza yanga afrika kinalingana na wanachocheza Man Utd huko ulaya...usipoelewa shabikia ngumi Mandonga mtu kazi
Bado haujaelewa?Dah mkuu ndio umenipoteza kabisaaa basi nijibu je as they all go up in these different trophies watakutana? Kimtanange?
UmeelewekaHawawezi kukutana tena, Ni loser sio looser
UmeelewekaMambo ya utani yatakupoteza.Simba wapo mashindano ya kugombea kombe lenye mapesa mengi na ndiyo mashindano makubwa.Yanga baada ya kushindwa huko,ndiyo wakatupwa(wakatupwa sisitiza)kwenye kombe dogo.Usiseme wao ni "losers"!Hawakawii kulia kwa kwikwi utadhani ni ugonjwa.🤔
Mfano umeeleweka! Simba anashiriki kombe la championship na Yanga Ligi kuuNadhani unachotakiwa kujua ligi wanayoshiriki Yanga ni kama championship kwa hapa bongo alafu ligi kuu yenyewe ya Tanzania ndio wanashiriki Simba
Yaani ukionyesha uwezo ligi ya championship ndio unapanda daraja ligi kuu
Ukicheza ufwamba ligi kuu ndio unashuka daraja la chini ambalo ni championship
Nadhani mfano huu ni rahisi
SawaSasa ngebe zote za nini Yanga wakati wanacheza kombe la ndondo?