AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
MwanaFA aliimba "Aliyelala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi, na wala si bwana harusi...na bado mnanishauri harusi..."
ILA WANAWAKE WANABAYA SANA SOMETIMES...sasa kama unampenda huyo mtu wako...kwanini ulikubali kuolewa na mtu mwingine...
YAANI UNAENDA KUMGEA MTU WAKO UMPENDAYE KWA MARA YA MWISHO MWISHO...anakuchakaza ile chakachaka...YAANI KIPIGO CHA MBWA MWIZI...yaani hasira zote anazimalizia hapo...
Kumbe ndio wanauanzisha mwanzo mpya wa kupasha kiporo chao watakapoingia ndoani na mme wake...
Najua wapo waliowahi kuambiana na mademu zao kuwa tufanye ya mwisho kabla ya harusi...alafu kwenye harusi naye ni mgeni mwalikwa maalum kwa bibi harusi...wakati jana kabla ya leo AMEKUNG'UTWA MKONG'OTO USIO WA KAWAIDA...
Hii dhambi mbaya sanaaa...lakini hakuna dhambi isiyosameheka mbele ya Allah...cha msingi TOBA tu kabla ya kufa...
TUMUOGOPE ALLAH BASI...KAMA HUMHESHIMU MUMEO...
ILA WANAWAKE WANABAYA SANA SOMETIMES...sasa kama unampenda huyo mtu wako...kwanini ulikubali kuolewa na mtu mwingine...
YAANI UNAENDA KUMGEA MTU WAKO UMPENDAYE KWA MARA YA MWISHO MWISHO...anakuchakaza ile chakachaka...YAANI KIPIGO CHA MBWA MWIZI...yaani hasira zote anazimalizia hapo...
Kumbe ndio wanauanzisha mwanzo mpya wa kupasha kiporo chao watakapoingia ndoani na mme wake...
Najua wapo waliowahi kuambiana na mademu zao kuwa tufanye ya mwisho kabla ya harusi...alafu kwenye harusi naye ni mgeni mwalikwa maalum kwa bibi harusi...wakati jana kabla ya leo AMEKUNG'UTWA MKONG'OTO USIO WA KAWAIDA...
Hii dhambi mbaya sanaaa...lakini hakuna dhambi isiyosameheka mbele ya Allah...cha msingi TOBA tu kabla ya kufa...
TUMUOGOPE ALLAH BASI...KAMA HUMHESHIMU MUMEO...