"Naomba tufanye ya mwisho mwisho basi"

Mkuu jinsi ulivyochanganya baadhi ya maneno umeandika kwa herufi kubwa mengine madogo umenikumbusha jamaa wa tala wanavyodai hela yao wanaandika ivyo ivyo.
Mpuuzi wewe...
 
Mpuuzi wewe...
Mpuuzi ni mtu asiyechukulia jambo kwa uzito wake. Kwa tafsiri iyo ya harakaharaka nioneshe upuuzi wangu uko wapi ukishindwa niruhusu nikuite bongolala.
 
Hii mambo inakera sana,na ipo kwa wote hata wanaume,jamaa yangu kesho anaoa leo kalala kwa mwanamke mwingine...
 
Wanawake wa aina yako ni wachafu sana...mawazo hayo yanasadifu na wewe ni mchepukaji mkubwa mno...so unatetea uchepukaji wako...

WIVU KWA MWANAUME NI ASILI...MWANAMKE NI KISIRANI TU...
Kuchepuka sijawai cos ua nadeal na smart man only..alafu usiseme sisi hatuna wivu eti ni kisirani tuu.. we utakua unadate kina mwajuma ndalandefu ndo hawanaga uwivu ni visirani tuu.

Nilichomaanisha muache kua vitombi sasa ww unapanic nn kwani ni lazma ue na list kubwa ya wanawake au uchepuke?..msituchukulie poa tuna wivu na tunapenda. Mwajuma wako mwenye kisirani mpeleke kwenye maombi.😂😂😂😂😂😂.
 
Nishaaga mademu watatu kabla ya ndoa zao. Sio ujanja il ndio fani ilivyo na kuna raha yake kula mwisho mwisho
 
Huu mjadala ni subjective, wote waliowahi Kufanya hivyo wanatetea na wasiowahi wanapinga. Mi niko upande wa wanaopinga, huu mlango wa zinaa na uasherati unafungua backdoor nyingi sana ambazo huleta shida kwenye familia Mpya pasipo wengi kujua mlango uliosababisha shida hizo.

Nashauri tu, hakuna kipya unachopata. Kama angekupenda angekuoa/olewa na wewe kwa hali yoyote Ile. Wasaalam
 
Vikahaba lazima vitetee...
 
Hivi kwanini linapotokea hili, lawama zote zinaelekezwa kwa mwanamke ilhali wanaume pia wanafanya hili, ila hawalaumiwi kwa kiasi hicho?
 
[emoji1319][emoji1319][emoji1319]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…