Anahitaji kuelewa haki zake kama ataacha kazi kwa hiari, anasitahili malipo gani? Mfuko wa NHIF amechangia miaka 20 kama wataendelea kumuhudumia kama wanavyofanya kwa wastaafu na mikopo yake katika mabenki inakuwaje.
Nakaribisha wanaojua taratibu. Wakutishiana asiache kazi na majibu yasiyo na tija tukae pembeni kwanza.
Nakaribisha wanaojua taratibu. Wakutishiana asiache kazi na majibu yasiyo na tija tukae pembeni kwanza.