T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Consulting agency hiyo nadhani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Consulting agency hiyo nadhani
Thanks mkuu.Sipendi kununua HISA au Kuweka Fixed account lakini Kwa hili la kwako naona Bora ungefanya hivyo.
CRDB wana program ya fixed account inaitwa Mzigo Flex wanatoa 9% of your investment. Ukiangalia hiyo 70,000,000 ungeweka ungepata 6,300,000 kwa mwaka ambayo kwa mwezi ni 525,000 kiasi ambacho ni kikubwa kidogo kuzidi unachopata kwa sasa. Bado utakuwa na faida ya kutokuwa na usumbufu wa wapangaji Wala hakuna delay yoyote.
Ingekuwa unapata faida hiyo kwa kufanya biashara ingine yenye kuhitaji ubunifu ningesema sawa utapanuka mawazo mbeleni itasaidia lakini Kwa kujenga nyumba hakuna kupanuka mawazo.
Labda sasa nishauri uchukue mkopo bank kwa kutumia hiyo nyumba Kisha ufanyike biashara zingine ili pesa ya Kodi ndiyo ibaki kuwa rejesho la mkopo.
Best wishes
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Hapana. NI property Managers haoConsulting agency hiyo nadhani
Mkuu Bavaria wewe ndio umetoa uchanganuzi mzuri katika huu uzi tena kwa ufupi zaidi[emoji119][emoji119][emoji120]!Real Estate inaweza kuwa;
1. Kuwa na shamba, ukakodisha watu walime. Au ulime mwenyewe.
2. Kununua nyumba mbovu, unaimodify then unaiuza kwa bei ya juu.
3. Kununua nyumba, unajenga nyumba unai-list kwenye airbnb
4. Kununua kiwanja unajenga nyumba unakodisha kwa wapangaji.
5. Kununua viwanja, unapima then unauza.
6. Una kiwanja, wekezaji anakuja kujenga juu yake anakuwa anakupa commission ya mapato yake.
7. Una kiwanja, unajenga hoteli/ lodge/ guest house.
N.k
What you think is really becomes your reality,. Kila mmoja na imani yake. Kwenye kila utakachokiamini basi utaletewa njia za kukupeleka huko kwenye hiyo imani yako. Ukiamini kwamba Real Estate investment hailipi uko sawa na atakayeamin Real estate inalipa naye yuko sawa. Kila mmoja atapata mifano ya imani yakeSijui tuwaambie mara ngapi kwamba hii ni biashara kichaa. Unless uwe unaitumia kama security au hizo hela umeziiba ila kama ndio biashara ya kukufanya ufanikiwe my friend hapo umefeli tiyari.
Uliwahi ona mtu kajenga nyumba ikazalisha hela ya kujenga nyumba nyingine ndani ya miaka kumi? Sasa tafuta biashara kama spare parts, electronics, vyakula, retail stores uone nyingine ndani ya miaka mitano inazaa biashara nyingine kama hiyo. Wewe hapo unataka umiliki nyumba nyingi kwa kutumia nyumba hiyohiyo nakuhakikishia utasubiri mpaka miguu iingie tumboni.
Yani bora umiliki bodaboda nyingi nitakuelewa kuliko kumiliki nyumba. Bodaboda inataka kitu kimoja tu, ROHO NGUMU basi. Nyumba ina forces ambazo ni gharama kuzipa control na return yake ndogo.
Yani hata ufanye nini, hutokaa uwe tajiri wa kwanza wa real estate hapa Bongo. Tunao matajiri wa mabasi, madini, mazao, kilimo, usafirishaji, n.k. Tajiri specifically wa biashara za nyumba ni nani hata mmoja tu? Kwanini asiwepo, ni kwa sababu biashara hiyo hailipi wala sio kuwa watu hawaoni fursa
Haya majibu uliyatoaga kwa ujasiri utadhani ni kweli.Sijui tuwaambie mara ngapi kwamba hii ni biashara kichaa. Unless uwe unaitumia kama security au hizo hela umeziiba ila kama ndio biashara ya kukufanya ufanikiwe my friend hapo umefeli tiyari.
Uliwahi ona mtu kajenga nyumba ikazalisha hela ya kujenga nyumba nyingine ndani ya miaka kumi? Sasa tafuta biashara kama spare parts, electronics, vyakula, retail stores uone nyingine ndani ya miaka mitano inazaa biashara nyingine kama hiyo. Wewe hapo unataka umiliki nyumba nyingi kwa kutumia nyumba hiyohiyo nakuhakikishia utasubiri mpaka miguu iingie tumboni.
Yani bora umiliki bodaboda nyingi nitakuelewa kuliko kumiliki nyumba. Bodaboda inataka kitu kimoja tu, ROHO NGUMU basi. Nyumba ina forces ambazo ni gharama kuzipa control na return yake ndogo.
Yani hata ufanye nini, hutokaa uwe tajiri wa kwanza wa real estate hapa Bongo. Tunao matajiri wa mabasi, madini, mazao, kilimo, usafirishaji, n.k. Tajiri specifically wa biashara za nyumba ni nani hata mmoja tu? Kwanini asiwepo, ni kwa sababu biashara hiyo hailipi wala sio kuwa watu hawaoni fursa
hii pia ni kichaa kuandika ni rahisi lakini kwenye uhalisia ni tofauti labda uwe dereva mwenyewe ukiwapa madereva wakuletee hesabu utajuta
Sent from my TECNO CF7 usin