Naomba tusaidiane kujibu hili swali langu ambalo nimejiuliza mara mbili mbili

Naomba tusaidiane kujibu hili swali langu ambalo nimejiuliza mara mbili mbili

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hivi kwa Maisha magumu hasa ya Kijijini ya kuanzia Wazazi na Watoto (hasa wa Shule) inawezekana kweli Mtoto Mdogo (Mwanafunzi) ambaye katoka Kwao labda hata hajanywa Chai na hajui Mchana wake utakuwaje akirejea akapata Uthubutu wa kunipa Mimi GENTAMYCINE Zawadi ya Shilingi 50 za Kitanzania na wengine nao wakajichangachanga na kunipa tena GENTAMYCINE Zawadi ya Shilingi 1,800 za Kitanzania?


Nasubiria majibu yenu tafadhali kwani kuna Watoto nilienda Kuwatembelea Kijijini juzi wakanipa aina hii ya Zawadi.
 
Mambo mengine huenda ni asili za tamanduni ya maeneo fulani. Wagoni watusaidie asili ya utamaduni wa aina ya huko?
 
Chuma ulete hao au wanakultea mikosi ndani pesa za sasa hazina baraka yoyte maana zinapita sana kwenye mikono michafu
Pesa nyingine zimetolewa kwenye madhabahu za matambiko either zikudhuru au zikunufaishe chaguo ni lako
 
Hivi kwa Maisha magumu hasa ya Kijijini ya kuanzia Wazazi na Watoto (hasa wa Shule) inawezekana kweli Mtoto Mdogo (Mwanafunzi) ambaye katoka Kwao labda hata hajanywa Chai na hajui Mchana wake utakuwaje akirejea akapata Uthubutu wa kunipa Mimi GENTAMYCINE Zawadi ya Shilingi 50 za Kitanzania na wengine nao wakajichangachanga na kunipa tena GENTAMYCINE Zawadi ya Shilingi 1,800 za Kitanzania?


Nasubiria majibu yenu tafadhali kwani kuna Watoto nilienda Kuwatembelea Kijijini juzi wakanipa aina hii ya Zawadi.
Huko kwenu hizo gongo mnazichanganya na matezi ya samaki ili zivuruge vichwa vyenu? Swsli lako limekaa kisimulizi.
 
Back
Top Bottom