Naomba tuungane kuanzisha Vitabu vya Dini ya Waafrika

Ningetamani kusikia, injili kama ilivyoandikwa na Masawe. Wazungu wametuingiza mkenge.
 
Akina Stefano waliuawa na ikaisha. Sijasema Mwanamalundi ndiye Yesu wetu ila nimesema fate yake ilikuwa bora pia kama ya Yesu. Alihubiri upendo na wema pia ndo maana alipendwa. Yeye alifanya mengi maisha yake yote
Pengine unasema kweli

Lkini imeandikwa wapi?
 
Kwa heshima mkuu unaeza tupa madini kuhusu huyo mtu wengine tumemskia juu juu tuh
Sijui mkuu

Hoja yangu ni kuwa huu mradi wa kuandika kitabu ni non starter maana hao watu hawakuandika kitu kwahiyo hakuna madai ya maana watu wataibua juu yao
 
Me naunga mkono ila itabidi iwe slow process tusije tukasahau vitu kwenye kitabu. Tutachukua watu maarufu kama kina ngwanamalundi, mugo wa kibiru,etc ili kuonesha namna waafrika tulikuwa na manabii wetu wenyewe
 

Endelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…