Naomba tuungane kuanzisha Vitabu vya Dini ya Waafrika

Naomba tuungane kuanzisha Vitabu vya Dini ya Waafrika

Ni sawa,
Anza na kuandika kitabu
usiache kunitafuta nina mambo mengi ambayo naweza kukupa.

Nimeshasoma Bible times 4 nina mengi nimeyajua kupitia hiki kitabu.

All the best
 
Habarini,

Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.

Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.

Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k

Naomba kuwasilisha.
Ni wazo zuri sana, ni counter attack nzuri ya Uhayawani wa hizi Imani za wageni.

Ila iwe kama hatua ya awali, maana katika Ukamilifu wetu pia hatuhitaji Dini wala Kitabu cha kukiabudu. Tunachohitaji ni Kutambua, Kuheshimu na Kuishi Ukuu wetu.
 
Nikiwa njiani nikatupia macho kwenya banda moja la kubeti, asee kuna vijana wamejaa humo! Nguvu kazi mijini kubwa hupotea kwa kupoteza muda kwenye mambo ya kubeti, hawa wakitoka humo wakawa panya road msishangae.
Kwangu mimi ongezeko la panya road linaenda sambamba na kukua hizi ofisi za kubeti, sasa mashine za kamali zinaenea mpaka vijijini. Jamii isishangae kupata panya road mpaka vijijini siku za usoni.
🤔🤔🤔
 
Kama ni dini inayohimiza kurudia kuvaa ngozi za wanyama, mie hapana nitaiga huku kuvaa ngua za pamba mtindo ulioletwa na wageni. Kuiga mambo mazuri sio dhambi.
Ni kitu hujui tu na umetawaliwa na kutojiamini kwa kupenda vya kizungu/wageni.

Afrika tungefikia kutengeneza nguo za pamba tu kwani huko Asia walikotengeneza nguo za pamba, halili na magome ya mti wazungu ndiyo waliwafundisha?

Tuache kujitoa ufahamu,je WaafrikacSEX tulifundishwa na wazungu si tulijua tu baada ya Mungu kutuumba tukiwa na hisia za mapenzi .

Siyo wazungu ndiyo wameumbwa kugundua kila kitu na kwamba wasingekuja tusinge gundua viwanda ilikuwa ni swala la muda tu
 
Ni kitu hujui tu na umetawaliwa na kutojiamini kwa kupenda vya kizungu/wageni.

Afrika tungefikia kutengeneza nguo za pamba tu kwani huko Asia walikotengeneza nguo za pamba, halili na magome ya mti wazungu ndiyo waliwafundisha?

Tuache kujitoa ufahamu,je WaafrikacSEX tulifundishwa na wazungu si tulijua tu baada ya Mungu kutuumba tukiwa na hisia za mapenzi .

Siyo wazungu ndiyo wameumbwa kugundua kila kitu na kwamba wasingekuja tusinge gundua viwanda ilikuwa ni swala la muda tu
Una bifu na kasumba; neno wazingu umelitoa wapi? Sijatamka kuhusu uzungu.
Asiejiamini ni wewe, nimeandika wageni, sijaandika wazungu, hao sijui umewatoa wapi. Ndio utajua hujiamini, ukijikwaa utasema mzungu kakutega.
 
Una bifu na kasumba; neno wazingu umelitoa wapi? Sijatamka kuhusu uzungu.
Asiejiamini ni wewe, nimeandika wageni, sijaandika wazungu, hao sijui umewatoa wapi. Ndio utajua hujiamini, ukijikwaa utasema mzungu kakutega.
Aloyekuja na kukutawala kifikira,kiakili,kiuchumi,kisiasakiimani,nk kwa asikimia 99% na unayeamini yuko sahihi zaidi kati ya hao wageni wako i.e. wazungu na warabu ni yupi?

Kati ya wazungu na waarabu ni wapi unakopi na kupest zaidi?

Tafakari na jitambue!!
 
Aloyekuja na kukutawala kifikira,kiakili,kiuchumi,kisiasakiimani,nk kwa asikimia 99% na unayeamini yuko sahihi zaidi kati ya hao wageni wako i.e. wazungu na warabu ni yupi?

Kati ya wazungu na waarabu ni wapi unakopi na kupest zaidi?

Tafakari na jitambue!!
Maendeleo ni pamoja na kuchukua vilivyo vizuri na kuacha visivyofaa. Kuchukua au Kuiga kuvaa nguo za pamba badala ya ngozi kwangu ni maendeleo hasa kwa Afrika yetu yenye joto. Sasa hapa nazungumzia nguo kamili zinazositili mwiki sio vipande. Nitachukua kinachonifaa nasonga mbele. Hivyo! Usitake kujua wapi jua kigeni kwangu nabeba mradi kinanifaa.
Unajua hata kutumia umeme tumeiga, sasa huwezi sema tuludie Uafrika wetu wa kutumia vibatari no.
 
Mifumo yote ya fikra za uchumi na maendeleo ni copy na paste toka Magharibi, kipi urabuni kigeni.
Si kweli,magharibi hawakuwa na fikra elimu yoyote mpaka walipoenda kupigana Vita vya msalaba 1100AD,walipofika huko wakabaki wanabung'aa kwa uzuri wa majengo,watu wa huko wakitengeza sukari na vinginevyo,dawa wakati wao wa magharibi waliojua kusoma na kuandika ilikua watu wa dini
 
Maendeleo ni pamoja na kuchukua vilivyo vizuri na kuacha visivyofaa. Kuchukua au Kuiga kuvaa nguo za pamba badala ya ngozi kwangu ni maendeleo hasa kwa Afrika yetu yenye joto. Sasa hapa nazungumzia nguo kamili zinazositili mwiki sio vipande. Nitachukua kinachonifaa nasonga mbele. Hivyo! Usitake kujua wapi jua kigeni kwangu nabeba mradi kinanifaa.
Unajua hata kutumia umeme tumeiga, sasa huwezi sema tuludie Uafrika wetu wa kutumia vibatari no.
Mzungu wa kwanza anafika tabora anakuta wanyamwezi wanatengeneza nguo babu!!
 
Maendeleo ni pamoja na kuchukua vilivyo vizuri na kuacha visivyofaa. Kuchukua au Kuiga kuvaa nguo za pamba badala ya ngozi kwangu ni maendeleo hasa kwa Afrika yetu yenye joto. Sasa hapa nazungumzia nguo kamili zinazositili mwiki sio vipande. Nitachukua kinachonifaa nasonga mbele. Hivyo! Usitake kujua wapi jua kigeni kwangu nabeba mradi kinanifaa.
Unajua hata kutumia umeme tumeiga, sasa huwezi sema tuludie Uafrika wetu wa kutumia vibatari no.
Kwanini hukuchukua vizuri kwa warabu kama ni joto je waarabu kwao hawana nguo za joto?

Kikubwa ni ujinga uliolishwa darasani kutoka kwa wazungu na kuamini vyote alivyokufundisha na kukuachia mzungu i.e. kiingereza na mavazi bora kuliko vyako hata vya warabu
 
Mzungu wa kwanza anafika tabora anakuta wanyamwezi wanatengeneza nguo babu!!
Tulikuwa na hatua zetu za maendeleo na Mungu alitubariki kama walivyo wazungu hivyo tungefikia maendeleo kama ya wazungu tu kwa wakati wake hata kama tungechelewa
 
Kwanini hukuchukua vizuri kwa warabu kama ni joto je waarabu kwao hawana nguo za joto?

Kikubwa ni ujinga uliolishwa darasani kutoka kwa wazungu na kuamini vyote alivyokufundisha na kukuachia mzungu i.e. kiingereza na mavazi bora kuliko vyako hata vya warabu
Nahisi nabishana na chizi, nimesema wageni sikulenga wazungu tu,!
 
Waafrika bana, kazi mambo ya ovyo tu. Mleta mada ni mooja wa utibitsho wa uovyo wa waafrika.
 
Waafrika bana, kazi mambo ya ovyo tu. Mleta mada ni mooja wa utibitsho wa uovyo wa waafrika.
Nabii huwa hakubaliki nyumbani jambo gani la Kiafrika labda akili yako italitambua ni jema kwa kipindi chote cha maisha yako
 
Nipo hapa. Nimewahi liwaza hili jambo ila inahitaji ufadhili mkubwa na sidhani kama waafrika wenye pesa watakuwa tayari kujitoliea kukusanya taarifa.
Kukusanya taarifa ni kazi ngumu sana na huchukua miaka na vizazii.
Kuna baadhi ya wamarekani weusi wanajaribu kuandika.
Kuna kitabu nilikiokota mtandaoni kinaitwa tree of life kimeandikwa na mmisiri kilieleza hadi ibada bahati mbaya kilipitea na window.
Joshua Mapong anaandika ,kuna mkenya anaandika. Kwa hio ni vizuri basi tuanze kuandika ila inataka kujitoa sana pia kupokea masimango kutoka kwa familia zetu wenyewe majirani na watu wa nje.
Katika kitu nachokiogopa sana ni kuona na kujua yasioonekana ambayo kisaikolojia tumejengwa to oppose it na inaonekana kuwa ni negative energy.
Ukimsikiliza mapong anaweza kwamba ulitakiwa uisome kwanza vitabu yake na vingine ktk website yake kabla huchukua hatua moja mbele.
Some dr Jakanan.
Wenzetu wamarekani wapo mbele sana kutafiti maisha ya asili yao ta zamani na wanajua mengi.
Kuna kipindi nilijitupia kidogo kujua undani wa hizo dini baadae nikapotezea kulingana na harakati za maisha ya kila siku.
Ni hivi ukiamua kuandika haya mambo basi maisha yako yawe huko hata kipato kutokea huko maana huwezi shika mwili.
Kama utakuwa na plan nzuri utafanikiwa vinginevyo utafeli kama nilivyosema, udhamini unatakiwa. Kuna usafiri, kuwalipa watu wakupe taarifa nk.
 
Kuna Mjapan aliba mizimu yeti ya Kitongwe akaihamishia Japan, nikienda Tongwe nataka niifuatilie hii kitu kwa undani.
Nasikia mababu walimfundisha lila kitu bila kuacha nukta akasepa na mzigo mpaka leo sijui matokeo yake ni nini?
 
Habarini,

Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.

Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.

Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k

Naomba kuwasilisha.
Kuwepo na kitabu cha Mtume Mwanamalundi. Asisahaulike Nshinshi wa Bondeni Chunya
 
Back
Top Bottom