Naomba tuungane kuanzisha Vitabu vya Dini ya Waafrika

Naomba tuungane kuanzisha Vitabu vya Dini ya Waafrika

Lazima tuwe na belief yetu kwanza ndipo tuweze kuwa na vyakwetu huwezi kuwa na gari la mzungu lugha ya mwarabu imani ya muhindi
hicho kitabu uarumia lugha gani kukiandika sababu ukitumia kiswahili meneno mengi tanyo tumika kwenye lugha hiyo ni ya kiarabu ukitumia kigereza watasema dini ya wazungu ukitumia mtatumia lugha gani?
 
Who is God to you? Concept ya Mungu ni tofauti kwa kila jamii/mtu............we una namna yako ya kumtambua mungu unaemuamini wengine wanaabudu ng'ombe............wengine mungu ni ile nguvu ya juu kabisa katika kile wanachokiamini
Kwahyo unakubaliana na mm kwamba hata sisi waafrika tuna dini zetu kama ambavyo mababu zetu walikuwa wanaabudu miti,wanyama,milima n.k?
 
Tatizo unaamini ulichoaminishwa na waliokutawala hivyo siyo rahisi kutafuta ukweli juu ya uliotawaliwa nao hasa kujua nini sababu ya kinjekitile kufeli kama siyo kusalitiwa kitu ambacho watu kama wewe mnakiendeleza kwa kusaliti kila wazo la Mwafrika.
Nature ya wanaadamu ni usaliti

Kwani Mussa hakusalitiwa?
Yesu je?
Muhammad nae?

Hao wote walisalitiwa na wakaibuka washindi sishangai kinjekitile kusalitiwa

Ikiwa yeye alitumwa na Mungu kweli alipaswa kutoboa hata kama alisalitiwa

Halafu fikra za kuona kila kitu unaonewa ni mbaya kabisa

Kila kitu unalaumu watu wewe huoni tulikosea wapi? Umefanya jitihada kwako binafsi kurekebisha?

Is your life in order? Unaabudi hiyo Miungu unayohubiri hapa?

Kama huiabudu unawezaje kukosoa wengine

Anza kuishi idea yako wewe kwanza na sisi tushawishi kwa mfano hai sio story

Yesu hakupiga story aliishi ukristo kweli

Muhammad alianza peke yake na wengine tukamfuata

Kwahiyo na wewe anza ww kwanza na kama hujasoma🤣 jua umekwisha!!!
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana, wapo busy kupambania imani za ki magharibi huko...
 
Mimi siishi kwa kumtegemea yesu wa wazungu au mojamad wa warabu ninaishi kwa kuabudu MABABU ma MABIBI zangu siingii msikiti wala kanisani nmuamini MUNGU na kumiomna kwa kupitia kwa MABABU NA MABIBI zangu na nimefanikiwa sana,sana sadaka natoa kwa wahitaji siyo kwa makanisa na misikiti.

Narudia kwa ujinga mlionao wa kumchangia mchungaji au sheikh fedh anapotaka kununua au kujenga nyumba halafu wewe anakwambia akuombee utavipata mjiandae kuwa maskini.
 
Skiliza wewe
Haujui Yesu (as), Muhammad (saw) wameleta nini?

Kama hata hilo hujui sijui nitajadili nini na wewe

Sjui nikuambie Nini unielewe ndugu yangu

Jesus is for Israelians
Muhamadi is for Arabians
So
Who is GOD for Africans?

Je hakuna mungu wa kiafrica? Hakuna nabii wa ki Africa?
Hakuna DINI na mungu wa kiafrica?

Kwanini wewe uitwe rashidi badara ya shilwa?
Kwanini wewe uitwe Peter badara ya mbwiga?


Tuanzie hapo fundi chaga😂😂😂
 
Kikubwa wanachotuzidi wazungu na waarabu ni kujiamini na kuamini vyakwao tatizo la WAAFRIKA ni kutojiamini na kuamini vya wazungu na waarabu.

Kwa huu ujinga wa kuamini dini,mavazi,lugha,vyakula,n.k vya waarabu na wazungu hatutafika kokote
 
Kwa kuanzia tu ,wafrika tulikuwa tuna abudu mizimu
Kabla ya kuletewa dini hizi mbili

Ova
 
Skiliza wewe

Sjui nikuambie Nini unielewe ndugu yangu

Jesus is for Israelians
Muhamadi is for Arabians
So
Who is GOD for Africans?

Je hakuna mungu wa kiafrica? Hakuna nabii wa ki Africa?
Hakuna DINI na mungu wa kiafrica?

Kwanini wewe uitwe rashidi badara ya shilwa?
Kwanini wewe uitwe Peter badara ya mbwiga?


Tuanzie hapo fundi chaga😂😂😂
Asee maswali kuhusu hiyo Miungu ni mengi na hakuna mwenye jibu

Nimekuuliza huyo Mungu wa waafrika anaitwa nani?😂

Achana na cheap propaganda za majina sijui mwelwa sijui rashid
 
Habarini,

Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.

Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.

Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k

Naomba kuwasilisha.
Yapo misri. Google utapata vitabu vingi ila inabidi usiwe mvivu wa kusoma. Nilikuwa nacho kimoja kilipotea na window.Wamarekani weusi nao wameandika sana.
Duniani kuna kila kitu
 
Mimi siishi kwa kumtegemea yesu wa wazungu au mojamad wa warabu ninaishi kwa kuabudu MABABU ma MABIBI zangu siingii msikiti wala kanisani nmuamini MUNGU na kumiomna kwa kupitia kwa MABABU NA MABIBI zangu na nimefanikiwa sana,sana sadaka natoa kwa wahitaji siyo kwa makanisa na misikiti.

Narudia kwa ujinga mlionao wa kumchangia mchungaji au sheikh fedh anapotaka kununua au kujenga nyumba halafu wewe anakwambia akuombee utavipata mjiandae kuwa maskini.
Hapo kwa masheikh tusiwaonee hao wengi wapo na shughuli zao mambo ya msikiti hawategemei kuendeshea maisha yao
 
Skiliza wewe
Haujui Yesu (as), Muhammad (saw) wameleta nini?

Kama hata hilo hujui sijui nitajadili nini na wewe
Majini asili yake ni warabu ambayo sisi Waafrika tunaiita mizimu, hao waarabu hawakutawaliwa na wazungu na kuoandikizwa ujinga wa wazungu ndiyo maana waliweza kujisimamia baada ya kuzitetea mila na desturi zao,pia wachina,wazungu,n.k waliweza kisimamia mila na desturi zao.

Huwezi kufanikiwa iwapo hujaweza kuzilinda mila na desturi zako i.e. dini/imani ndiyo maana Afrika ni maskini kulinganisha na wazungu na warabu waliosimamia mila zao.
[/QUOTE

Asee maswali kuhusu hiyo Miungu ni mengi na hakuna mwenye jibu

Nimekuuliza huyo Mungu wa waafrika anaitwa nani?😂

Achana na cheap propaganda za majina sijui mwelwa sijui rashid
Huyu mungu anaitwa nsana gwa nyoko mkuu
 
Ndiyo hapo mkuu najiuliza kila siku

Hiyo miungu ilikuwepo wapi wakati wale washenzi wanakuja kutupeleka utumwani


Na wewe kwanini ukakubali kupelekwa utumwani?? Kwanini usipambane?? Huoni kupelekwa utumwani ilikuwa ni ujinga na uoga na uzembe wako mwenyewe!!-- inakuaje mtu atoke atokake aje nyumbani kwako na anakukamata kama swala na anaondoka na wewe kiulaini !!, isitoshe utumwa ilikuwa ni biashara iliyochukua muda mrefu je mlishindwaje kushirikiana nyinyi wenyewe na kuitokomeza??, waafrika tulikuwa hovyo na hadi leo tunanyanyaswa na kubaguliwa na kuporwa maliasili zetu ni muendelezo wa ujinga uleule tuliorithi kutoka kwa mababu zetu hivyo huna haja ya kumlaumu Mungu bure juu ya ujinga wako.
 
Naanza kuandika and then tutaendelea kujazia nyama kwa hekima zetu za kiafrika :-
Hapo mwanzo nchi na dunia ilijaa ukiwa na upweke, RUWA, akaona haipaswi kuwa hivi, wakati huo dunia ilikuwa na viumbe aina mbali mbali vilivyokuwa vya ajabu ajabu vinavyotembea wima, na vinavyotembea kwa mfumo wa viungo vinne, waliokuwa wanatembea wima wengi walikuwa ni viumbe weusi, walikuwa wamejaa eneo kubwa la tufe la mapori na kiza kinene, RUWA, alihuzunika sana kwa hali ile,..........
 
Habarini,

Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.

Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.

Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k

Naomba kuwasilisha.
Dini haziwezi kutusaidia chochote,dini zinatatua matatizo ya kiroho/spiritual matters,sie matatizo yetu ni ya kiuchumi.
Elimu duni,kilimo duni,viwanda havina technoloji ya kisasa,Elimu yetu Haina miundombinu Bora ya kisasa ya kufundishia,hayo ni matatizo ambayo hayawezi kusoviwa na dini.
Tunahitaji sayansi,tuwekeze kwenye sayansi,na tekinolojia kwenye kila sekta ya uchumi,Elimu,kilimo,usafiri,utamaduni,
Hatuwezi kuendelea kufundisha watoto panzi ana miguu mingapi,
Mvua ikikosekana,tunaenda kwa Mwamposa kupiga Dua kufunga na kuomba,huko duniani watu wanaweka mifumo ya umwagiliaji.
Mvua inahitajika mashambani,badala ya kupiga Dua kuomba mvua,tujenge miundombinu ya umwagiliaji.
 
Asee maswali kuhusu hiyo Miungu ni mengi na hakuna mwenye jibu

Nimekuuliza huyo Mungu wa waafrika anaitwa nani?[emoji23]

Achana na cheap propaganda za majina sijui mwelwa sijui rashid
MUNGU ni mmoja duniani,hakuna Mungu wa Wafrika au Waarabu,Wazungu,rtc.

Huyohuyo anaitwa majina tofauti tu Mungu,Mlungu,Nyasae,Imana,n.k tunachoongelea hapa ni jinsi ya kumuabudu ambapo Wazunguzu wanataka tumuabudu kupitia yesu na waarabu tupitie mohamad wakati hao ni waasisi wa dini au imani zao.

Sisi pia tulikuwa na waasisi wetu kama Mwanamarundi,Kisukarumbele,Mirambo,nk ambao walimuamini Mungu huyohuyo na walikuwa na miujiza zaidi ya mohamed na yesu na walikuwa WAAFRIKA siyo wazungu wala waraabu.

MUNGU ni mmoja aliyeumba viumbe vyote vilivyohai na visivyohai ulimwenguni kote
 
Na wewe kwanini ukakubali kupelekwa utumwani?? Kwanini usipambane?? Huoni kupelekwa utumwani ilikuwa ni ujinga na uoga na uzembe wako mwenyewe!!-- inakuaje mtu atoke atokake aje nyumbani kwako na anakukamata kama swala na anaondoka na wewe kiulaini !!, isitoshe utumwa ilikuwa ni biashara iliyochukua muda mrefu je mlishindwaje kushirikiana nyinyi wenyewe na kuitokomeza??, waafrika tulikuwa hovyo na hadi leo tunanyanyaswa na kubaguliwa na kuporwa maliasili zetu ni muendelezo wa ujinga uleule tuliorithi kutoka kwa mababu zetu hivyo huna haja ya kumlaumu Mungu bure juu ya ujinga wako.
Utumwa haujaisha,kama mababu zetu walivyochukuliwa namna ile,hata leo,tunapigwa sana,lakini sio kweli kwamba watu walichukuliwa kizembe,
Ushahidi ni vita ya majimaji,machifu kibao walinyongwa,jamii nyingi zilipambana kupinga utumwa,lakini kwa vile tulikuwa na dhana duni,tulishindwa vita,
Mfano mzuri,chukulia dikteta wa Libya Ghadafi alivyotandikwa na nchi za magharibi,kwa vile tu hakutaka wazungu waendelee kuvuna mafuta yake,nchi za ulaya,NATO,na USA,zilimtandika,zikamuua,na sasa hv wanavuna mafuta yake,
Umoja wa Afrika,ulikaa kimya,ukafyata mkia!hii imetokea Karne 21.
Tulipambana,ila wakatuzidi,baada ya uhuru,sisi tulidhani ubaya wa wazungu ni rangi yao,tukaweka weusi wenzetu,baada ya muda wakaonja utamu wa madaraka,ndio tukazaa majambazi ya ccm bongo,kanu Kenya,na Mengine Mengi,Uganda,Afrika magharibi,
Inabidi tuyaue haya Ili tukae vzr
 
Back
Top Bottom