Banjuka
JF-Expert Member
- May 7, 2021
- 1,007
- 1,922
Huwo ni uwekezaji, huwezi kuanzisha Dini wakati huna mtaji.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo utafanya wewe,huyu kaja na hili,mwingine atakuja na lingineof what use? Nilidhani tuungane tutengeneze magari, ndege , baiskeli , tugundue dawa za magonjwa yanayotukabiri, etc etc za african brand/flavour, bado tu mko kwenye dini!
Kwan huko uarabun, South America hakuna uganga?Nakama DINI yetu NI uganga Na inaponya nisawa pia tukakitumia hichi kitabu
Majini asili yake ni warabu ambayo sisi Waafrika tunaiita mizimu, hao waarabu hawakutawaliwa na wazungu na kuoandikizwa ujinga wa wazungu ndiyo maana waliweza kujisimamia baada ya kuzitetea mila na desturi zao,pia wachina,wazungu,n.k waliweza kisimamia mila na desturi zao.Ndio Mungu ni mmoja lakini hata ndani ya waafrika wa kale kuna waliompatia na wengine wengi waliishia kuabudu viumbe tu kama majini nk. Mungu hujifunua kwa wanadamu polepole na inweza kuchukua mamilioni ya miaka kufunuliwa kuhusu Mungu. Wazungu walishaupata ufunuo ulio wa juu zaidi yetu kuhusu Mungu. Na ujue sio wazungu wote. Sasa kwanini kurudi nyuma?
Muda ndiyo unaoamua waliotupoteza ni waliotutangulia i.e. educated elites baada ya waasisi wetu wa awali i.e. mababu zetu lakini sasa tumekuja zao jipya tutaweza kabisaaaa labda wewe msaliti ndiyo utashindwa kwa kuendelea kuisaliti imani yakoKipi kilichoanzishwa na Mwafrika kikafaulu, pan africanism imefeli, imani ya rastafari imefeli. Kabla ya kuanzisha jambo angalia asili ya watu hao ipoje
Tatizo unaamini ulichoaminishwa na waliokutawala hivyo siyo rahisi kutafuta ukweli juu ya uliotawaliwa nao hasa kujua nini sababu ya kinjekitile kufeli kama siyo kusalitiwa kitu ambacho watu kama wewe mnakiendeleza kwa kusaliti kila wazo la Mwafrika.Yani kitu pekee kingetuletea dini ni Kinjekitile kushinda ile vita ya maji maji
Mussa (as) na Muhammad (saw) wenzake walishinda vita zao yeye alifeli
Who is God to you? Concept ya Mungu ni tofauti kwa kila jamii/mtu............we una namna yako ya kumtambua mungu unaemuamini wengine wanaabudu ng'ombe............wengine mungu ni ile nguvu ya juu kabisa katika kile wanachokiaminiCan you be spiritual person without bealiving in God?
Yesu Kristo ana nguvu kuliko miungu yote ya Kiafrika.Hakuna haja ya kuvumbua gurudumu kwani lishavumbuliwa tayari. Wazungu walipokuja kuvamia Africa Babu zetu walikuwa na miungu yao. Walitumia miungu na mizimu yao kutaka kuwaondoa wazungu lakini ilishindikana. Kwanini? Kwa sababu miungu ya wazungu ina nguvu zaidi ya miungu ya waafrika! Tuifuate miungu na maarifa ya wazungu tutafanikiwa kama wao.
Hapa umewasaidia,asante!Muhindi na mchina je?? Ishu ni kufata kama zombi,,,hizo teknolojia na maarifa mengine pia mzungu alichukua kwa wengine sio vyote vya kwake,,,kakopi ila kabaki na asili yake kama walivyo wahindi na hata hao wachina na wenzao, we mtu mweusi unataka kukopi na ku paste kila kitu hadi asili yako unaisahau ,huo sasa ndo utumwa na ndo maana pamoja na kukopi kote huko bado afrika na mtu mweusi amebaki kua masikini na mtu wa mwisho karibia kwenye kila kitu duniani tofauti na wenzie waliokopi ya wazungu na wakafika mbali kama wahindi, wachina na hata waarabu.........watu wanakopi ila hawazifuti asili zao kama mtu mweusi anavyofanya kwa upumbavu wake
Siyo kweli umeongopa pale ngombe anatumika kama kiunganishi chao na Mungu kama wewe unavyomtumia yesu au muhamadimaria,nk.Who is God to you? Concept ya Mungu ni tofauti kwa kila jamii/mtu............we una namna yako ya kumtambua mungu unaemuamini wengine wanaabudu ng'ombe............wengine mungu ni ile nguvu ya juu kabisa katika kile wanachokiamini
Tunarudi palepale huyo unaesema mungu ndani yako unaielewaje/kuitambuaje hio nguvu......kama wote tungekua tunaitambua hio nguvu moja basi dunia ingekua paradisoSiyo kweli umeongopa pale ngombe anatumika kama kiunganishi chao na Mungu kama wewe unavyomtumia yesu au muhamadimaria,nk.
Hata Afrika wanatumia viumbe mbalimbali kuwaunganisha na Munguhata USA wanamimini tai ananguvu ya kuwaunganisha na nguvu ya Mungu
Ana nguvu kwako usiyejitambua na siyo kwa Waafrika,Wahindi,Wakorea,nk wanaojitambua je Waafrika wasiowamwani yesu hawafanikiwi na nyie mnaomuamini mmefanikiwa wote?Yesu Kristo ana nguvu kuliko miungu yote ya Kiafrika.
Hakuna kitu paradiso ondoa ujinga huu kichwani kwako na uache kukariri na kuamini kila ulichofundishwa au kulishwa na mzungu,nguvu ya Mungu iko ndani ya kila kiumbe na ndiyo maana kila kiumbe kina hisiaTunarudi palepale huyo unaesema mungu ndani yako unaielewaje/kuitambuaje hio nguvu......kama wote tungekua tunaitambua hio nguvu moja basi dunia ingekua paradiso
Ishu sio mafanikio, ishu ni je miungu ya Kiafrika ipo na inafanya kazi?Ana nguvu kwako usiyejitambua na siyo kwa Waafrika,Wahindi,Wakorea,nk wanaojitambua je Waafrika wasiowamwani yesu hawafanikiwi na nyie mnaomuamini mmefanikiwa wote?
Naona hatuelewani.........kwani nimeongelea paradiso ya hizo imani za wazungu?? Nilichomaanisha ni kwamba hii dunia watu wasingekua na mitifuano isioekeweka. . .unaelewa nini ukisikia paradisio, nirvana na utopia???Hakuna kitu paradiso ondoa ujinga huu kichwani kwako na uache kukariri na kuamini kila ulichofundishwa au kulishwa na mzungu,nguvu ya Mungu iko ndani ya kila kiumbe na ndiyo maana kila kiumbe kina hisia