Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,878
- 3,263
Ndiyo hapo mkuu najiuliza kila sikuMfumo wa nature chenye nguvu umeza kinyonge.
Kama miungu ya kiafrica ilishindwa kumlinda mwafrika asichukuliwe utumwani plus kutawaliwa je kwa sisi kizazi cha SAsa tuna haja ipi kuabudu miungu dhaifu iliyoshindwa.
Hiyo miungu ilikuwepo wapi wakati wale washenzi wanakuja kutupeleka utumwani