Naomba tuungane kuanzisha Vitabu vya Dini ya Waafrika

Naomba tuungane kuanzisha Vitabu vya Dini ya Waafrika

Uzuri wenzetu wana maelezo yanayojitosheleza yanayoweza tumika kujustify wakati wa kushawishi watu

Hiyo Miungu yetu sasa… hata jina hatujui

Hapo jumlisha role models

Wakristo wana Yesu, kwa Yesu wao huwaambii kitu

Waislam tuna Muhammad (pbuh)
Hutwambii kitu

Role model hawa kwetu ndiyo viigizo mtu akiishi ana strive kuwa kama Yesu au Muhammad hawa ni watakatifu

Hiyo dini ya Afrika nani mtakatifu?
Firauni? Ambaye toka tunakua tunafundishwa kuwa alikuwa na laana?

Nani atatenda miujiza ili tumwamini kweli katumwa na Miungu yetu😂
Nafikiri tungeanza na Alina mwana malundi,huko usukumani tujiulize je. Nguvuzao walizitolea wapi? Je waliamini katika Nini?

Huenda kidogo tunaanza kupata asili ya miungu yetu
 
Nafikiri tungeanza na Alina mwana malundi,huko usukumani tujiulize je. Nguvuzao walizitolea wapi? Je waliamini katika Nini?

Huenda kidogo tunaanza kupata asili ya miungu yetu
Mkuu unazungumzia dini ya Afrika

Huyo mwanamalundi hapo Kongo wanamjua? Au kongo mbali hapo Uganda wanamjua?
 
Hivyo vitabu vipo tayari. African Americans wamefanya research sana. Kwa mfano dini ya Wamisri,na unapoo gelea dini ya Waafrika mainly utakuwa unaongea kuhusu dini ya Misri,dini ya Osiris,Isis,Horus,Anubis,n.k.
Bira Shaka Sasa nikuanza kuzitafuta nakara za vitabu hivyo angalau tuanze kuzitumia Sheria moja moja
 
Mkuu unazungumzia dini ya Afrika

Huyo mwanamalundi hapo Kongo wanamjua? Au kongo mbali hapo Uganda wanamjua

Huenda asijurikane lakini habari na Visa vyake vikajurikana vipi kuhusu DINI za osiri huko egypt zinazo jurikana dunia nzima haziwezi kutufaa?

Kumbuka pia yesu alijurikana Israeli pekee lakini baada ya kifo chake Wana funzi wake wali mtangaza dunia ikamjua

Na sijui unajua mziki walio kutana nao kwenye mataifa mengine?
Stefano,Paulo,yohana, walipata shida
 
Uzuri wenzetu wana maelezo yanayojitosheleza yanayoweza tumika kujustify wakati wa kushawishi watu

Hiyo Miungu yetu sasa… hata jina hatujui

Hapo jumlisha role models

Wakristo wana Yesu, kwa Yesu wao huwaambii kitu

Waislam tuna Muhammad (pbuh)
Hutwambii kitu

Role model hawa kwetu ndiyo viigizo mtu akiishi ana strive kuwa kama Yesu au Muhammad hawa ni watakatifu

Hiyo dini ya Afrika nani mtakatifu?
Firauni? Ambaye toka tunakua tunafundishwa kuwa alikuwa na laana?

Nani atatenda miujiza ili tumwamini kweli katumwa na Miungu yetu😂
Sina mengi Ila Kuna haja ya kufikilia nje ya box 😂
 
Habarini,

Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.

Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.

Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k

Naomba kuwasilisha.

Dini ya waafrika ndio nini
 
of what ue? Nilidhani tuungn e tutengeneze magari, ndege , baiskeli , tugundue dawa za magonjwa yanayotukabiri, etc etcza african brand, bado tu mko kwenye dini!
dawa ya kolona uligundua mpwendwa wetu magu tangawizi na swaumu
 
Asee nikuhakikishie HALITAFANIKIWA KAMWE!

Walioanzisha wote tazama walivyojitoa sadaka

Mussa, Yesu, Muhammad

Sio jambo jepesi jepesi la kukaa kikundi cha wauza mbege mkaanza kuandika
hao ulio wataja walianzisha nn?
 
Habarini,

Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.

Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.

Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k

Naomba kuwasilisha.
Shida yote hiyo ya Nini Kwani hizo zilizoletwa umelazimishwa uzifuate ? Mbona una haki ya kuamua kutofuata yoyote
 
Huenda asijurikane lakini habari na Visa vyake vikajurikana vipi kuhusu DINI za osiri huko egypt zinazo jurikana dunia nzima haziwezi kutufaa?

Kumbuka pia yesu alijurikana Israeli pekee lakini baada ya kifo chake Wana funzi wake wali mtangaza dunia ikamjua

Na sijui unajua mziki walio kutana nao kwenye mataifa mengine?
Stefano,Paulo,yohana, walipata shida
Hiyo osiri binafsi ndiyo kwanza naisikia leo

Enhee unaabudije, rituals je, ukitenda mema unalipwaje?
 
Kama kitabu kitakuwa tofauti na rules za uganga,hicho kitakuwa chakwako
Wewe umewaza uganga tu ndiyo akili yako ilipoishia kwa kuwa ulishakaririshwa kuwa mila za desturi za waafrika ni "wichcrafts" pasipo kujiuliza witch inamaana gani na craft ina maana gani.

Ujinga ulionaonao wewe siyo wa kuisha leo
 
Asee nikuhakikishie HALITAFANIKIWA KAMWE!

Walioanzisha wote tazama walivyojitoa sadaka

Mussa, Yesu, Muhammad

Sio jambo jepesi jepesi la kukaa kikundi cha wauza mbege mkaanza kuandika
Mimi simuamini huyo yesu wa mohamed kama wewe bwana na hata hao mambo yao yaliandikwa na jamii yao siyo mwafrika kwani wapi umeelezwa kuwa yesu,musa au mohamed walikuwa ni Waafrika?

Siongelei na htutaandika habari za wazungu wala warabu katika kitabu chetu kama wao ambavyo hawakutuandika Waafrika kwenye biblia au quruan zao.

Jiongeze
 
Back
Top Bottom