Ila tuzae wakike [emoji8]Wamekufanyaje mkuu hadi unajutraaa?
Vijana sio wanaumeUtajutraa?
Wanaume wa dar punguzeni vimisemo.
Ukaogopa?Ilinitokea hiyo ,nilijiuliza maswali mengi sana magumu, mtoto atalelewa vipi bila baba, jibu nikaona naingizwa mkenge, nikapotezea
Sent
Umepata wa kuzaa nae?Vijana sio wanaume
Zenji si hatarini zaidi?Dah utajutra tena?? Mi ndo maana dar huwa napita njia tu nikielekea zenji
Unguja Ni balaa maana Kuna jamaa anahonga magari kwa exchange ya public viewZenji si hatarini zaidi?
Niliogopa mkuu, maana nna mke na familiaUkaogopa?
Ungejaribu uone motoniliogopa mkuu, mana nna mke na familia
Tupate Wadhamini Wetu Kidogo Wakati Tunamngoja Mh Ummy Anajiandaa Kutupa Takwimu