"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

Achana na Wanaume waliopo kwenye ndoa ......Kuna mwanangu mmoja ....Aliamua KWENDA kusaka maisha Ughaibuni Huko ....day anasepa demu Wake kamwambia Just be a sperm donor.... Alivyo fala kaloweka Rungu komredi kipepe Akatema mabeberu Demu Sasa hivi anamsumbua kinoma alafu maisha yenyewe ndo Kama hivyo hajawin Bado yanki anajuta kinoma ...
 
Ungejaribu uone moto
haha nilihisi tu ulikuwa moto , mana mzigo ulifunga safari kutoka mkoa kuja kuniletea hiyo inayoitwa zawadi yangu kwake, kibendi jazz band
kwa jinsi alivyoingia gharama zake kwa maandalizi ya hilo tukio nikajua haiwezi kuwa free ride , nikajiongeza,

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom