ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Hahahaha nikiwa tayari ntakwambia lolš¤£Mie sijaoa ila nina mtoto wakiume HB kunishinda mimi Baba yake.
Naomba uniambie na unisumbue kulea [emoji1317]Ila tuzae wakike [emoji8]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha nikiwa tayari ntakwambia lolš¤£Mie sijaoa ila nina mtoto wakiume HB kunishinda mimi Baba yake.
Naomba uniambie na unisumbue kulea [emoji1317]Ila tuzae wakike [emoji8]
Hahahahaha tutazaa
Dogo! Utaacha ugoro lini?Wadada wa mjini ndo zao wanaku-approach eti tuzae tu (sperm donor) hasa wanaume walio kwenye ndoa. Halafu eti hatakusumbua, haipogo hivyo Wakulungwa ukijichanganya ukazaa naye utajutraa.
NB: Kabla hufanya Risk assessment kulingana na kipato chako, hawaji kichwakichwa, so Kama Huna hell Hawa utawasikia kwa wenye hell tu.
Bila matumizi?
Ewaaaa, 40% kwa 60%
Tayari kuipeleka hatua ya pili[emoji8]Hahahaha nikiwa tayari ntakwambia lol[emoji1787]
šš mtoa mada ametuangusha sanaUtajutraa?
Wanaume wa dar punguzeni vimisemo.
Akinipeleka mahakamani, nitajitetea "ndugu hakimu, aliniomba tu mbegu, kwa kuwa nilikuwa nazo nikampa" kosa langu ni nini?Wadada wa mjini ndo zao wanaku-approach eti tuzae tu (sperm donor) hasa wanaume walio kwenye ndoa. Halafu eti hatakusumbua, haipogo hivyo Wakulungwa ukijichanganya ukazaa naye utajutraa.
NB: Kabla hufanya Risk assessment kulingana na kipato chako, hawaji kichwakichwa, so Kama Huna hell Hawa utawasikia kwa wenye hell tu.