"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

Wadada wa mjini ndo zao wanaku-approach eti tuzae tu (sperm donor) hasa wanaume walio kwenye ndoa. Halafu eti hatakusumbua, haipogo hivyo Wakulungwa ukijichanganya ukazaa naye utajutraa.
NB: Kabla hufanya Risk assessment kulingana na kipato chako, hawaji kichwakichwa, so Kama Huna hell Hawa utawasikia kwa wenye hell tu.
Dogo! Utaacha ugoro lini?

Sent using amfifiro
 
Mwanamke anayo akili kubwa ya maisha kuliko mwanamme. Hawa watu wanacalculate mambo yao kwa uwezo mkubwa.
Soft psychology inawapa uwezo mkubwa wa kumdanganya mwanamme. Na kwa ujinga wa mwanamme kumuona Mwanamke kama mama yake hadi kufika hatua ya kumuita mke wake Mama inamcost sana.

Men Be careful with women . You must have some elements of Hatred towards these people, a little hatred indeed.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wadada wengi Bingo waigizaji maisha yamebana sasa wanataka kumshushia mwingine baraa
 
Wadada wa mjini ndo zao wanaku-approach eti tuzae tu (sperm donor) hasa wanaume walio kwenye ndoa. Halafu eti hatakusumbua, haipogo hivyo Wakulungwa ukijichanganya ukazaa naye utajutraa.
NB: Kabla hufanya Risk assessment kulingana na kipato chako, hawaji kichwakichwa, so Kama Huna hell Hawa utawasikia kwa wenye hell tu.
Akinipeleka mahakamani, nitajitetea "ndugu hakimu, aliniomba tu mbegu, kwa kuwa nilikuwa nazo nikampa" kosa langu ni nini?
 
Back
Top Bottom