"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

Kuna mmoja tangu mwaka juzi ananiambia niko tayari kuzaa,mimi nikajua utani nikamuuliza na nani akasema na mimi,mwaka jana hivyo hivyo nikajua utani.Mwaka huu kajipa mimba yangu ndo nikakumbuka yote sasa hivi analea
 
Kama umeoa, usijaribu, huo ni mtego wa wanawake walio single. Eti nipe mimba kuhusu kulea usijali, sitakusumbua. Ukijiingiza mkenge umekwisha.
Pawepo na maandishi ya kisheria labda kuwa yeye atalea na sperm donor hutakuwa na msmlska na mtoto
 
Kuna binti mmoja mwaka huu aliniambia maneno kama hayo kwamba anataka kuzaa na mimi nikawa bado namtafakari,kumbe itakuwa alinifanyia assesment ya kipato changu.
Hapo mmenifungua masikio wadau,ndio maana kuna watu huwa wanapotea na kutelekeza watu waliozaa nao kumbe ni kwa ajili ya kuhofia huo usumbufu
 
Kuna binti mmoja mwaka huu aliniambia maneno kama hayo kwamba anataka kuzaa na mimi nikawa bado namtafakari,kumbe itakuwa alinifanyia assesment ya kipato changu.
Hapo mmenifungua masikio wadau,ndio maana kuna watu huwa wanapotea na kutelekeza watu waliozaa nao kumbe ni kwa ajili ya kuhofia huo usumbufu
Usumbufu wake si wa kawaida. Umetulia na wife inaingia video call mtoto katangulizwa Mbele
 
Yaaani wanaume ndio tumefikia huku tunaogopa watoto saizi.....hahahahahahaha kweli shetani yupo kazini. Mbona simple tu akitaka mtoto mpe na hakikisha anakua chini ya himaya yako kama hataki asepe...tatizo lenu mnawachekea chekea sana be a man with voice. Mbona babu zenu waliweza....acheni ushoga
 
Back
Top Bottom