Nenda kwenye balozi hizi mimi nafukuzia ya canada mkuu kama nikipata ntakupa mrejesho ilazipoo na watu wanapata tena full fundedWakuu kama heading inavyojieleza,[emoji849]
Kijana wenu naomba kujuzwa kama Kuna mtu binafsi, shirika, kampuni, ama taasisi yeyote inayodhamini elimu ya juu especially kada ya afya.
Thanks [emoji122]
Zipo.Wakuu kama heading inavyojieleza,🙄
Kijana wenu naomba kujuzwa kama Kuna mtu binafsi, shirika, kampuni, ama taasisi yeyote inayodhamini elimu ya juu especially kada ya afya.
Thanks 👏
umeshapata?? kama hujapata leo wametoa.Nenda kwenye balozi hizi mimi nafukuzia ya canada mkuu kama nikipata ntakupa mrejesho ilazipoo na watu wanapata tena full funded
[emoji851]Nasubiri mrejesho mkuu na me huku nafuatilia
Sijapata bado mkuuumeshapata?? kama hujapata leo wametoa.
Huyu Bwana amefariki lini jameni?Zipo.