Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Mama is popular than anything,aliwaambia wadau Wachangie kuunga mkono Serikali.Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.
Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?
Naomba ufafanuzi.
Basi unakatwaMama is popular than anything,aliwaambia wadau Wachangie kuunga mkono Serikali.
Inakuuma mama akishukuriwa au?
🌈🌈🖕🖕Basi unakatwa
😅😅😅😅Ni kama daktari anafanya kazi kubwa kumtibu mgonjwa, mgonjwa anapona, mgonjwa anamshukuru Mungu 🤣🤣
Typing error, nilikuwa kwenye gari mkuuHang ndio nini mkuu?
Kumbe wewe Ni upande? Basi sawa🌈🌈🖕🖕
Mkuu usichoelewa ni kwamba hao wananvhi waliandaliwa script hivyo wananata na beat.Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.
Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?
Naomba ufafanuzi.
Kwani Puma si Kampuni ya Serikali? Ina ubia sijui 49/50 ama 51 nimesahau, kunahitajika ruhusa ya Serikali kutoa hizo Hela.Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.
Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?
Naomba ufafanuzi.
We hope, one dayTaabu itaisha Tanzania kama watu wataamua kuacha UNAFIKI.
Edit mkuuTyping error, nilikuwa kwenye gari mkuu
Sijui kama ni ya serikali. Ok, let's assume ni ya serikali. Ndiyo wananchi wamshikuru mama? Kwani mama ndiye kazitoa fedha mfukoni mwake?Kwani Puma si Kampuni ya Serikali? Ina ubia sijui 49/50 ama 51 nimesahau, kunahitajika ruhusa ya Serikali kutoa hizo Hela.
Inaonekana mlibanana sana. Jichange upate hata ka ist.Typing error, nilikuwa kwenye gari mkuu
Chawa wote wanaume ni mapunga 99%Mama is popular than anything,aliwaambia wadau Wachangie kuunga mkono Serikali.
Inakuuma mama akishukuriwa au?
Shekhe una manenoInaonekana mlibanana sana. Jichange upate hata ka ist.