Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,153
- 2,700
ccm inakula hadi pesa ya msibaWasi wasi wangu ni je misaada inawafikia walengwa? Maana kwa kweli wadau wa Maendeleo wamejitahidi kutoa misaada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm inakula hadi pesa ya msibaWasi wasi wangu ni je misaada inawafikia walengwa? Maana kwa kweli wadau wa Maendeleo wamejitahidi kutoa misaada.
Government policies zimewawezesha puma kutoa msaada wangekatazwa na serikali msaada usingeonekana.Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.
Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?
Naomba ufafanuzi.
😅😂😂 Nilitaka nicomment hivi afu umeniwahiiNi kama daktari anafanya kazi kubwa kumtibu mgonjwa, mgonjwa anapona, mgonjwa anamshukuru Mungu 🤣🤣
Sasa ulitaka wamshukuru Mbowe au?😎😂Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.
Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?
Naomba ufafanuzi.
True story.😅😂😂 Nilitaka nicomment hivi afu umeniwahii
Hahaha, ila wewe. Umenifanya nicheke.Ni kama daktari anafanya kazi kubwa kumtibu mgonjwa, mgonjwa anapona, mgonjwa anamshukuru Mungu [emoji1787][emoji1787]
😂Asa si Mungu kamwezesha lawyer kushinda kesi..ni sawa na Mungu anavyowezesha timu fulani ya mpira kushinda Kombe na zingine kufungwaTrue story.
Kuna jamaa mmoja alikuwa na kesi kubwa sana, kafungwa mahabusu.
Akaajiri lawyer aisimamie kesi yake. Basi kweli bwana yule lawyer kapambana juu chini mpaka jamaa katolewa.
Jamaa kutolewa tu, siku ya kwanza anakutana na lawyer, akawa anamshukuru Mungu sanaa tu.
Lawyer anamsikiliza tu huku kam mind kweli.
Sawa. Hata ingekuwa hivyo, basi jamaa angeanza kumshukuru Mungu, halafu angemshukuru lawyer.😂Asa si Mungu kamwezesha lawyer kushinda kesi..ni sawa na Mungu anavyowezesha timu fulani ya mpira kushinda Kombe na zingine kufungwa
Mkuu unajua ku reason logically. I wish ningekuwa na uwezo kama wako🧢Sawa. Hata ingekuwa hivyo, basi jamaa angeanza kumshukuru Mungu, halafu angemshukuru lawyer.
Jamaa alimsahau lawyer kabisa, akaishia kumshukuru Mungu tu.🤣🤣
Asante Mkuu. Ni matokeo ya kujifunza kwa muda mrefu.Mkuu unajua ku reason logically. I wish ningekuwa na uwezo kama wako🧢
Mwambie mama Yako ajambe tuone kama atasifiwaChawa wote wanaume ni mapunga 99%
Wanajua kusifu hata kiongozi akijamba wanasifia.
Kama una bisha wewe sio punga ngoja tuone kama hutatukana, ukitukana tu ni mchicha pori
Nilishasema wewe punga ona sasaMwambie mama Yako ajambe tuone kama atasifiwa
Mwambie mama Yako ajambe Ili nae asifiwe na beki tatu wakeNilishasema wewe punga ona sasa
Kama hukuwa ukifahamu, vituo vya Puma ni vya serikaliKampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.
Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?
Naomba ufafanuzi.
😂Haya ndo haya ya puma nayoSawa. Hata ingekuwa hivyo, basi jamaa angeanza kumshukuru Mungu, halafu angemshukuru lawyer.
Jamaa alimsahau lawyer kabisa, akaishia kumshukuru Mungu tu.🤣🤣
UmetishaNi kama daktari anafanya kazi kubwa kumtibu mgonjwa, mgonjwa anapona, mgonjwa anamshukuru Mungu [emoji1787][emoji1787]