Naomba Ufafanuzi: Kampuni ya Puma Energies imetoa msaada kwa wananchi wa Hang lakini wananchi wanamshukuru 'mama'

Naomba Ufafanuzi: Kampuni ya Puma Energies imetoa msaada kwa wananchi wa Hang lakini wananchi wanamshukuru 'mama'

Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.

Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?

Naomba ufafanuzi.
Government policies zimewawezesha puma kutoa msaada wangekatazwa na serikali msaada usingeonekana.
 
Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.

Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?

Naomba ufafanuzi.
Sasa ulitaka wamshukuru Mbowe au?😎😂
 
😅😂😂 Nilitaka nicomment hivi afu umeniwahii
True story.

Kuna jamaa mmoja alikuwa na kesi kubwa sana, kafungwa mahabusu.

Akaajiri lawyer aisimamie kesi yake. Basi kweli bwana yule lawyer kapambana juu chini mpaka jamaa katolewa.

Jamaa kutolewa tu, siku ya kwanza anakutana na lawyer, akawa anamshukuru Mungu sanaa tu.

Lawyer anamsikiliza tu huku kam mind kweli.
 
True story.

Kuna jamaa mmoja alikuwa na kesi kubwa sana, kafungwa mahabusu.

Akaajiri lawyer aisimamie kesi yake. Basi kweli bwana yule lawyer kapambana juu chini mpaka jamaa katolewa.

Jamaa kutolewa tu, siku ya kwanza anakutana na lawyer, akawa anamshukuru Mungu sanaa tu.

Lawyer anamsikiliza tu huku kam mind kweli.
😂Asa si Mungu kamwezesha lawyer kushinda kesi..ni sawa na Mungu anavyowezesha timu fulani ya mpira kushinda Kombe na zingine kufungwa
 
😂Asa si Mungu kamwezesha lawyer kushinda kesi..ni sawa na Mungu anavyowezesha timu fulani ya mpira kushinda Kombe na zingine kufungwa
Sawa. Hata ingekuwa hivyo, basi jamaa angeanza kumshukuru Mungu, halafu angemshukuru lawyer.

Jamaa alimsahau lawyer kabisa, akaishia kumshukuru Mungu tu.🤣🤣
 
Sawa. Hata ingekuwa hivyo, basi jamaa angeanza kumshukuru Mungu, halafu angemshukuru lawyer.

Jamaa alimsahau lawyer kabisa, akaishia kumshukuru Mungu tu.🤣🤣
Mkuu unajua ku reason logically. I wish ningekuwa na uwezo kama wako🧢
 
Kampuni ya Puma energies imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi yenye thamani ya TSH 70 milioni kwa wananchi wa Hang waliokumbwa na janga la maporomoko ya udongo.

Sijaelewa Logic ya hii dhana ya wananchi wa Hang kumshukuru 'mama' wakati waliotoa msaada ni Puma energies. Mama amehusikaje hapo?

Naomba ufafanuzi.
Kama hukuwa ukifahamu, vituo vya Puma ni vya serikali
 
Back
Top Bottom