Stephan Lichtsteiner
JF-Expert Member
- Sep 13, 2022
- 520
- 1,476
Pixel 6 ashindane na Galaxy S21 ndio wametoka nae mwaka mmojaSamsung ni simu nzuri sana, lakini huwezi kufananisha Samsung Galaxy Note 10 Plus na Google Pixel 6.
Ukiweka ushabiki kando, sometimes ukweli usemwe. Kuna Samsung za kushindanisha na Google Pixel 6 lakini sio hiyo Samsung Galaxy Note 10 Plus
Na hapo Samsung ndio atashindaPixel 6 ashindane na Galaxy S21 ndio wametoka nae mwaka mmoja
Mkuu tafadhali naomba uchambuzi wako kwenye hizi simu mbili Xiaomi Mi 8 na Xiaomi Mi 11 Lite 5GNa hapo Samsung ndio atashinda
Xiaomi Mi 8 ni flagship ya 2018, Xiaomi Mi 11 Lite 5G ni midrange ya 2021. Kuna midrange nyingi za miaka ya karibuni zina nguvu kuliko flagship za 2018 na Xiaomi Mi 11 Lite 5G ni mfano wa hizo midrange.Mkuu tafadhali naomba uchambuzi wako kwenye hizi simu mbili Xiaomi Mi 8 na Xiaomi Mi 11 Lite 5G
[emoji120][emoji120][emoji106] Shukrani sana mkuuXiaomi Mi 8 ni flagship ya 2018, Xiaomi Mi 11 Lite 5G ni midrange ya 2021. Kuna midrange nyingi za miaka ya karibuni zina nguvu kuliko flagship za 2018 na Xiaomi Mi 11 Lite 5G ni mfano wa hizo midrange.
Hizi simu hazipaswi kufananishwa kwa sababu Mi 11 Lite 5G ipo vizuri karibia kila kona.
1. Xiaomi Mi 11 Lite 5G Ina IP53 rating kwa hiyo ni splash resistance hiyo Mi 8 haina IP53 rating.
2. Kioo cha Mi 11 Lite 5G kina refresh rate ya 90Hz, cha Mi 8 kina 60Hz refresh rate
3. Xiaomi Mi 11 Lite 5G inatunza chaji kwa 19% zaidi ya Xiaomi Mi 8.
4. Display ya Xiaomi Mi 11 Lite 5G inafikia brightness ya 802nits ambayo ni asilimia 28 zaidi ya Xiaomi Mi 8 yenye 627nits.
5. Xiaomi Mi 11 Lite 5G inatumia Bluetooth version 5.2 wakati Xiaomi Mi 8 inatumia Bluetooth version 5.0
6. Kwenye performance Mi 11 Lite 5G ina uwezo mkubwa kwa 28% zaidi ya Xiaomi Mi 8 according to AnTuTu score (522000 vs 415000)
7. Chipset ya Qualcomm Snapdragon 778G ya kwenye Xiaomi Mi 11 Lite ina ulaji mzuri wa chaji kuliko Qualcomm Snapdragon 845 ya kwenye Xiaomi Mi 8.
8. Xiaomi Mi 11 Lite 5G inasupport HDR 10+, Xiaomi Mi 8 inaishia HDR 10 tu.
9. Xiaomi Mi 11 Lite 5G ina fingerprint scanner pembeni wakati Xiaomi Mi 8 ina fingerprint scanner nyuma ya simu
10. Xiaomi Mi 11 Lite ina sehemu ya kuwekea Memory Card hadi 1TB, Xiaomi Mi 8 haina.
11. Storage type ya Xiaomi Mi 11 Lite 5G ni UFS 2.2 ambayo ni faster kuliko ya kwenye Xiaomi Mi 8 ambayo ni UFS 2.1
12. Android 8.1 ya kwenye Xiaomi Mi 8 ni outdated kuliko Android 11 ya kwenye Xiaomi Mi 11 Lite, bila kusahau MIUI version.
13. 33W charger ya kwenye Xiaomi Mi 11 Lite 5G inachaji faster (1hr 4min) kuliko 18W ya Xiaomi Mi 8 (1hr 35min)
9. Xiaomi Mi 11 Lite 5G ina stereo speakers, Xiaomi Mi 8 ina Mono speaker.
10. Xiaomi Mi 11 Lite 5G inasupport 5G, Mi 8 haina 5G
Kitu kikubwa ambacho Xiaomi Mi 8 anamzidi Mi 11 Lite 5G ni camera tena in reality tofauti ni ndogo sana.
SUMMARY
Display- Mshindi ni Xiaomi Mi 11 Lite 5G
Battery- Mshindi ni Xiaomi Mi 11 Lite 5G
Performance- Mshindi ni Xiaomi Mi 11 Lite 5G
Camera- Mshindi ni Xiaomi Mi 8
Kiufupi Xiaomi Mi 11 Lite 5G ni nzuri kuliko Xiaomi Mi 8.
Mkuu ukitaka kuingia chaka nunua simu kwa kufata specification, utaingia chaka. Midrange haiwezi zidi flagship hata kama ni ya mwaka mmoja nyuma. Ushauri wa bure jifunze kusoma user reviews kabla ya kununua simu maana kuna simu zenye specification nzuri ila reviews mbovu za waliotumiaXiaomi Mi 8 ni flagship ya 2018, Xiaomi Mi 11 Lite 5G ni midrange ya 2021. Kuna midrange nyingi za miaka ya karibuni zina nguvu kuliko flagship za 2018 na Xiaomi Mi 11 Lite 5G ni mfano wa hizo midrange.
Hizi simu hazipaswi kufananishwa kwa sababu Mi 11 Lite 5G ipo vizuri karibia kila kona.
1. Xiaomi Mi 11 Lite 5G Ina IP53 rating kwa hiyo ni splash resistance hiyo Mi 8 haina IP53 rating.
2. Kioo cha Mi 11 Lite 5G kina refresh rate ya 90Hz, cha Mi 8 kina 60Hz refresh rate
3. Xiaomi Mi 11 Lite 5G inatunza chaji kwa 19% zaidi ya Xiaomi Mi 8.
4. Display ya Xiaomi Mi 11 Lite 5G inafikia brightness ya 802nits ambayo ni asilimia 28 zaidi ya Xiaomi Mi 8 yenye 627nits.
5. Xiaomi Mi 11 Lite 5G inatumia Bluetooth version 5.2 wakati Xiaomi Mi 8 inatumia Bluetooth version 5.0
6. Kwenye performance Mi 11 Lite 5G ina uwezo mkubwa kwa 28% zaidi ya Xiaomi Mi 8 according to AnTuTu score (522000 vs 415000)
7. Chipset ya Qualcomm Snapdragon 778G ya kwenye Xiaomi Mi 11 Lite ina ulaji mzuri wa chaji kuliko Qualcomm Snapdragon 845 ya kwenye Xiaomi Mi 8.
8. Xiaomi Mi 11 Lite 5G inasupport HDR 10+, Xiaomi Mi 8 inaishia HDR 10 tu.
9. Xiaomi Mi 11 Lite 5G ina fingerprint scanner pembeni wakati Xiaomi Mi 8 ina fingerprint scanner nyuma ya simu
10. Xiaomi Mi 11 Lite ina sehemu ya kuwekea Memory Card hadi 1TB, Xiaomi Mi 8 haina.
11. Storage type ya Xiaomi Mi 11 Lite 5G ni UFS 2.2 ambayo ni faster kuliko ya kwenye Xiaomi Mi 8 ambayo ni UFS 2.1
12. Android 8.1 ya kwenye Xiaomi Mi 8 ni outdated kuliko Android 11 ya kwenye Xiaomi Mi 11 Lite, bila kusahau MIUI version.
13. 33W charger ya kwenye Xiaomi Mi 11 Lite 5G inachaji faster (1hr 4min) kuliko 18W ya Xiaomi Mi 8 (1hr 35min)
9. Xiaomi Mi 11 Lite 5G ina stereo speakers, Xiaomi Mi 8 ina Mono speaker.
10. Xiaomi Mi 11 Lite 5G inasupport 5G, Mi 8 haina 5G
Kitu kikubwa ambacho Xiaomi Mi 8 anamzidi Mi 11 Lite 5G ni camera tena in reality tofauti ni ndogo sana.
SUMMARY
Display- Mshindi ni Xiaomi Mi 11 Lite 5G
Battery- Mshindi ni Xiaomi Mi 11 Lite 5G
Performance- Mshindi ni Xiaomi Mi 11 Lite 5G
Camera- Mshindi ni Xiaomi Mi 8
Kiufupi Xiaomi Mi 11 Lite 5G ni nzuri kuliko Xiaomi Mi 8.
Nimecompare Xiaomi Mi 11 Lite 5G na Xiaomi Mi 8, uzuri simu zote nazijua vizuri.Mkuu ukitaka kuingia chaka nunua simu kwa kufata specification, utaingia chaka. Midrange haiwezi zidi flagship hata kama ni ya mwaka mmoja nyuma. Ushauri wa bure jifunze kusoma user reviews kabla ya kununua simu maana kuna simu zenye specification nzuri ila reviews mbovu za waliotumia
Kitu kingine ninachotaka kukuambia ni kwamba user reviews nyingi ni feki. Siku hizi gsmarena watu wanatumia majina tofauti tofauti kuponda simu wanazozichukia.Mkuu ukitaka kuingia chaka nunua simu kwa kufata specification, utaingia chaka. Midrange haiwezi zidi flagship hata kama ni ya mwaka mmoja nyuma. Ushauri wa bure jifunze kusoma user reviews kabla ya kununua simu maana kuna simu zenye specification nzuri ila reviews mbovu za waliotumia
Mleta mada alikuwa anataka kununua simu mojawapo hapo bila hata kuangalia mwaka gani imetoka, ndio maana nikampa jibu la Google Pixel 6 vs Samsung Galaxy Note 10+mbna unakimbia hoja ya jamaa kuwa ufananishe flagship na mwaka wa toleo sawa.
mfano pixel 6 na galaxy s 21 ultra ili tujue.
umemchukua galaxy s10 ya zamani ndo unaishindanisha na pixel 6 huo ni uonevu kbsa
Ni kweli Samsung atashinda lakini ni heri nitumie Pixel kuliko Xiaomi [emoji125][emoji100][emoji100]Na hapo Samsung ndio atashinda
It's your personal opinion, Not bad.Ni kweli Samsung atashinda lakini ni heri nitumie Pixel kuliko Xiaomi [emoji125][emoji100][emoji100]
Unaiona software ya ovyo sababu haina makolokolo mengi kama unayoyapata huko kwa Xiaomi, just basic things needed and working in real life[emoji28][emoji28].It's your personal opinion, Not bad.
Kuna wengine hatutaki hiyo software ya ovyo ya kwenye Google Pixel [emoji38][emoji38]
Yes, hayo unayoyaita makolokolo wengine ndio tunayataka. Why should I buy an expensive phone which lacks features?Unaiona software ya ovyo sababu haina makolokolo mengi kama unayoyapata huko kwa Xiaomi, just basic things needed and working in real life[emoji28][emoji28].
Kwa upande wangu nimeipenda hivyohivyo [emoji28]Yes, hayo unayoyaita makolokolo wengine ndio tunayataka. Why should I buy an expensive phone which lacks features?
Stock Android ni love it or hate it affair. Kwenye Google Pixel kikubwa ni camera tu.
[emoji28][emoji28] Ndio maana wanasema ni love it or hate it. Mtu anayeikubali Stock Android ukimpeleka MIUI ataona mapichapicha tu. Na wa MIUI ukimpeleka Stock Android naye ataona mapichapicha tu [emoji28][emoji28]Kwa upande wangu nimeipenda hivyohivyo [emoji28]
Mara ya kwanza naona Xiaomi kwa jamaa angu, sikumbuki ni model ipi ila akataka kuniuzia sikupenda sana mpangilio na muonekano wa icon apps zake zilikuwa ule mtindo unakuta huku pembeni kulia kuna herufi a,b,c.. halafu boxed shape (sijui ni theme tu alichange au vp).[emoji28][emoji28] Ndio maana wanasema ni love it or hate it. Mtu anayeikubali Stock Android ukimpeleka MIUI ataona mapichapicha tu. Na wa MIUI ukimpeleka Stock Android naye ataona mapichapicha tu [emoji28][emoji28]
Kuna ile premium look naipenda kwenye Xiaomi kama hii[emoji116][emoji116]View attachment 2566322View attachment 2566323
Sasa ya Google Pixel ipo hivi[emoji116][emoji116]View attachment 2566325View attachment 2566327
Mimi kati ya hizo mbili naona ya Xiaomi inavutia mbele ya macho. Ila mwingine ataona ya Google Pixel inavutia zaidi. Tunatofautiana [emoji28][emoji28]
Muonekano wa apps za Xiaomi unaweza kuubadilisha utakavyo. Redmi Note 9 Pro inatumia MIUI 11 kama sikosei. MIUI 11 hata mimi siipendi[emoji28][emoji28] Ndio hiyohiyo inayotumia kwenye Redmi 9.Mara ya kwanza naona Xiaomi kwa jamaa angu, sikumbuki ni model ipi ila akataka kuniuzia sikupenda sana mpangilio na muonekano wa icon apps zake zilikuwa ule mtindo unakuta huku pembeni kulia kuna herufi a,b,c.. halafu boxed shape (sijui ni theme tu alichange au vp).
Kuna kipindi nikawa namtafutia dogo simu nikapata note 9 pro kwa mtu nikaona ina specs nzuri tu nikataka nimchukulie hiyo ili namimi nipate experience hapo[emoji16] akawa hajaipenda ikabidi nimchukulie Samsung a12.
Naona zimefanania kama za tecno hivi. Mambo yakikaa sawa nataka nitafute Xiaomi note 10 ya kulenga naamini hii ina mabadiliko makubwa ukilinganisha na matoleo ya nyuma maana ilisifiwa sana ili nione hizo mbeleko zenu [emoji16][emoji16]Muonekano wa apps za Xiaomi unaweza kuubadilisha utakavyo. Redmi Note 9 Pro inatumia MIUI 11 kama sikosei. MIUI 11 hata mimi siipendi[emoji28][emoji28] Ndio hiyohiyo inayotumia kwenye Redmi 9.
Ila hizi MIUI za sasa (MIUI 12 kuja juu) ndio ninazipenda[emoji28][emoji28]View attachment 2566408