Naomba ufafanuzi kidogo juu ya SAMSUNG NOTE 10+ dhidi ya GOOGLE PIXEL 6

Naomba ufafanuzi kidogo juu ya SAMSUNG NOTE 10+ dhidi ya GOOGLE PIXEL 6

Kitu kingine ninachotaka kukuambia ni kwamba user reviews nyingi ni feki. Siku hizi gsmarena watu wanatumia majina tofauti tofauti kuponda simu wanazozichukia.
Hata mimi nimecomment kwenye simu tofauti kwa majina tofauti tofauti kwa simu ambazo hata sijawahi kuzitumia.
*Mfano mzuri kuna jamaa gsmarena anaitwa "Sin" huyu kazi yake ni kuingia kwenye kila simu ya Xiaomi na kusingizia kuwa amewahi kuitumia na akawa disappointed nayo.
*Kuna mwingine anajiita "you have to suffer" Huyu kazi yake ni kuponda kila simu ya Samsung na kusema kuwa ni simu mbaya, pia anaingia kwenye simu za Xiaomi na anazisifia hizo Xiaomi bila sababu ya msingi.
  • Kuna mmoja pia anaitwa Hanif Fikri, yeye ni fan wa Samsung na Xiaomi tu, na anacomment kwenye simu kadhaa za hizi kampuni mbili akidai amezitumia.
  • Kuna mmoja nimemsahau jina, yeye kila simu ya Xiaomi anaiponda na anadai kuwa ameanza kumiliki Xiaomi miaka mingi na hadi leo anatumia Xiaomi ila kila Xiaomi aliyoitumia basi inamdisappoint kwenye same issues.
Kwa kutumia akili akili ndogo tu, binadamu wa kawaida asingebaki kwenye brand ileile kama kila simu anayoitumia kutoka kampuni hiyo ilimdissapoint, kuna sehemu hadi watu walimwambia ukweli kuhusu tabia yake.
Mfano mwingine ingia kwenye page ya gsmarena ya Samsung Galaxy S23 Ultra, usome user reviews uone jinsi watu wanavyoponda na wengine wanatetea, hakuna ukweli wala uwazi wowote ule kupitia user reviews. Ninakesha sana gsmarena kusoma user reviews za simu hususani Samsung na Xiaomi hadi nimeanza kukariri watu na tabia zao, ndio maana na mimi nikaamua kujoin system.
Ukiingia YouTube nako, user reviews nyingi ni za kusifia tu, mpaka kero.
IN SHORT, SIKU HIZI SIAMINI USER REVIEWS.
Uko sahihi,
Mie nimetokea tu kupenda sony xperia, sio kwamba ni simu bora kuliko zingine ila ndo nimejikuta napenda tu, ukiniuliza nn hasa napenda kwa sony ntakujibu nazipenda tu,

Samsung wako poa
Iphone wako poa
Na brand zingine ziko poa,

Kikubwa tumia simu upendayo full stop.
 
Yeah ....... Coz wao pekee ndio wanajali
IR blaster ni feature nzuri sana ambayo hizo simu za makampuni mengine wanataka kupretend ni unwanted au forcing it to be the thing of past but watu wengi wanaitumia sana

Thanks to Chinese brands that they exist [emoji120][emoji120]
Hivi ukiachana na kutumia kama remote, unaweza kuitumia vipi tena
 
Okay...labda wameona haina umuhimu
Users ndio wanaotumia hizo features sio manufacturers, iweje waone haina umuhimu wakati hawatumii wao?
Basi tu, kwa kuwa wanajijua kuwa kampuni zao ni kubwa then watu watanunua simu zao anyway na kuamua kupuuzia features za muhimu kama IR Blaster

Ni kama tu walivyoacha kutoa flagship zenye 3.5mm jack na SD Card slot. Sio kwamba haina umuhimu, umuhimu upo ila wanaforce kufanya ionekane kama thing of past ili wapige watu hela kupitia upande mwingine

Unfortunately, kadri siku zinavyozidi kwenda users wanazoea kukaa bila hizi features kwenye simu zao coz no matter how they will complain, the companies won't listen. At least Sony does
 
Users ndio wanaotumia hizo features sio manufacturers, iweje waone haina umuhimu wakati hawatumii wao?
Basi tu, kwa kuwa wanajijua kuwa kampuni zao ni kubwa then watu watanunua simu zao anyway na kuamua kupuuzia features za muhimu kama IR Blaster

Ni kama tu walivyoacha kutoa flagship zenye 3.5mm jack na SD Card slot. Sio kwamba haina umuhimu, umuhimu upo ila wanaforce kufanya ionekane kama thing of past ili wapige watu hela kupitia upande mwingine

Unfortunately, kadri siku zinavyozidi kwenda users wanazoea kukaa bila hizi features kwenye simu zao coz no matter how they will complain, the companies won't listen. At least Sony does
Ila mkuu, hata wewe mwenyewe bado hujui matumizi yake mengine mbali na kutumia kama remote ya tv, ac etc. Huoni kuwa haina umuhimu kiihvyo?! So kwanini waendelee kuwa nayo hadi leo?!

Tukija kwenye sd slot, simu sikuhizi zinakuja na option ya 128gb, 256gb etc. Sidhan kama kuna simu sikuhz zinakuja na storage chini 64gb. Inatosha kabisa kwa matumizi ya kawaida

Mimi naona kutoa 3.5mm jack ndio big disappointment maana ni kitu ambacho mpaka leo watu wengi bado wanatamani kingekuwepo kwenye simu zao.
 
Ila mkuu, hata wewe mwenyewe bado hujui matumizi yake mengine mbali na kutumia kama remote ya tv, ac etc. Huoni kuwa haina umuhimu kiihvyo?! So kwanini waendelee kuwa nayo hadi leo?!

Tukija kwenye sd slot, simu sikuhizi zinakuja na option ya 128gb, 256gb etc. Sidhan kama kuna simu sikuhz zinakuja na storage chini 64gb. Inatosha kabisa kwa matumizi ya kawaida

Mimi naona kutoa 3.5mm jack ndio big disappointment maana ni kitu ambacho mpaka leo watu wengi bado wanatamani kingekuwepo kwenye simu zao.
Ku-control TV, Air Conditioners, music players, etc. bado unasema hauoni umuhimu? Hayo ndio matumizi ya IR blaster. Siku hizi tunategemea kuona simu zina uwezo wa kufanya kila kitu ikiwemo ku-control home appliances.

Halafu point ya MicroSD ni kwamba watu wanataka easy transfer of files. Pia siku hizi hizo flagship zenye 128GB au 256GB zinakuja na uwezo wa kufanya mambo makubwa kama kurekodi video za 8K ambazo zinachukua storage kubwa kuliko kawaida na unashangaa 256GB zinaisha bila wewe kuelewa zimeishaje. Mimi sio
fan wa MicroSD ila nimeona mitandaoni watu wamelalamikia sana hili suala na inaonesha hakuna kampuni inayosikiliza so kimbilio ni Sony pekee.

Pia kuhusu 3.5mm jack nayo ni disappointment kubwa sana. Kwako wewe umeona 3.5mm jack ndio disappointment pekee lakini haimaanishi kuwa watu wengine hawahitaji hiyo IR Blaster na SD card slot

Simu ina 256GB sawa lakini photo na video zimeongezeka size pia na zinachukua storage kubwa, kuweka 128GB au 256GB sio solution. Wanataka tu utumie Google cloud, Samsung cloud, Oppo cloud, Vivo cloud, Mi cloud n.k kusave files zako. Au uongeze hela ili ununue simu zao za 512GB au 1TB
Android zinajikuta Apple sasa
 
Ku-control TV, Air Conditioners, music players, etc. bado unasema hauoni umuhimu? Hayo ndio matumizi ya IR blaster. Siku hizi tunategemea kuona simu zina uwezo wa kufanya kila kitu ikiwemo ku-control home appliances.

Halafu point ya MicroSD ni kwamba watu wanataka easy transfer of files. Pia siku hizi hizo flagship zenye 128GB au 256GB zinakuja na uwezo wa kufanya mambo makubwa kama kurekodi video za 8K ambazo zinachukua storage kubwa kuliko kawaida na unashangaa 256GB zinaisha bila wewe kuelewa zimeishaje. Mimi sio
fan wa MicroSD ila nimeona mitandaoni watu wamelalamikia sana hili suala na inaonesha hakuna kampuni inayosikiliza so kimbilio ni Sony pekee.

Pia kuhusu 3.5mm jack nayo ni disappointment kubwa sana. Kwako wewe umeona 3.5mm jack ndio disappointment pekee lakini haimaanishi kuwa watu wengine hawahitaji hiyo IR Blaster na SD card slot

Simu ina 256GB sawa lakini photo na video zimeongezeka size pia na zinachukua storage kubwa, kuweka 128GB au 256GB sio solution. Wanataka tu utumie Google cloud, Samsung cloud, Oppo cloud, Vivo cloud, Mi cloud n.k kusave files zako. Au uongeze hela ili ununue simu zao za 512GB au 1TB
Android zinajikuta Apple sasa
Mkuu hata kama contents za sikuhizi zinakuwa kubwa sababu ya quality lakini sio kujaza 256gb kirahisi. Labda kama kila siku unarekod 8k videos na kupiga mapicha. Nina vitu vingi tu kwenye simu lakini bado nina space ya kutosha.

Mimi sijaona kama sd card inarahisisha sana utumaji wa taarifa. Ndio maana sikuhizi kuna vitu kama nearby share etc. Pia Xender ambayo iko poa na speed nzuri kuliko hata sd cards nyingi tunazotumia. Kuna siku niliunga Xender kutoka kwa simu yangu na pc, nilikuwa nataka kukopi nyimbo ziende kwenye pc, file la kama 2gb nilihamisha chap naamini kwa sd card ningekesha maana ningezikopi kwenye card then nitoe card nizikopi tena kwa pc (imagine simu haisomi kwenye pc). Kiukweli saiv sioni matumizi ya hii kitu, maana unaweza kushare kati ya simu na pc au simu na simu bila hata ya msaada wa sd card. Labda ukute devices ambazo zenyewe sina support sd card tu!

Mkuu kile kitundu cha earphones ni disappointment kubwa kuliko IR Blaster. Watu wangapi wako aware na hiyo IR?! Ila kila mtu hata ambae sio mtu wa tech anajua kazi ya kile kitundu, earphones zina matumizi mengi kuliko hiyo IR, kama hatumii earphones kusikiliza mziki basi ataongelea na simu.
Na kwanini utake kucontrol AC kwa kutumia simu boss wakati remote special kwa ajili ya hiyo kazi ipo?! Ndio maaana unakuta simu ya mtu ina apps nyingi ambazo sio za msingi sana.
 
Mkuu hata kama contents za sikuhizi zinakuwa kubwa sababu ya quality lakini sio kujaza 256gb kirahisi. Labda kama kila siku unarekod 8k videos na kupiga mapicha. Nina vitu vingi tu kwenye simu lakini bado nina space ya kutosha.

Mimi sijaona kama sd card inarahisisha sana utumaji wa taarifa. Ndio maana sikuhizi kuna vitu kama nearby share etc. Pia Xender ambayo iko poa na speed nzuri kuliko hata sd cards nyingi tunazotumia. Kuna siku niliunga Xender kutoka kwa simu yangu na pc, nilikuwa nataka kukopi nyimbo ziende kwenye pc, file la kama 2gb nilihamisha chap naamini kwa sd card ningekesha maana ningezikopi kwenye card then nitoe card nizikopi tena kwa pc (imagine simu haisomi kwenye pc). Kiukweli saiv sioni matumizi ya hii kitu, maana unaweza kushare kati ya simu na pc au simu na simu bila hata ya msaada wa sd card. Labda ukute devices ambazo zenyewe sina support sd card tu!

Mkuu kile kitundu cha earphones ni disappointment kubwa kuliko IR Blaster. Watu wangapi wako aware na hiyo IR?! Ila kila mtu hata ambae sio mtu wa tech anajua kazi ya kile kitundu, earphones zina matumizi mengi kuliko hiyo IR, kama hatumii earphones kusikiliza mziki basi ataongelea na simu.
Na kwanini utake kucontrol AC kwa kutumia simu boss wakati remote special kwa ajili ya hiyo kazi ipo?! Ndio maaana unakuta simu ya mtu ina apps nyingi ambazo sio za msingi sana.
That's why nasema unajiongelea wewe tu. IR blaster labda huku Bongo ndio watu hawaijui. SD card slot bado ni muhimu, si kila mtu anatosheka na hizo 256GB au 512GB za kwenye flagships, Kuna watu wengi Sana wanaopenda kurekodi video even if it's not you, na bei ya simu kutoka 512 kwenda version ya juu yake ya 1TB ni kubwa kuliko kununua simu na kuongeza 512GB SD card. Mfano tofauti ya Xiaomi 13 Ultra yenye 512GB na ile ya 1TB unakuta ni zaidi ya $100 just for extra 512GB ambayo ungeipata kwa bei cheap kama ungeongeza tu Memory card ya 512GB

Tukisema kwa nini utumie simu wakati remote zipo basi kwa nini utumie simu kupiga picha wakati kamera zipo?
Sikuhizi simu zinapaswa kupewa uwezo wa kufanya mambo makubwa kama ku-control asilimia kubwa ya vitu vya nyumbani, and hence creating better ecosystem
Juzijuzi tu Xiaomi wamezindua smart key kwa watumiaji wa magari ya BMW so badala ya kutumia funguo, unatumia simu kufungua mlango wa gari lako. Hata wao hawakujiuliza swali kama "kwa nini utumie simu kufungua mlango wakati funguo za gari zipo"
It's because we need to see smartphone doing almost everything that's possible for it to do. Kwanza inaonekana katika electronics zote simu ndio rafiki mkubwa wa binadamu coz watu wengi wanaspend muda mwingi na simu kuliko electronics nyingine kwa hiyo ni muhimu kuzipa simu uwezo wa kufanya vitu kama hivi, uachane na usumbufu wa kutumia remote wakati muda mwingi uko na simu mkononi mwako, kwa nini usitumie hiyo simu badala yake?
IR blaster ni muhimu bado hata usipotumia wewe. Kuna watu wanahitaji.
 
Kitu kingine ninachotaka kukuambia ni kwamba user reviews nyingi ni feki. Siku hizi gsmarena watu wanatumia majina tofauti tofauti kuponda simu wanazozichukia.
Hata mimi nimecomment kwenye simu tofauti kwa majina tofauti tofauti kwa simu ambazo hata sijawahi kuzitumia.
*Mfano mzuri kuna jamaa gsmarena anaitwa "Sin" huyu kazi yake ni kuingia kwenye kila simu ya Xiaomi na kusingizia kuwa amewahi kuitumia na akawa disappointed nayo.
*Kuna mwingine anajiita "you have to suffer" Huyu kazi yake ni kuponda kila simu ya Samsung na kusema kuwa ni simu mbaya, pia anaingia kwenye simu za Xiaomi na anazisifia hizo Xiaomi bila sababu ya msingi.
  • Kuna mmoja pia anaitwa Hanif Fikri, yeye ni fan wa Samsung na Xiaomi tu, na anacomment kwenye simu kadhaa za hizi kampuni mbili akidai amezitumia.
  • Kuna mmoja nimemsahau jina, yeye kila simu ya Xiaomi anaiponda na anadai kuwa ameanza kumiliki Xiaomi miaka mingi na hadi leo anatumia Xiaomi ila kila Xiaomi aliyoitumia basi inamdisappoint kwenye same issues.
Kwa kutumia akili akili ndogo tu, binadamu wa kawaida asingebaki kwenye brand ileile kama kila simu anayoitumia kutoka kampuni hiyo ilimdissapoint, kuna sehemu hadi watu walimwambia ukweli kuhusu tabia yake.
Mfano mwingine ingia kwenye page ya gsmarena ya Samsung Galaxy S23 Ultra, usome user reviews uone jinsi watu wanavyoponda na wengine wanatetea, hakuna ukweli wala uwazi wowote ule kupitia user reviews. Ninakesha sana gsmarena kusoma user reviews za simu hususani Samsung na Xiaomi hadi nimeanza kukariri watu na tabia zao, ndio maana na mimi nikaamua kujoin system.
Ukiingia YouTube nako, user reviews nyingi ni za kusifia tu, mpaka kero.
IN SHORT, SIKU HIZI SIAMINI USER REVIEWS.
Mkuu hongera kwa utafiti. Unaongea kwa mifano halisi. Hiivi ndio inavyotakiwa.
Kongole.
 
That's why nasema unajiongelea wewe tu. IR blaster labda huku Bongo ndio watu hawaijui. SD card slot bado ni muhimu, si kila mtu anatosheka na hizo 256GB au 512GB za kwenye flagships, Kuna watu wengi Sana wanaopenda kurekodi video even if it's not you, na bei ya simu kutoka 512 kwenda version ya juu yake ya 1TB ni kubwa kuliko kununua simu na kuongeza 512GB SD card. Mfano tofauti ya Xiaomi 13 Ultra yenye 512GB na ile ya 1TB unakuta ni zaidi ya $100 just for extra 512GB ambayo ungeipata kwa bei cheap kama ungeongeza tu Memory card ya 512GB

Tukisema kwa nini utumie simu wakati remote zipo basi kwa nini utumie simu kupiga picha wakati kamera zipo?
Sikuhizi simu zinapaswa kupewa uwezo wa kufanya mambo makubwa kama ku-control asilimia kubwa ya vitu vya nyumbani, and hence creating better ecosystem
Juzijuzi tu Xiaomi wamezindua smart key kwa watumiaji wa magari ya BMW so badala ya kutumia funguo, unatumia simu kufungua mlango wa gari lako. Hata wao hawakujiuliza swali kama "kwa nini utumie simu kufungua mlango wakati funguo za gari zipo"
It's because we need to see smartphone doing almost everything that's possible for it to do. Kwanza inaonekana katika electronics zote simu ndio rafiki mkubwa wa binadamu coz watu wengi wanaspend muda mwingi na simu kuliko electronics nyingine kwa hiyo ni muhimu kuzipa simu uwezo wa kufanya vitu kama hivi, uachane na usumbufu wa kutumia remote wakati muda mwingi uko na simu mkononi mwako, kwa nini usitumie hiyo simu badala yake?
IR blaster ni muhimu bado hata usipotumia wewe. Kuna watu wanahitaji.
Facts sana hizi.
 
That's why nasema unajiongelea wewe tu. IR blaster labda huku Bongo ndio watu hawaijui. SD card slot bado ni muhimu, si kila mtu anatosheka na hizo 256GB au 512GB za kwenye flagships, Kuna watu wengi Sana wanaopenda kurekodi video even if it's not you, na bei ya simu kutoka 512 kwenda version ya juu yake ya 1TB ni kubwa kuliko kununua simu na kuongeza 512GB SD card. Mfano tofauti ya Xiaomi 13 Ultra yenye 512GB na ile ya 1TB unakuta ni zaidi ya $100 just for extra 512GB ambayo ungeipata kwa bei cheap kama ungeongeza tu Memory card ya 512GB

Tukisema kwa nini utumie simu wakati remote zipo basi kwa nini utumie simu kupiga picha wakati kamera zipo?
Sikuhizi simu zinapaswa kupewa uwezo wa kufanya mambo makubwa kama ku-control asilimia kubwa ya vitu vya nyumbani, and hence creating better ecosystem
Juzijuzi tu Xiaomi wamezindua smart key kwa watumiaji wa magari ya BMW so badala ya kutumia funguo, unatumia simu kufungua mlango wa gari lako. Hata wao hawakujiuliza swali kama "kwa nini utumie simu kufungua mlango wakati funguo za gari zipo"
It's because we need to see smartphone doing almost everything that's possible for it to do. Kwanza inaonekana katika electronics zote simu ndio rafiki mkubwa wa binadamu coz watu wengi wanaspend muda mwingi na simu kuliko electronics nyingine kwa hiyo ni muhimu kuzipa simu uwezo wa kufanya vitu kama hivi, uachane na usumbufu wa kutumia remote wakati muda mwingi uko na simu mkononi mwako, kwa nini usitumie hiyo simu badala yake?
IR blaster ni muhimu bado hata usipotumia wewe. Kuna watu wanahitaji.
Sawa kaka. Kumbuka binadamu hajaumbwa kutosheka, leo hii hata ukipewa simu ya 2TB bado watataka na sd card slot pembeni That's your opinion [emoji106]
 
Pixel hazikai na chaji.

Nafikiri ni kwakua tunanunua refurbished.
 
Back
Top Bottom