Naomba ufafanuzi kuhusu course ya information system!

Naomba ufafanuzi kuhusu course ya information system!

o

ok vip kuhusu soko la ajira lipo?
Nitashangaa sana ukisoma course kama hii alaf uombe Ajira kwa watu.. sana sana wao ndio watakuomba ww ufanye nao kaz ( UKIW na AKILI ya ziada na sio ufaulu wa GPA kubwa hali ya kuwa huna uwezo wa kutengeneza systems/ku defend.. etc)
 
Soma vya Darasani ila Toka nje katafute maarifa.. vitu vingi hufundishwi darasani.. technology inabadirika.. walimu ni walewale.. watakupa material yaleyale..

Hii course kama unaipenda kutoka Moyoni.. Unatoboa Maisha ila akama unaenda tu Ilimradi iutafurahi na show
 
Soma vya Darasani ila Toka nje katafute maarifa.. vitu vingi hufundishwi darasani.. technology inabadirika.. walimu ni walewale.. watakupa material yaleyale..

Hii course kama unaipenda kutoka Moyoni.. Unatoboa Maisha ila akama unaenda tu Ilimradi iutafurahi na show
yap nimeipend ilasasa kunauwezekn wa kujiajiri kweli
 
Back
Top Bottom