Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
wiki hii kuna miswada imepelekwa bungeni kufanyiwa marekebisho, ikiwemo sheria ya kwamba polisi hawaruhusiwi kumpeleka mtu mahakaman had wakamilishe upelelezi.
Je na ile sheria inayowapa nguvu upande wa mashtaka na police kumkamata mtu pindi mahakama inapomuachia baada yakukaa ndani muda mrefu, na upande wa mashtaka hawaleti shaidi, au hawakamilishi upelelezi,
Je, hiyo sheria ya mtuhumiwa kukamatwa baada ya kuachiwa na mahakama, nayo ilifanyiwa amendment au? Hii Nchi Ina sheria za hovyo sana
Je na ile sheria inayowapa nguvu upande wa mashtaka na police kumkamata mtu pindi mahakama inapomuachia baada yakukaa ndani muda mrefu, na upande wa mashtaka hawaleti shaidi, au hawakamilishi upelelezi,
Je, hiyo sheria ya mtuhumiwa kukamatwa baada ya kuachiwa na mahakama, nayo ilifanyiwa amendment au? Hii Nchi Ina sheria za hovyo sana