Jana tarehe 7.4. 2021, Radio DW iliutangazia ulimwengu kwamba Ujerumani imepata maambukizi mapya ya Corona kwa kiwango kikubwa sana na wanajiandaa kusitisha baadhi ya shughuli ili kujikinga na maambukizi.
Kutokana na taarifa hiyo, naomba mnisaidie kujibu maswali haya:
(1) Je, Ujerumani haijapata chanjo ya Corona?
(2) Kama wamepata chanjo, kwa nini maambukizi yanazidi kuongezeka?
(3) Kama hawajapata chanjo, kwa nini hawajapata?
Ahsante, ndugu zanguni.
Kutokana na taarifa hiyo, naomba mnisaidie kujibu maswali haya:
(1) Je, Ujerumani haijapata chanjo ya Corona?
(2) Kama wamepata chanjo, kwa nini maambukizi yanazidi kuongezeka?
(3) Kama hawajapata chanjo, kwa nini hawajapata?
Ahsante, ndugu zanguni.