Endelea kujifarijiKwamba hivyo vibonzo na stori za kutunga ndiyo zinaufanya uislamu usiwe dini ya haq? Kama ulikuwa haujui maria alikuwa ni mke wa mtume muhammad (swala na salamu ziwe juu yake ) sasa sijui mnapata faida gani kusambaza hizi video zenye uongo kumuhusu yeye rasulullah.
Mudy muongo Koran inasema Swala ni tatu tu pekee yeye katoa wapi hizo 50 mara zikawa 5.. ni fabricate tu due stupitidy kwa muslim at that time even now wanafuatisha tu.. Uongo wake kama unakbalika basi Koran ni uongo kwa hizo Contradictions zilivyokuwa nyingi..ni ngumu kutenganisha hadith na quran.. maana kuna ukinzani katika hili.. sababu ya ambiquity za aya na ukakasi kwenye quran basi inasemekana ufafanuzi unapatikana kwenye hadithi kwa maana mtume alitoa ufafanuzi kwa maswahiba wake..
mfano ishu ya muhamad kwenda mbinguni na kupokea amri ya kuswali sala tano.. kuna maelezo kuwa sala zilitakiwa ziwe 50 kwa siku.. ila kwa msaada wa Nabii Musa mtume Muhamad akabargain na Allah zikashuka hadi 5... hiki kinafundishwa ama kuelezewa kila kona na Mashekhe wa dunia kupitia hadithi ili kueleza chimbuko la Swala tano ila hakipo kwenye Quran..
ila kwenye quran (surah isra wal miraj) inaelezea kuhusiana na safari yake haielezei matukio ya huko kama kukutana na Nabii Musa, na manabii wengine na kuhusiana na hizo sala za kwanza ambazo zilikuwa hamsini. so utaona kuwa bila hadithi mambo mengi kwenye mfumo wa kislam hayana msingi au majibu kutokea kwenye quran.. ndo maana kuna narrations za hadith
Nikuambia we kichaa unabisha kwanza Qur'an haikumtaja Paul na wala haita mtaja kwa jina sababu haina time na wajinga kama hao huyo unaye sema katafsiri yeye mwenyewe kawataja watu watatu tofauti yani ujuwe anajiandikia tu anavyo taka yeye 😄Ibn kathir ametafsiri Koran are you stupid or what?
na sio Hadith hii kitu ni Koran issue ya Jua na Touch imetokea wapi japo kuna mjinga wenu mmoja alidai Koran imesema kuna majua zaidi ya hili tulilonalo linalozunguka Dunia yetu watu wakasoma wakakuta ndio touch yako..
Soma Tafsiri ibn Kathir na ni Sahihi.. Koran 35:14 ulioi quote nishaiweka Sawa.. soma hapo uelewe Bulus ni nani.. Paul Mtume tena Katumwa na Jesus Isa wenu jina sijui Mudy aliliokota wapi maana hata Wayahudi walimcheka..wakamkimbiza Hasira zake akawanyang'anya Mji wao Madina Jews Economic City.
View attachment 2817785View attachment 2817786View attachment 2817787View attachment 2817788
"Mecca was declared the holiest site in Islam ordaining it as the center of Muslim pilgrimage (Hajj), one of the Islamic faith's Five Pillars"😅😅Uislamu hauna makao makuu pale watu wanaenda kufanya ibada(Hijjah) kama mnavyoenda pale kweny ukuta wa israel japo kubwa israel sio taifa la wakristo...
Ujinga wenu ubaki tu.. Kwahiyo Bulus aliyezaliwa 950s ndio aliyekuwepo kwenye koran pia? inamaana Koran ni ya mwaka gani Mr. Punguani? IQ yako hata Mo Dewji unamchukulia ndie Mtume wako kwa kufananisha hivyo... YAANI mimi nakupa Aya wewe unaleta Maigizo au unaona aibu? Ina maana Ibn Kathir sio Muislam? a;afu wewe mjinga mjinga ndie Muislam unayeelewa Koran Vizuri hebu Muslim mpigieni makofi Kiongozi wenu AdiosamigoNikuambia we kichaa unabisha kwanza Qur'an haikumtaja Paul na wala haita mtaja kwa jina sababu haina time na wajinga kama hao huyo unaye sema katafsiri yeye mwenyewe kawataja watu watatu tofauti yani ujuwe anajiandikia tu anavyo taka yeye 😄
We ukienda kwenye kutaka kumfahamu huyo Bulus ni nani naukasema ni Paulo basi imeukalia dogo, yani Paulo alikuwa Muislam kabla kuwa mkristo au sio 😄
Who was Bulus?
Būluṣ ibn Rajāʾ (born 950s, died after 1009), nicknamed al-Wāḍiḥ ('the Exposer' or 'Clarifier'), was a Coptic Christian monk, priest and apologist under the Fāṭimid Caliphate. He was a convert from Islam who wrote in Arabic.
QUR'AN haiwezi kutaja takataka kama hao, hata siku moja.
We ndiye usiye taka kufahamu nimekuambia hilo jina piga kwenye Google search uone ni nani? Afu halipo kwenye Qur'an we unalazimisha, nimekuambia huyu aliye tafsiri vile yeye mwenyewe ametafsiri mara tatu tofauti? Sa we vipi unataka kulazimisha Qur'an imemtaja wakati hakuna jina lake.Ujinga wenu ubaki tu.. Kwahiyo Bulus aliyezaliwa 950s ndio aliyekuwepo kwenye koran pia? inamaana Koran ni ya mwaka gani Mr. Punguani? IQ yako hata Mo Dewji unamchukulia ndie Mtume wako kwa kufananisha hivyo... YAANI mimi nakupa Aya wewe unaleta Maigizo au unaona aibu? Ina maana Ibn Kathir sio Muislam? a;afu wewe mjinga mjinga ndie Muislam unayeelewa Koran Vizuri hebu Muslim mpigieni makofi Kiongozi wenu Adiosamigo
Nenda ukalale i have no time with Kids but wanaosoma wanaelewa and wewe pia najua roho tu ina haiba ila ushaelewa... Katfute watu wa Dawa wakulishe ujinga Mwingine uje kuuliza
Sio Dhaifu Muslim kwenye Taqiya hata ukidanganya waislam wakafurahi hiyo inapita.. ila baadae ikikosolewa inaitwa Dhaifu hiyo so anything fanya kama kuutetea Uislam.. Kuna Video Muslim anampa sifa zote Mtume, kuwa mume mwema, kiongozi bora ana upendo, mkarimu, hana tamaa, aliishi kimasikini ila vyote ni uongo vice versa jamaa ana chant hadi machozi yanamtoka... jitu lina wake 11 zaidi watumwa lina lala nao waumini anawala, kwenye vita mali zikigawanwa yeye nyingi zaidi, aliua wayahudi wote kwenye mji wao wa Madina..yupo sawa...hataki kusikia hadithi dhaifu
BaelezeeSasa nitakuletea maandiko ya Quran yanayothibitisha kuwa ALLAH ameongopa mara kadhaa; naomba tu isiwe na Jazba.
The history of hadeeths/traditions,caliph ummar banned hadeethsNaomba reference ili iwe rahisi kuzipata hizo "historia za hadithi" .
Ndugu yangu HammazHivyo si ajabu kwao kutoa kauli hizo! Hao ni wapinzani wa Mtume na Uislam
Ila waislam mnashida ya akiliUnawazungumzia Isis gani? Hawa ambao kiongozi wao kakamatwa Libya na kakiri kuwa ni kachero wa Mossad?
Angalia picha hapo uone kiongozi wa Isis akiwa na viongozi tofauti wa Marekani n.k
Nakuacha na Ujinga wako kaulize Sheikh anayejua kiarabu akuambie Bulus ni nani... kama huendani na age ndio nakuona wewe ni foolish donkey.We ndiye usiye taka kufahamu nimekuambia hilo jina piga kwenye Google search uone ni nani? Afu halipo kwenye Qur'an we unalazimisha, nimekuambia huyu aliye tafsiri vile yeye mwenyewe ametafsiri mara tatu tofauti? Sa we vipi unataka kulazimisha Qur'an imemtaja wakati hakuna jina lake.
Nilisha kuambia usitulete fake news hapa, huyo aliye tafsiri fatilia vizuri kawataja wengine pia sa vipi aje na majawabu tofauti.
We unadhani mimi utanishinda na ujinga wako, leta Aya au Sura ya Qur'an imemtaja huyo shoga kwa jina lake nataka nione Qur'an imesema Paul alikuwa mtume, kama huna chukua kona wacha kuongea kama mlevi.
Mtume Muhammad kwenye kauli yake alisema hakuna Mtume yoyote alikuja kati ya Yesu na Yeye, vipi mseme Quran imemtaja Paul 😄
Waislam kwa story za kupika!! Mnatisha kama baba yenu yule SHETANI MKUBWA kabisa-AllahUnawazungumzia Isis gani? Hawa ambao kiongozi wao kakamatwa Libya na kakiri kuwa ni kachero wa Mossad?
Angalia picha hapo uone kiongozi wa Isis akiwa na viongozi tofauti wa Marekani n.k
Umejuaje hili ?Hakuna Aya ya kumpiga mawe mzinifu iliyofutwa ndugu,haikuwahi kuwepo kwenye Qur'an hivyo haiwezi kuwa imefutwa
Bilal ana hadithi zaidi ya Moja. Ukisoma kwenye Sunan Abu Daudi zipo, kwenye Sahihi Muslim utakuta kadhalika kwenye Sunan Tirmidh utakuta.Nimesema nikitaka Hadith kumi kumi toka kwao utazitafuta kwa shida,Bilal anayo moja tu ya kukusanya kobazi za mtume, wakati Abu huraira aliyesilimu miaka mitatu kabla ya mtume kufariki ana hadithi zaidi ya elfu tatu,
Kwanini hujibu swali langu ? Nimekutaka uthibitishe ya kuwa hayo ni uongo na hajasema Mtume. Unaleta stori.Tatizo we labda kichaa nimesema Qur'an imeletwa na Mtume Muhammad na Qur'an inakubali kitu alichosema Mtume tu.
We unataka kutuambia hata wewe ukija ukisema kasema Mtume hivi na hivi na wakati hajakisema tukabali sio, unadhani waislamu ni makondoo kama nyie mnakubali alicho sema Paulo.
Hapo ju nimeisha kujibu sisi sio wakristo tuamini fake story
Qur'an imeisha sema ina kila kitu na alicho ongea Mtume tukiamini, kwani we unadhani hio ya kusema sijui bikra 72 imeongewa na Mtume au kuna watu wameleta uwongo tu, au sijui ujinga gani mnaosema ni hadithi kaongea zote hizo hadithi Mtume?
Kwanini kuna fake hadith na true hadith, NYIE hadithi mnazo tuletea hapo si hadith sahihi hata kama mnawaquote kina Bukhari, kwanza huyo Bukhari alimuona wapi Mtume 😄
Nakisoma nanina fahamu nacho andika wapi nilikataa alicho ongea Mtume? We bwege nini
Hadithi ya bikra 72 wapi kaiongelea Mtume, au wapi Mtume kasema alimuoa Aisha ana miaka 9 leteni dalili zenu
Eti wewe Muislam wewe ndio wale wanafiki afu unajidai Muislam, huna hata harufu ya Uislam, labda uwe mwenye jina tu na si ajabu hata umezaliwa kwenye bar afu unajidai Muislam
Wewe!Hawawezi kushindana na Hekima ya Mungu wa Kweli. Wao walipoamzisha Tovuti yao ya sunnah.com lengo lilikuwa kuwasilimisha wakiristo wengi. Wakafanya Quran hata sisi wengine tuichambue kirahisi. Sasa tunazidi tu kuyavumbua madudu yaliyoko humo ndani. Humo pia Kuna hadithi za Mtume Mohammad zinahalalisha ngono na mbuzi, punda etc. hiyo ni habari ya wakati mwingine.
Kama alikutana na senator wa marekani inakufanya Aboubakar Al Baghdad kutokua Muislam? Osama bin Laden alikua trained na CIA je ilimuondolea uislam wake? Dini ya uislam haiwezi kushea space na dini nyingine endapo waislam mtaamua ku-practice uislam kwa 100%.Unawazungumzia Isis gani? Hawa ambao kiongozi wao kakamatwa Libya na kakiri kuwa ni kachero wa Mossad?
Angalia picha hapo uone kiongozi wa Isis akiwa na viongozi tofauti wa Marekani n.k