Naomba Ufafanuzi kwanini Mwana wa Mfalme wa Saudia ameshika Kasi sana ktk kufanyia mafundisho mengi ya dini ya kiislam?

Naomba Ufafanuzi kwanini Mwana wa Mfalme wa Saudia ameshika Kasi sana ktk kufanyia mafundisho mengi ya dini ya kiislam?

Kwamba hivyo vibonzo na stori za kutunga ndiyo zinaufanya uislamu usiwe dini ya haq? Kama ulikuwa haujui maria alikuwa ni mke wa mtume muhammad (swala na salamu ziwe juu yake ) sasa sijui mnapata faida gani kusambaza hizi video zenye uongo kumuhusu yeye rasulullah.
Endelea kujifariji
Screenshot_20231118-170556.png
 
ni ngumu kutenganisha hadith na quran.. maana kuna ukinzani katika hili.. sababu ya ambiquity za aya na ukakasi kwenye quran basi inasemekana ufafanuzi unapatikana kwenye hadithi kwa maana mtume alitoa ufafanuzi kwa maswahiba wake..

mfano ishu ya muhamad kwenda mbinguni na kupokea amri ya kuswali sala tano.. kuna maelezo kuwa sala zilitakiwa ziwe 50 kwa siku.. ila kwa msaada wa Nabii Musa mtume Muhamad akabargain na Allah zikashuka hadi 5... hiki kinafundishwa ama kuelezewa kila kona na Mashekhe wa dunia kupitia hadithi ili kueleza chimbuko la Swala tano ila hakipo kwenye Quran..

ila kwenye quran (surah isra wal miraj) inaelezea kuhusiana na safari yake haielezei matukio ya huko kama kukutana na Nabii Musa, na manabii wengine na kuhusiana na hizo sala za kwanza ambazo zilikuwa hamsini. so utaona kuwa bila hadithi mambo mengi kwenye mfumo wa kislam hayana msingi au majibu kutokea kwenye quran.. ndo maana kuna narrations za hadith
Mudy muongo Koran inasema Swala ni tatu tu pekee yeye katoa wapi hizo 50 mara zikawa 5.. ni fabricate tu due stupitidy kwa muslim at that time even now wanafuatisha tu.. Uongo wake kama unakbalika basi Koran ni uongo kwa hizo Contradictions zilivyokuwa nyingi..

Aya ya Kuswali swala Tatu ipo Moja tu.
Koran HUD 114. Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na mchana. Hakika mema huondoa maovu. Huu ni ukumbusho kwa wanao kumbuka.
Establish prayer ˹O Prophet˺ at both ends of the day and in the early part of the night.1 Surely good deeds wipe out evil deeds. That is a reminder for the mindful.
Kusali kwa Mtume (s.a.w.w.) katika ncha zote mbili za mchana na mwanzoni mwa usiku.1 Hakika matendo mema huyafuta matendo maovu. Hayo ni mawaidha kwa wenye kukumbuka.

وَأَقِمِ ٱلصَّلَوٰةَ طَرَفَىِ ٱلنَّهَارِ وَزُلَفًۭا مِّنَ ٱلَّيْلِ ۚ إِنَّ ٱلْحَسَنَـٰتِ يُذْهِبْنَ ٱلسَّيِّـَٔاتِ ۚ ذَٰلِكَ ذِكْرَىٰ لِلذَّٰكِرِينَ ١١٤

Kama alienda Mbinguni kwa Kutumia Mule Punda chotara na farasi... Bila mtu yeyote kushuhudia alafu kipindi hicho ndio alikuwa ameingiliwa na Iblisi even alikuwa akisema amesex na wake zake wakati ni uongo Aisha alilamika Mumewe ana mashetani anaandika aya za kishetani baadae Mtume akaulizwa akasema ndio Shetani alimuingilia ila akamumba Allah hivyo akamshawishi Shetani na Shetani akawa Muislam na shetani alimuongoza Mudy kwa mambo mazuri... pata picha hiyo..

Uongo wa aya Alipo Allah na Malaika ili Maraika amfikie Allah Mbingu ya Saba anatumia speed ya mwanga na atatumia miaka Elfu moja kwenda kwa Allah na akirudi anatumia Miaka elfu Moja tena hii inaonesha Mudy ni Muongo sababu Aya alikuwa akishushiwa kwa awamu inamaana Aya ya kwanza aliyoshushiwa hadi leo hii ingekuwa Aya ya pili hajapokea... Stupid Dini zamani majitu yalikuwa majinga sana maarabu.. ndio maana Jews na Manasara walikuwa wanamtoa nishani akwachukia mno ndio chanzo cha chuki na non Muslim...
 
Ibn kathir ametafsiri Koran are you stupid or what?
na sio Hadith hii kitu ni Koran issue ya Jua na Touch imetokea wapi japo kuna mjinga wenu mmoja alidai Koran imesema kuna majua zaidi ya hili tulilonalo linalozunguka Dunia yetu watu wakasoma wakakuta ndio touch yako..

Soma Tafsiri ibn Kathir na ni Sahihi.. Koran 35:14 ulioi quote nishaiweka Sawa.. soma hapo uelewe Bulus ni nani.. Paul Mtume tena Katumwa na Jesus Isa wenu jina sijui Mudy aliliokota wapi maana hata Wayahudi walimcheka..wakamkimbiza Hasira zake akawanyang'anya Mji wao Madina Jews Economic City.
View attachment 2817785View attachment 2817786View attachment 2817787View attachment 2817788
Nikuambia we kichaa unabisha kwanza Qur'an haikumtaja Paul na wala haita mtaja kwa jina sababu haina time na wajinga kama hao huyo unaye sema katafsiri yeye mwenyewe kawataja watu watatu tofauti yani ujuwe anajiandikia tu anavyo taka yeye 😄

We ukienda kwenye kutaka kumfahamu huyo Bulus ni nani naukasema ni Paulo basi imeukalia dogo, yani Paulo alikuwa Muislam kabla kuwa mkristo au sio 😄

Who was Bulus?
Būluṣ ibn Rajāʾ (born 950s, died after 1009), nicknamed al-Wāḍiḥ ('the Exposer' or 'Clarifier'), was a Coptic Christian monk, priest and apologist under the Fāṭimid Caliphate. He was a convert from Islam who wrote in Arabic.

QUR'AN haiwezi kutaja takataka kama hao, hata siku moja.
 
😅😅Uislamu hauna makao makuu pale watu wanaenda kufanya ibada(Hijjah) kama mnavyoenda pale kweny ukuta wa israel japo kubwa israel sio taifa la wakristo...
"Mecca was declared the holiest site in Islam ordaining it as the center of Muslim pilgrimage (Hajj), one of the Islamic faith's Five Pillars"

Nipe maana ya hii sentensi?
 

View: https://youtu.be/Y-iaYNW-ae0?si=DeUERg5d6wtA_M5_

Ukristo noma kweli yani Mungu wao wewe uwe muwaji anakupenda tu, uwe shoga anakupenda tu, ndio sababu ndoa za jinsia moja zinafungwa kanisani sababu mungu wa bibilia anapenda tu hana kukasirika 😄

Uwe mwizi we unapendwa tu, uwe mdhulumaji we unapendwa tu, hata ukiparamia mama yako au dada zako we unapendwa tu 😄

Mungu wa kikristo hana zaidi ya kupenda we fanya utalo fanya hakupi punishment. Huyu aliye andika bibilia alikuwa chizi kweli 😄
 
Nikuambia we kichaa unabisha kwanza Qur'an haikumtaja Paul na wala haita mtaja kwa jina sababu haina time na wajinga kama hao huyo unaye sema katafsiri yeye mwenyewe kawataja watu watatu tofauti yani ujuwe anajiandikia tu anavyo taka yeye 😄

We ukienda kwenye kutaka kumfahamu huyo Bulus ni nani naukasema ni Paulo basi imeukalia dogo, yani Paulo alikuwa Muislam kabla kuwa mkristo au sio 😄

Who was Bulus?
Būluṣ ibn Rajāʾ (born 950s, died after 1009), nicknamed al-Wāḍiḥ ('the Exposer' or 'Clarifier'), was a Coptic Christian monk, priest and apologist under the Fāṭimid Caliphate. He was a convert from Islam who wrote in Arabic.

QUR'AN haiwezi kutaja takataka kama hao, hata siku moja.
Ujinga wenu ubaki tu.. Kwahiyo Bulus aliyezaliwa 950s ndio aliyekuwepo kwenye koran pia? inamaana Koran ni ya mwaka gani Mr. Punguani? IQ yako hata Mo Dewji unamchukulia ndie Mtume wako kwa kufananisha hivyo... YAANI mimi nakupa Aya wewe unaleta Maigizo au unaona aibu? Ina maana Ibn Kathir sio Muislam? a;afu wewe mjinga mjinga ndie Muislam unayeelewa Koran Vizuri hebu Muslim mpigieni makofi Kiongozi wenu Adiosamigo

Nenda ukalale i have no time with Kids but wanaosoma wanaelewa and wewe pia najua roho tu ina haiba ila ushaelewa... Katfute watu wa Dawa wakulishe ujinga Mwingine uje kuuliza
 
Ujinga wenu ubaki tu.. Kwahiyo Bulus aliyezaliwa 950s ndio aliyekuwepo kwenye koran pia? inamaana Koran ni ya mwaka gani Mr. Punguani? IQ yako hata Mo Dewji unamchukulia ndie Mtume wako kwa kufananisha hivyo... YAANI mimi nakupa Aya wewe unaleta Maigizo au unaona aibu? Ina maana Ibn Kathir sio Muislam? a;afu wewe mjinga mjinga ndie Muislam unayeelewa Koran Vizuri hebu Muslim mpigieni makofi Kiongozi wenu Adiosamigo

Nenda ukalale i have no time with Kids but wanaosoma wanaelewa and wewe pia najua roho tu ina haiba ila ushaelewa... Katfute watu wa Dawa wakulishe ujinga Mwingine uje kuuliza
We ndiye usiye taka kufahamu nimekuambia hilo jina piga kwenye Google search uone ni nani? Afu halipo kwenye Qur'an we unalazimisha, nimekuambia huyu aliye tafsiri vile yeye mwenyewe ametafsiri mara tatu tofauti? Sa we vipi unataka kulazimisha Qur'an imemtaja wakati hakuna jina lake.

Nilisha kuambia usitulete fake news hapa, huyo aliye tafsiri fatilia vizuri kawataja wengine pia sa vipi aje na majawabu tofauti.

We unadhani mimi utanishinda na ujinga wako, leta Aya au Sura ya Qur'an imemtaja huyo shoga kwa jina lake nataka nione Qur'an imesema Paul alikuwa mtume, kama huna chukua kona wacha kuongea kama mlevi.


Mtume Muhammad kwenye kauli yake alisema hakuna Mtume yoyote alikuja kati ya Yesu na Yeye, vipi mseme Quran imemtaja Paul 😄
 
yupo sawa...hataki kusikia hadithi dhaifu
Sio Dhaifu Muslim kwenye Taqiya hata ukidanganya waislam wakafurahi hiyo inapita.. ila baadae ikikosolewa inaitwa Dhaifu hiyo so anything fanya kama kuutetea Uislam.. Kuna Video Muslim anampa sifa zote Mtume, kuwa mume mwema, kiongozi bora ana upendo, mkarimu, hana tamaa, aliishi kimasikini ila vyote ni uongo vice versa jamaa ana chant hadi machozi yanamtoka... jitu lina wake 11 zaidi watumwa lina lala nao waumini anawala, kwenye vita mali zikigawanwa yeye nyingi zaidi, aliua wayahudi wote kwenye mji wao wa Madina..
 
Hivyo si ajabu kwao kutoa kauli hizo! Hao ni wapinzani wa Mtume na Uislam
Ndugu yangu Hammaz

Qur'an 49:6

1700334088684.png

Enyi mlio amini! Akikujieni mpotovu na khabari yoyote, ichunguzeni, msije mkawasibu watu kwa kuto jua, na mkawa tena wenye kujuta kwa mliyo yatenda.

Qur-an 5:8

1700334545249.png


8. Enyi mlio amini! Kuweni wasimamizi madhubuti kwa ajili ya Mwenyezi Mungu mkitoa ushahidi kwa haki. Wala kuchukiana na watu kusikupelekeeni kutofanya uadilifu. Fanyeni uadilifu. Hivyo ndio kuwa karibu mno na uchamngu. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayo yatenda.
 
Unawazungumzia Isis gani? Hawa ambao kiongozi wao kakamatwa Libya na kakiri kuwa ni kachero wa Mossad?

Angalia picha hapo uone kiongozi wa Isis akiwa na viongozi tofauti wa Marekani n.k
Ila waislam mnashida ya akili
 
We ndiye usiye taka kufahamu nimekuambia hilo jina piga kwenye Google search uone ni nani? Afu halipo kwenye Qur'an we unalazimisha, nimekuambia huyu aliye tafsiri vile yeye mwenyewe ametafsiri mara tatu tofauti? Sa we vipi unataka kulazimisha Qur'an imemtaja wakati hakuna jina lake.

Nilisha kuambia usitulete fake news hapa, huyo aliye tafsiri fatilia vizuri kawataja wengine pia sa vipi aje na majawabu tofauti.

We unadhani mimi utanishinda na ujinga wako, leta Aya au Sura ya Qur'an imemtaja huyo shoga kwa jina lake nataka nione Qur'an imesema Paul alikuwa mtume, kama huna chukua kona wacha kuongea kama mlevi.


Mtume Muhammad kwenye kauli yake alisema hakuna Mtume yoyote alikuja kati ya Yesu na Yeye, vipi mseme Quran imemtaja Paul 😄
Nakuacha na Ujinga wako kaulize Sheikh anayejua kiarabu akuambie Bulus ni nani... kama huendani na age ndio nakuona wewe ni foolish donkey.
Bulus Shoga kivipi na hana historia hiyo Mohamed ndie Shoga alidinywa na wanaume weusi usiku mzima asubuhi akawa analalamika maumivu...

Wewe unapenda ligi na sio kuelewa au unafanya makusudi tu sababu ya ujinga.. Koran imethibitisha Torati na Injili kuwa ni vitabu vya Allah kipindi hicho kuwa vipo sawa so kama unavibishia is up to you utabishana na Allah wako...
Qoran 3:3 نَزَّلَ عَلَيْكَ ٱلْكِتَـٰبَ بِٱلْحَقِّ مُصَدِّقًۭا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَأَنزَلَ ٱلتَّوْرَىٰةَ وَٱلْإِنجِيلَ ٣

He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel
Maandiko yalikujieni kwa haki, yakiamini yaliyo mikononi mwake, na kuyafunua Torati na Injili.

10 94
فَإِن كُنتَ فِى شَكٍّۢ مِّمَّآ أَنزَلْنَآ إِلَيْكَ فَسْـَٔلِ ٱلَّذِينَ يَقْرَءُونَ ٱلْكِتَـٰبَ مِن قَبْلِكَ ۚ لَقَدْ جَآءَكَ ٱلْحَقُّ مِن رَّبِّكَ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ ٱلْمُمْتَرِينَ ٩٤

If you ˹O Prophet˺ are in doubt about ˹these stories˺ that We have revealed to you, then ask those who read the Scripture before you. The truth has certainly come to you from your Lord, so do not be one of those who doubt,
Tuulizeni sisi watu wa kitabu
 
Unawazungumzia Isis gani? Hawa ambao kiongozi wao kakamatwa Libya na kakiri kuwa ni kachero wa Mossad?

Angalia picha hapo uone kiongozi wa Isis akiwa na viongozi tofauti wa Marekani n.k
Waislam kwa story za kupika!! Mnatisha kama baba yenu yule SHETANI MKUBWA kabisa-Allah
Screenshot_20231118-191316.png
 
Nimesema nikitaka Hadith kumi kumi toka kwao utazitafuta kwa shida,Bilal anayo moja tu ya kukusanya kobazi za mtume, wakati Abu huraira aliyesilimu miaka mitatu kabla ya mtume kufariki ana hadithi zaidi ya elfu tatu,
Bilal ana hadithi zaidi ya Moja. Ukisoma kwenye Sunan Abu Daudi zipo, kwenye Sahihi Muslim utakuta kadhalika kwenye Sunan Tirmidh utakuta.

Kingine kuhusu swahaba Abuu Huraira kuhadithia hadithi nyingi kuna sababu zaidi ya tatu wanazuoni wamezielezea.
 
Tatizo we labda kichaa nimesema Qur'an imeletwa na Mtume Muhammad na Qur'an inakubali kitu alichosema Mtume tu.

We unataka kutuambia hata wewe ukija ukisema kasema Mtume hivi na hivi na wakati hajakisema tukabali sio, unadhani waislamu ni makondoo kama nyie mnakubali alicho sema Paulo.

Hapo ju nimeisha kujibu sisi sio wakristo tuamini fake story

Qur'an imeisha sema ina kila kitu na alicho ongea Mtume tukiamini, kwani we unadhani hio ya kusema sijui bikra 72 imeongewa na Mtume au kuna watu wameleta uwongo tu, au sijui ujinga gani mnaosema ni hadithi kaongea zote hizo hadithi Mtume?

Kwanini kuna fake hadith na true hadith, NYIE hadithi mnazo tuletea hapo si hadith sahihi hata kama mnawaquote kina Bukhari, kwanza huyo Bukhari alimuona wapi Mtume 😄


Nakisoma nanina fahamu nacho andika wapi nilikataa alicho ongea Mtume? We bwege nini

Hadithi ya bikra 72 wapi kaiongelea Mtume, au wapi Mtume kasema alimuoa Aisha ana miaka 9 leteni dalili zenu

Eti wewe Muislam wewe ndio wale wanafiki afu unajidai Muislam, huna hata harufu ya Uislam, labda uwe mwenye jina tu na si ajabu hata umezaliwa kwenye bar afu unajidai Muislam
Kwanini hujibu swali langu ? Nimekutaka uthibitishe ya kuwa hayo ni uongo na hajasema Mtume. Unaleta stori.
 
Mhhhh
Hawawezi kushindana na Hekima ya Mungu wa Kweli. Wao walipoamzisha Tovuti yao ya sunnah.com lengo lilikuwa kuwasilimisha wakiristo wengi. Wakafanya Quran hata sisi wengine tuichambue kirahisi. Sasa tunazidi tu kuyavumbua madudu yaliyoko humo ndani. Humo pia Kuna hadithi za Mtume Mohammad zinahalalisha ngono na mbuzi, punda etc. hiyo ni habari ya wakati mwingine.
Wewe!
 
Unawazungumzia Isis gani? Hawa ambao kiongozi wao kakamatwa Libya na kakiri kuwa ni kachero wa Mossad?

Angalia picha hapo uone kiongozi wa Isis akiwa na viongozi tofauti wa Marekani n.k
Kama alikutana na senator wa marekani inakufanya Aboubakar Al Baghdad kutokua Muislam? Osama bin Laden alikua trained na CIA je ilimuondolea uislam wake? Dini ya uislam haiwezi kushea space na dini nyingine endapo waislam mtaamua ku-practice uislam kwa 100%.

Hapo Tanzania tungekua tunawalipa Kodi ya jizya,wanawake wasio waislam wangekua wanaruhusiwa kutumika kingono na wanaume wa kiislam bila huruma nk. Islam is not a religion of peace against other faiths.
 
Back
Top Bottom