Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hadithi nyingi zimekuwa fake, Qur'an haiwezi ikawa fake hata siku moja sababu hata America kajaribu kufake Qur'an kashindwa sababu Quran waislam wameihifadhi wengine kwenye mioyo yao mara wanakukosoa hapo hapo kama umekosea.NIWAACHIE WARAABU HII LIGI..
ILA HILI LA SAHIH AL BIKHAR 4950
NA HADITH IDADI 16,245 YA MU"WAIYA IBN ABU SUFYAN ....
SIONI AJABU WANAZUONI KUZIKATAA HIZI SIMULIZI ILI KUFICHA UKWELI FLANI WA TAMADUNI ZA KIARABU
unaonyesha kabisa kama wewe hata hujui unalolisema, miaka miwili ha!Hakuna ushahidi kuwa Muhammed alikuwa real historical figure, biography ya kwanza ya Muhammad iliandikwa zaidi ya miaka 2 na watu ambao hawajawahi, kumuona
Sasa kwanini zinatumika hadi sasa hizo hadithi kama rejea ya Quran bro?Khalifa ummar (ra),ambaye aliishi na mtume saw,alipiga marufuku Hadith,wamekuwepo watu wa kupinga Hadith tangu mwanzo,Hadith ni uzushi....lakini Muhammad bin Salman ana matamanio yake pia ya kidunia
Nilicho ongea nyuma we kama husomi unakimbilia kujibu huo ni ujinga wako, nilisema Qur'an imeongea tumuamini Mtume Muhammad tu anacho ongea, sio Uniletee story flani kasema.Sasa ibada zenu huwa mnazifanya vipi na mnasema Qur'an pekee inatosha ?
Isiwe mnajiona kuwa ni Waislamu kumbe si Waislamu.
Kuna badhi ya lugha huwa zinatafsiriwa na wengine tofauti, kabla sijaenda mbali hebu we nieleze hapa in the Bible, there are numerous clear verses that talk about God deceiving people, such as in Jeremiah 4:10, 2 Thessalonians 2:11-12, etc.Sikiliza ndugu sisi tunakupenda sana usije angamia na huyo Allah. Kama kweli wewe unataka kujua ukweli kuhusu hiyo Ayat 3:54 nakusihi sikiliza hii short video. Huyo aliyefunga kilemba Cha Kisaudia anaitwa Al Fadi alienda Marekani kusoma lakini akiView attachment 2817046wa pia na mission ya kuwapa dawah wakiristo, ila alitokewa na maono ya Yesu na hatimaye akampokea Yesu. Anajua kiarabu na Dini ya kiislam vizuri mno. Msikilize ndugu yangu, muda uliobaki siyo Rafiki
View attachment 2817046
Hawa wakristo wamesahau ingekuwa sio Saud Arabia kukubali Muingereza asinge mpa Israel nchi pale Palestine.kwani mke wa ABU LAHAB alikuwa ni muislamu?
rejea surat Lahb, majibu yako yapo huko
Waarabu wala hawaamini mtu mweusi anaweza kuwa shehe. Yani Uislam uanzie huko Saudi Arabia afu sijui Ilunga wa wapi aje ajifanye ndio anaujua zaidi?Jitu limesoma Magharibi utegemee jipya? Sheikh Ilunga angekuwepo angemtukana hatarii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadith siyo rejea ya Qur'an,Bali Hadith ni amendment ya Qur'an,yaani kama katiba na amendment zake,wakati Qur'an inasema inatosha na imeeleza kila kitu,ni mapokeo,dini imepokelewa hivyo na watu wamesonga nayo hivyo,sisi tunaopinga Hadith tunaambiwa tunamkataa mtume,ni Vita haswa,palikua na wayahudi ambao waliyaingiza hayo katika uislam katika kipindi Cha mfarakano wa waislam,miaka Kama 15 hivi baada ya kifo Cha mtumeSasa kwanini zinatumika hadi sasa hizo hadithi kama rejea ya Quran bro?
Kijana tuliza akili acha jazba. Wewe unajuaje sala kama alivyo sali Mtume ? Mafundisho ya sala huwezi kuyakuta kwenye Qur'an, utayakuta kwenye Hadithi za Mtume, zenye kusomeka aidha "Mtume kasema kadha" au "Tulimuona Mtume akifanya kadha".Nilicho ongea nyuma we kama husomi unakimbilia kujibu huo ni ujinga wako, nilisema Qur'an imeongea tumuamini Mtume Muhammad tu anacho ongea, sio Uniletee story flani kasema.
Salaa ni Mtume aliambiwa na Mwenyezi Mungu lazima tusali, sa we unacho taka kusema Qur'an haipo kwenye Qur'an?
Hivi unadhani waislamu wanapo sali huwa wanasoma Hadith za Bukhari au Qur'an?
Kwanini unaandika uongo ? Qur'an haijaandika kila kitu, kama Muislamu hupaswi kuandika maneno haya, utaulizwa maswali na waiso Waislamu ukashindwa kujibu kama kinavyotokea hapa.Hadith siyo rejea ya Qur'an,Bali Hadith ni amendment ya Qur'an,yaani kama katiba na amendment zake,wakati Qur'an inasema inatosha na imeeleza kila kitu,ni mapokeo,dini imepokelewa hivyo na watu wamesonga nayo hivyo,sisi tunaopinga Hadith tunaambiwa tunamkataa mtume,ni Vita haswa,palikua na wayahudi ambao waliyaingiza hayo katika uislam katika kipindi Cha mfarakano wa waislam,miaka Kama 15 hivi baada ya kifo Cha mtume
Hadithi zinasema mzinzi mwanandoa auawe kwa mawe, Qur'an haikusema hivyo,hadithi zinasema unaweza shika udhu adhuhuri almuradi hukujamba basi waweza utumia kwa swala zote, Qur'an inasema kila swala mchukue udhu,bado unataka niamini hadithi,amini wewe, QUR'AN inasema mtoe zaka kila mpatapo faida,hadithi mpaka mtaji uvuke mwaka bila kupata hasara....hadithi zinakutoa kwenye Qur'an,amka,ni baada ya kushindwa kutia mikono Qur'an wakaamua kukuundieni vitu vitavyowatoa kwenye Qur'anKwanini unaandika uongo ? Qur'an haijaandika kila kitu, kama Muislamu hupaswi kuandika maneno haya, utaulizwa maswali na waiso Waislamu ukashindwa kujibu kama kinavyotokea hapa.
Huwezi kuwa Muislamu ukiwa unapinga Hadithi au huujui Uislamu. Qur'an haisimami peke yake pasi na Hadithi sahihi za Mtume.
Ukikataa hadithi basi wewe huna ibada yoyote unayoifanya kwa usahihi na huenda ukawa husali kabisa, au huziki, au hufungi, au husafiri au hufanyi biashara na kama unasali huku unapinga Hadithi basi wewe ni mpotoshaji.
Aisee
Sheikh ilunga wa kenya ndio amtukane huyu?Jitu limesoma Magharibi utegemee jipya? Sheikh Ilunga angekuwepo angemtukana hatarii
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani aliunnda vitu vya kuwatoa kwenye Quran?Hadithi zinasema mzinzi mwanandoa auawe kwa mawe, Qur'an haikusema hivyo,hadithi zinasema unaweza shika udhu adhuhuri almuradi hukujamba basi waweza utumia kwa swala zote, Qur'an inasema kila swala mchukue udhu,bado unataka niamini hadithi,amini wewe, QUR'AN inasema mtoe zaka kila mpatapo faida,hadithi mpaka mtaji uvuke mwaka bila kupata hasara....hadithi zinakutoa kwenye Qur'an,amka,ni baada ya kushindwa kutia mikono Qur'an wakaamua kukuundieni vitu vitavyowatoa kwenye Qur'an
Uislamu haujawahi kutetereka kuongezwa wala kupunguzwa chochote, tuna muongozo thabiti mungu ametupa ambayo ni quraan hatuongozwi na binaadamu au sheria za mwanadamu , maana juzi tulisikia kiongozi wa makafir kamfukuza askofu kisa kapinga mashoga kuoanaMiaka ya hivi Karibuni aliripotiwa na Al Arabiya kuwa asilimia zaidi ya 90 ya Hadith za Mtume hazifai kuwa vyanzo dini ya kiislam; sasa hivi amesema hadithi zote kwa sababu ziliandikwa miaka takribani 280 baada ya Mtume Mohammad kufa, hazifai kuwa chanzo Cha Imani ya kiislam
View attachment 2816463
Kwa sasa amepiga marufuku wanafunzi wa kike kuvaa habaya, Hijabu na niqab siku za mitihani, huko mitaani kuvaa Hijabu si shurti tena ila ni takwa la mwanamke na ameruhusu matamasha ya muziki ambako wanawake na wanaume wanachanganyiki
View attachment 2816466
Mimi kwa maoni yangu, huenda huyu Mwana wa Mfalme amesoma vizuri Quran yao Pamoja na hadithi za Mtume Mohammad akajionea mwenyewe madudu yaliyoko huko; mfano mzuri ni Sahih Al-Bukhari 4950 ambayo Shangazi wa Mtume Mohammad alimuita Allah "Shetani" na Allah mwenyewe HAKUPINGA kuitwa hivyo. Hii ikimaanisha kiukweli yule ambaye alimpa Mtume maahizo yote ya kwenye Quran ni Shetani
View attachment 2816477
Uislamu unazidi kukubalika duniani kote hadi huko nchi za makfir na hata hao makafir wanaona ndio msingi bora wa maisha na wengi wanajiunga sasa na uislamu,Kiukweli usilam usipodhibitiwa utahatarisha maisha ya waislamu wenyewe mana dunia itwachoka na ikiwachoka unadhani nini kitafuata,haya makundi ya kigaidi ya kislam yanauchafua sana uislamu,kunahaja ya kutazama upya mafudisho ya imani hii.