Ni vipya vipya hatujui miaka 5ndio tutajua madhaifu yake,Sawa sawa, lakini haujajibu swali lake.
Kuna garage flan nilienda mkoani Dodoma nikakuta kuna fundi anafanya service ya engine oil kwenye Toyota Rumion anaweka oil hyo ya SAE40 kwa kweli nilijikuta naongea kimoyomoyo "kukosa maarifa ni umasikini mkubwa sana" . Garage za chini ya mwembe hapana aisee fundi ameshindwa kujua oil sahihi ya ile gari😣 mmiliki wa ile gari naye ni much know kweli😀kwa jinsi nilivyowakuta wanapiga story zao ikanipa ishara hiyo. Nilitamani ata nimwambie ile haikuwa oil sahihi kwa ile gari ila kwa muonekano na uongeaji wa yule jamaa nikaona ni jambo la busara kukaa kimya nifanye kilicho nipeleka niondoke.Rangi nyeusi huwa haitunzi gari wala kufanya service sahihi kwa wakati halafu utakuta inaulizia fuel economy.
Unalewa kuwa fuel economy ni function ya kuzingatia service ya gari pamoja na utanzaji wa gari?
Utakuta kwa mfano jitu linaweka oil ya Tractor (SAE40) kwenye IST halafu linalia kuwa gari haina fuel economy!
Imagine gari kama hiyo anakuja kuuziwa mtu!Ndiyo maana kununua gari kutoka kwa rangi nyeusi ni uwendawazimu mkubwa sana.Kuna garage flan nilienda mkoani Dodoma nikakuta kuna fundi anafanya service ya engine oil kwenye Toyota Rumion anaweka oil hyo ya SAE40 kwa kweli nilijikuta naongea kimoyomoyo "kukosa maarifa ni umasikini mkubwa sana" . Garage za chini ya mwembe hapana aisee fundi ameshindwa kujua oil sahihi ya ile gari😣 mmiliki wa ile gari naye ni much know kweli😀kwa jinsi nilivyowakuta wanapiga story zao ikanipa ishara hiyo. Nilitamani ata nimwambie ile haikuwa oil sahihi kwa ile gari ila kwa muonekano na uongeaji wa yule jamaa nikaona ni jambo la busara kukaa kimya nifanye kilicho nipeleka niondoke.
Hii gari ya lumion ina mfumo wa tofauti wa gearbox, unaitwa CVT, so haitumii oil ya gear box ya kawaida ambazo zinawekwa kwenye gari zenye gear box za kawaida.Kuna garage flan nilienda mkoani Dodoma nikakuta kuna fundi anafanya service ya engine oil kwenye Toyota Rumion anaweka oil hyo ya SAE40 kwa kweli nilijikuta naongea kimoyomoyo "kukosa maarifa ni umasikini mkubwa sana" . Garage za chini ya mwembe hapana aisee fundi ameshindwa kujua oil sahihi ya ile gari[emoji21] mmiliki wa ile gari naye ni much know kweli[emoji3]kwa jinsi nilivyowakuta wanapiga story zao ikanipa ishara hiyo. Nilitamani ata nimwambie ile haikuwa oil sahihi kwa ile gari ila kwa muonekano na uongeaji wa yule jamaa nikaona ni jambo la busara kukaa kimya nifanye kilicho nipeleka niondoke.
siku ukifa tuletee mrejesho hapahii ndinga nikienda nayo mkoani ni kwenda wa speed 150 - 170 km/h
Aisee mbona haututendei haki? Yaani ina maana Mimi ninamiliki Passo? Ebu tuombe radhi Mkuu maana hii dharau yako imevuka mipaka aiseeToyota Rumion ni Toyota Passo iliyochangamka!
Kuna garage flan nilienda mkoani Dodoma nikakuta kuna fundi anafanya service ya engine oil kwenye Toyota Rumion anaweka oil hyo ya SAE40 kwa kweli nilijikuta naongea kimoyomoyo "kukosa maarifa ni umasikini mkubwa sana" . Garage za chini ya mwembe hapana aisee fundi ameshindwa kujua oil sahihi ya ile gari[emoji21] mmiliki wa ile gari naye ni much know kweli[emoji3]kwa jinsi nilivyowakuta wanapiga story zao ikanipa ishara hiyo. Nilitamani ata nimwambie ile haikuwa oil sahihi kwa ile gari ila kwa muonekano na uongeaji wa yule jamaa nikaona ni jambo la busara kukaa kimya nifanye kilicho nipeleka niondoke.
Huo utumiaji wa hiyo oil ya CVT ulielekezwa na mtu au ulisoma kwenye manual ya gari?maana nijuavyo mimi gari nyingi za Japan hata kama ina user manual inakuwa imeandikwa kijapan,kwahiyo tusiwalaumu sana wanojiwekea oil za kawaida kwenye hizo gari,ukweli ni kuwa hawajapata tu mtu wa kuwafungua macho kama ulivyofunguliwa wewe...Hii gari ya lumion ina mfumo wa tofauti wa gearbox, unaitwa CVT, so haitumii oil ya gear box ya kawaida ambazo zinawekwa kwenye gari zenye gear box za kawaida. View attachment 1774868
Alafu jamaa anaifananisha na Passo?Hii Gari ni nzuri sana. Kama unataka kununua we nunua mkuu. Mi sina hela tu ila Corolla rumion naielewa sana hao wanaosema ni passo ilo changamka ni mama tu wasikuchamganye kabisa
Kama gearbox ni ya kawaida itakuaje akiweka ya CVTNakukimbusha tu na uzingatie hilo. Hiyo gari ukipata siku ya kumwaga transmission fluid au hydraulic uwe makini kutoweka za gari yoyote uliyozea. Uweke ya CVT version.
Hizo gari zina gear box ya mfumo wa CVT.
Inategemea na engine, kuna 2ZR ya 1.8L sidhani kama inatembea kilometre hizo! Nafikiri unasemea ya 1NZ ile 1.5LHua inatembea 15km kwa Litre moja!
MmmmhKaribuni kwenye garage yangu.Natoa huduma za kuondoa thermostat kwenye gari lako bure kabisa bila malipo.Pia engine oil za SAE40 zinapatika kwa hela ya Kitanzania 1,500/= kwa lita.Karibuni sana.
Achilia mbali hilo,kuna magari mengi sana ambayo hayaruhusu kubadilisha gearbox oil iliyokuja na gari lakini watu wanabadilisha ATF iliyokuja na gari kama hilo kila baada ya 5000KM na kuweka ATF fake.Kumiliki gari kwa rangi nyeusi ni changamoto kwelikweli!Huo utumiaji wa hiyo oil ya CVT ulielekezwa na mtu au ulisoma kwenye manual ya gari?maana nijuavyo mimi gari nyingi za Japan hata kama ina user manual inakuwa imeandikwa kijapan,kwahiyo tusiwalaumu sana wanojiwekea oil za kawaida kwenye hizo gari,ukweli ni kuwa hawajapata tu mtu wa kuwafungua macho kama ulivyofunguliwa wewe...
Kama wewe ni mwanamke iwahi haraka
Kwakweli sijawahi bahatika kuona ameshuka dereva wa kiume kwenye hiyo gari
Nazifahamu hizo gari sio kwa kusoma manual kwa kutazama presentation yake. Hizo oil za CVT ni specific kwa gari zenye huo mfumo wa transmission ya aina ya CVT.Huo utumiaji wa hiyo oil ya CVT ulielekezwa na mtu au ulisoma kwenye manual ya gari?maana nijuavyo mimi gari nyingi za Japan hata kama ina user manual inakuwa imeandikwa kijapan,kwahiyo tusiwalaumu sana wanojiwekea oil za kawaida kwenye hizo gari,ukweli ni kuwa hawajapata tu mtu wa kuwafungua macho kama ulivyofunguliwa wewe...